Kila mtanzania anatambua wazi kinachoendelea katika nchi etu, vuguvugu kubwa la mageuzi zimeshika kasi na nadhani hakuna namna ya kuzuilika ili ni jambo jema kwani nchi isiyo na mabadiliko basi imekufa.
Lakini kosa kubwa linaloelekea kufanyika ni kufanya mabadiliko kwa kuua chama tawala (CCM) na kuingiza chama cha wanamageuzi(CHADEMA) . mimi nakubaliana kuwa moja kwa moja CCM inatakiwa kupunzika kwani imechoka na mtu asidhani kuipunzisha CCM ni kuua CCM kabisa ili litakuwa kosa kubwa sana kwani chadema ikiwa madarakani bila mpinzani wa kweli CCM basi chama hiki nacho kitajisahau na kuwa kama CCM.
Tusije kufanya kosa la kukiua CCM bali tukipunzishe na kukifanya kuwa chama imara cha upinzani kitachokuja kuibana Chadema itapokuwa madarakani, na kuwe na uwiano wa nguvu katika bunge yani kama chadema wakichukua nchi basi CCM nao kama chama cha upinzani kipate wabunge wa kutosha kiweze kukisimamia chadema vizuri
Lakini kosa kubwa linaloelekea kufanyika ni kufanya mabadiliko kwa kuua chama tawala (CCM) na kuingiza chama cha wanamageuzi(CHADEMA) . mimi nakubaliana kuwa moja kwa moja CCM inatakiwa kupunzika kwani imechoka na mtu asidhani kuipunzisha CCM ni kuua CCM kabisa ili litakuwa kosa kubwa sana kwani chadema ikiwa madarakani bila mpinzani wa kweli CCM basi chama hiki nacho kitajisahau na kuwa kama CCM.
Tusije kufanya kosa la kukiua CCM bali tukipunzishe na kukifanya kuwa chama imara cha upinzani kitachokuja kuibana Chadema itapokuwa madarakani, na kuwe na uwiano wa nguvu katika bunge yani kama chadema wakichukua nchi basi CCM nao kama chama cha upinzani kipate wabunge wa kutosha kiweze kukisimamia chadema vizuri