Kosa kubwa kwetu wanaume

Kosa kubwa kwetu wanaume

Ili kupunguza machungu na kukimbila dawa za kuongeza nguvu za kiume bora bikra maana wengi waliopigwa sana WANAWAUMIZA WANAUME KWA KUTOKURIDHIKA
ndio maana vidumu haviishi BIKRA UNAANZA NAE HUSUMBUKI SANA KUMNYOOSHA KATIKA NDOA

sidhani kama mwanamke aliyekutana na wanaume zaidi ya wanne ataweza kutulia kwenye ndoa ni ngumu sana
Sasa na huyo bikra ipo siku atazibuka tu akishakua mzoefu na hiyo yako
 
Siku hizi kuna bikra za kichina endelea kusubiria bikra ili uishi kwa raha kwanza siku hizi watoto wa primary hawana, pia bikra hata kwa mwanaume inatakiwa iwepo

wenzio wapo kama wewe huna shauri yako mkuu vichipsi kuku vilikulaghai waache wenzio wafurahie ndoa zao
 
nyie endeleeni kukazana kutafuta bikra .....mi iswazi bikra nawza mke au mpenzibora.....eti mtu anakuambia anataka aoe bikra,...bikra ndio mke mzuri au!!!?
 
Sasa na huyo bikra ipo siku atazibuka tu akishakua mzoefu na hiyo yako

kuzibuka litakuwa kosa langu Mwanaume sharti amjenge mke wake WASHAURINI WATOTO WENU WASIFUATE NYAYO ZENU KAMA MLISHINDWA KUTUNZA BIKRA ZENU ndio maana kesi nyingi sana maana kama nimekukuta huna bikra imani imepungua kwako
labda uwe na sifa nyingine za ziada MUNGU HAPENDI
 
nyie endeleeni kukazana kutafuta bikra .....mi iswazi bikra nawza mke au mpenzibora.....eti mtu anakuambia anataka aoe bikra,...bikra ndio mke mzuri au!!!?
Tafuta kilio mkuu HUYO NI MKE WA MWENZIO BIKRA NI WAKO shamba unalima mwenyewe huoni ufahari
 
kuzibuka litakuwa kosa langu Mwanaume sharti amjenge mke wake WASHAURINI WATOTO WENU WASIFUATE NYAYO ZENU KAMA MLISHINDWA KUTUNZA BIKRA ZENU ndio maana kesi nyingi sana maana kama nimekukuta huna bikra imani imepungua kwako
labda uwe na sifa nyingine za ziada MUNGU HAPENDI
Kua na bikra au kutokua bikra sio sababu tosha kuelezea tabia za mtu.
 
Kua na bikra au kutokua bikra sio sababu tosha kuelezea tabia za mtu.

MBONA MNALISEMEA SANA LA BIKRA? huu ni utafiti binafsi kesi nyingi zipo kwa waliooa wasio mabikra kama wewe umeolewa ukiwa na bikra lete ukweli wako
sisi wanaume nikiwemo nami NAWASIFIA WANAWAKE WALIO MABIKRA MPAKA NDOA WANAZIZUIA KIURAHISI HISIA ZAO simaanishi ndo wote au wengine hawawezi tupo kwenye wengi wape LETA HOJA YAKO
KAMA
UMEOLEWA BILA BIKRA VIPI MUMEO ANAKUAMINIJE shusha data tulinganishe AU JF HAKUNA ALIYEOLEWA NA BIKRA YAKE
 
HUMU INAONEKANA HAMNA ALIYEOLEWA NA BIKRA YAKE leteni hoja vipi mr anaridhika kwako na nyie wanaume mliooa wasio na bikra leteni hoja zenu kubishana bila hoja ni utoto
AU NDO KUTOKUJIAMINI KWENYEWE
 
MBONA MNALISEMEA SANA LA BIKRA? huu ni utafiti binafsi kesi nyingi zipo kwa waliooa wasio mabikra kama wewe umeolewa ukiwa na bikra lete ukweli wako
sisi wanaume nikiwemo nami NAWASIFIA WANAWAKE WALIO MABIKRA MPAKA NDOA WANAZIZUIA KIURAHISI HISIA ZAO simaanishi ndo wote au wengine hawawezi tupo kwenye wengi wape LETA HOJA YAKO
KAMA
UMEOLEWA BILA BIKRA VIPI MUMEO ANAKUAMINIJE shusha data tulinganishe AU JF HAKUNA ALIYEOLEWA NA BIKRA YAKE
Ngoja nipige misele kwanza,badae tarudi
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu

NIPIME KWA ELIMU YANGU BUT THE TRUTH ALWAYS REMAINS THE SAME utaniaminishaje na kitabu wakati ni mawazo ya mtu kama haya niliyokupa MKUU
EVEN MY SELF CAN WRITE IT hizo ni script lete hoja UTABISHA STILL BIKRA NDANI YA NDOA INA FAIDA ZAKE SIKATAI NI ZAIDI YA HAPO ILA UKIZUNGUMZIA UAMINIFU HIYO NI STARTING POINT
mwanamke always anafanya ulinganifu ndio maana nikasema walau mwanaume uwe sio bikra kuliko wao ila vizuri zaidi wote muanze pamoja
bikra sikuzote atakuelewa ni mgeni katika mapenzi na mtu aliyejitunza usichana wake miaka zaidi 20 ni vigumu kumtoa nje mkuu atafute nini UKIONA IVO MWANAUME HUJAPLAY PART YAKO
 
Ngoja nipige misele kwanza,badae tarudi
Hahaha apa nimekukamata kapige utarudi tu huo ni ukweli tu mwanamke aliyeyaanza haya mambo mapema KUMTULIZA KWAKE NI VIGUMU na kupitia hao mmelifanya soko la viagra liongezeke maana lawama sana kwa waume zenu
 
Hahaha apa nimekukamata kapige utarudi tu huo ni ukweli tu mwanamke aliyeyaanza haya mambo mapema KUMTULIZA KWAKE NI VIGUMU na kupitia hao mmelifanya soko la viagra liongezeke maana lawama sana kwa waume zenu
Ah wapi! Hujanikamata bana....
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu

Sasa vitabu vyote daaah
 
Sasa ni vita kati ya waliolewa na bikra na ambao waliolewa na mabwawa yao
 
sio kila kitu mpaka upekue shelfu za vitabu,mleta uzi yupo sahihi bikra ina impact yake kwenye ndoa tuliioa wanawake bikra tunalifahamu hilo,wemtu ameanza kuujua ulimbi tangu yupo darasa la saba ukamue wewe amemaliza chuo kuna kitu tena hapo?baki na lundo la vitabu hilo

walete hoja zao wengi wao WANAUMIA wakubaliane na ukweli tu bikra ina raha yake katika ndoa MIMI MKE WANGU NIKIMTILIA SHAKA KIDOGO KUNIAMINISHA NI RAHISI SANA MAANA LAZIMA NIJIULIZE KAMA KAWEZA KUJITUNZA MIAKA 23 BILA KUGONGWA IWEJE HII PIA changamoto za kindoa kuanzia kusikilizana ni rahisi kwa huyu bikra
 
Hili Suala linahitaji akili ndogo tu: tuchukulie huu mfano,

Ndoa 1:

> Mwanaume (30 yrs) , mwanamke (28yrs) , mwanamke SIO bikra ,alishatembea na wanaume wengine 2 (minimum) kabla ya mumewe.

Ndoa 2:

>Mwanaume (30yrs), mwanamke (28yrs), mwanamke BIKRA ,hajawai kutembea na mwanaume mwingine yoyote kabla ya mumewe

Conclusion: Huwezi kufananisha hizi ndoa bana...hazifanani..lets be realistic, mwanaume kwenye ndoa ya 2 atajiamini zaidi..atakua mwenye furaha zaidi kwa mkewe, atakua na pride zaidi kwa mkewe etc... umemkuta mkeo 28yrs kajitunza..unataka kulinganisha na mtu aloanza sex kwenye 19yrs..ni kukosa akili timamu..
 
Back
Top Bottom