- Thread starter
- #41
Bomu la tumbo is a new phenomena. Angalia hoja ya msingi na sio kitu kingine ili tuweze kumuenzi Mwangosi kwa kufanya mabadiliko.Kwahiyo na Waandishi walioandamana leo na wao Walistahili kupigwa Bomu la Tumbo?
Bomu la tumbo is a new phenomena. Angalia hoja ya msingi na sio kitu kingine ili tuweze kumuenzi Mwangosi kwa kufanya mabadiliko.Kwahiyo na Waandishi walioandamana leo na wao Walistahili kupigwa Bomu la Tumbo?
Akili yako yanaonyesha ulivyo kituko hata kwa familia yako.
Siku nyingine umuulize mkeo kama unae kabla hujaandika huu upuuzi.
Hivi wewe huna taarifa kuwa Kamanda Kamuhanda alikuwepo wakati Mwangosi anapigwa na askari? Hivi hujui kuwa Mwangosi alikuwa mwandishi wa habari wa muda mrefu sana? Hivi hujui kuwa ni masaa kama 6 yalikuwa yamepita tangu Mwangosi amuulize kamanda Kamuhanda swali kwenye press conference kati ya waandishi wa habari na polisi? Vyovyote itakavyo kuwa, kama Mwangosi alivaa au akuvaa sare, kifo chake kilipangwa au ni uzembe wa polisi.
Yani kabisa ukanunua Credit, ukaweka kwenye Modemsijui Vodacom au Any other operator, then ukapost haya Matope, So unataka kusema that day waandishi wote Iringa walivaa hicho kitu, Mbona sio kweli, na leo Mbona hawakuvaa na hawajapigwa Bomu.
Umetumwa nn
Hakuna cha Between the Line hapa, haya maneno yako yanafanana sana na ya Tendwa, Badala ya kulaaani kitendo cha polisi Kuua Mwandishi asiye na hatia, yeye anabakia kulalamikia Chadema.Please read btn the line
Kwataarifa yako Marehemu Daudi Mwangosi alikuwa anatambulika vizuri na wauwaji. Ukifatilia vizuri katika mahojiano na RPC katika eneo la tukio (Nyololo), RPC alimjibu kuwa mbona hujashiba na majibu tangu asubuhi (zaidi ya hapo walikutana mapema asubuhi).
RPC aliarifiwa kuwa Marehemu Mwangosia anashambuliwa na polisi, na aliombwa amuokoe lakini yeye alipuuzia na kuachia anaowaongoza waendelee na amri aliyowapa. Hicho ndicho kinachotufanya tuamini kuwa alitoa amri ya kumdhuru Marehemu Mwangosi ikiwa ni sehemu ya kulipiza gadhabu zake za kuulizwa maswali ambayo alishindwa kuyajibu na kuonekana alikuwa hajui tafasiri ya sheria "nini maana ya mkutano wa ndani".
Umetiririka vzr ila kumbe aliyevaa 'journalist' ndiye hapaswi kuuawa? Mimi nadhani uhai ni haki ya kila mtu hata nikivaa rubega, na adhabu ya kuandamana siyo kifo, pls usiwatetee polisi.
Aliyeanzisha huu uzi akijibu hili swali litamsaidia sana kuongeza uwanja wake wa kufikiri....... Nimekugongea like mkuuSwali linabaki pale pale, nguvu yote ile ya police ilikuwa ni kupambana na nini ? au tuseme Police walitaka kumuua nani, kiasi wakakosea na kujikuta wamemuua mwandishi wa habari ? lets think deeply !
Hakuna cha Between the Line hapa, haya maneno yako yanafanana sana na ya Tendwa, Badala ya kulaaani kitendo cha polisi Kuua Mwandishi asiye na hatia, yeye anabakia kulalamikia Chadema.
Acha Ubwegw.e Kaka
Please read btn the lines not on lines. Hoja yangu ni kwamba, licha ya makosa ya polisi, kuna another contributory cause nayo ci nyingine bali mazoea ya waandishi ya kutovaa Sare kwa kudhani kuwa wanafahamika katika mazingira yote.