Kosa kubwa kwetu wanaume

Kosa kubwa kwetu wanaume

Hili Suala linahitaji akili ndogo tu: tuchukulie huu mfano,

Ndoa 1:

> Mwanaume (30 yrs) , mwanamke (28yrs) , mwanamke SIO bikra ,alishatembea na wanaume wengine 2 (minimum) kabla ya mumewe.

Ndoa 2:

>Mwanaume (30yrs), mwanamke (28yrs), mwanamke BIKRA ,hajawai kutembea na mwanaume mwingine yoyote kabla ya mumewe

Conclusion: Huwezi kufananisha hizi ndoa bana...hazifanani..lets be realistic, mwanaume kwenye ndoa ya 2 atajiamini zaidi..atakua mwenye furaha zaidi kwa mkewe, atakua na pride zaidi kwa mkewe etc... umemkuta mkeo 28yrs kajitunza..unataka kulinganisha na mtu aloanza sex kwenye 19yrs..ni kukosa akili timamu..

wewe nashukuru umekielewa nilicho maanisha mkuu thanks WENGINE WANAANZA MAPENZI MIAKA 13 UFANANISHE NA 25 SAWA HIYO
WABISHI WANAKUFA KISABUNI TU ILA WAMEKUBALI
 
Labda nikuulize mkuu;hivi kila mtu leo duniani itolewe amri arudi kwa mwanaume/mwanamke wake wa kwanza alie mbikiri itakuaje?????ww aliyekubikiri utamkuta????au nayy atakua kaenda kumfata aliembikiri!???

Concept yangu ni kwamba,.kama hayo unayoyasema ili yaepukike hakuna budi mume na mke wote kuwa mabikira,usiseme tuu oooh wanaume tuoe wanawake tulio wabikiri je,kwa wale waliobikiri zaidi ya mwanamke mmoja awaoe wote???
Kweli Mkuu, lakini pia Maandiko yameruhusu ndoa baada ya kifo cha mmoja wao. Sasa hiyo dhana ya ubikra hapo inasimamaje? Na je ndoa hiyo haiwezi kudumu/kukosa heshima?
Ubikra ni dhana tu, kikubwa heshima na hofu ya Mungu. Basi
 
Kina msemakweli,kubari kataa,lakini ukweli utabaki pale pale.Hapa naona lipo swara la kuchapiwa. Sawa na bikra huenda kwa badae atakuja kujifunza vijitabia hivyo,lakini ebu jiulize.Mwanamke anapokwambia"Sijalidhika" si ina maana kuna badhi ya sehemu kashapita? Sasa anajaribu kulinganisha mziki wako na wa furani. Sasa bikra atakulinganisha na nani ambaye hajawahi kukutana nae? Sasa unaesema eti wangerudi kutafuta waliobikiri,walibakwa? Si wakikaa vibaya wanachunguliwa! Labda ungetoa maelezo ya nini kifanyike kulinda bikra zao. Na kwa dunia ya sasa,kweli zitatunzwa?! Huku anatamani smartphone,gari zuri,Ipad na mengineyo. Na wenye uwezo huo wanawapa zaidi ya 100.Kama tamaa ya vitu iliyopo kwa sasa isingekuwepo na bikra zingekuwa nyingi. Ila kiukweli kuchaluka kwa mwanamke bikra ni tofauti na aliyekwishazoea.Kila mwanaume hamlidishi

WENGINE HUBISHA WAONEKANE NAO WANAPINGA na hapa wasilinganishwe wanawake waliotolewa bila mahusiano LAKINI ALIYEDUMU KWENYE MAHUSIANO IWE MMOJA AU WAWILI NI TOFAUTI NA UTAKAEANZA NAE WEWE TENA MKIWA KATIKA NDOA KIPI AKITAFUTE NJE ndoa anayo tayari labda atatoka kama mazingira au wanaomzunguka marafiki pia wewe mwanaume hujasimama nafasi yako
 
walete hoja zao wengi wao WANAUMIA wakubaliane na ukweli tu bikra ina raha yake katika ndoa MIMI MKE WANGU NIKIMTILIA SHAKA KIDOGO KUNIAMINISHA NI RAHISI SANA MAANA LAZIMA NIJIULIZE KAMA KAWEZA KUJITUNZA MIAKA 23 BILA KUGONGWA IWEJE HII PIA changamoto za kindoa kuanzia kusikilizana ni rahisi kwa huyu bikra
Shauri yako, na ameshajua huo ndio udhaifu wako sasa anautumia kama fimbo kukunyamazisha huku akiendeleza libeneke nje. Jipange na uchunguze zaidi
 
Shauri yako, na ameshajua huo ndio udhaifu wako sasa anautumia kama fimbo kukunyamazisha huku akiendeleza libeneke nje. Jipange na uchunguze zaidi

mke anaeanza kukuchepuka rahisi kumjua mkuu labda asiwe mke ni mpenzi mtu unalala nae unaanka nae usimjue vigumu SANA
KAMA UNABISHA KUONGEZA LIST YA WABISHI OKAY kibaya humu jf hakuna aliyeolewa na bikra yake wengi wanajithibitisha vichapio LABDA WAJE WENGINE UPATE DARASA MKUU
 
Kweli Mkuu, lakini pia Maandiko yameruhusu ndoa baada ya kifo cha mmoja wao. Sasa hiyo dhana ya ubikra hapo inasimamaje? Na je ndoa hiyo haiwezi kudumu/kukosa heshima?
Ubikra ni dhana tu, kikubwa heshima na hofu ya Mungu. Basi

MKUU HIYO DHANA NYINGINE rudi kwenye uhalisia zaidi watu waliokuwa kwenye ndoa huona bora kuoa mke mwenye mtoto
huyu kidogo hana unyanyapaa kwa hawa watoto atakaowakuta na pia keshapevuka mkuu hapo unaongelea mtu zaidi ya miaka 30
kufanya kwake ni kwa hulka tu
 
Kweli Mkuu, lakini pia Maandiko yameruhusu ndoa baada ya kifo cha mmoja wao. Sasa hiyo dhana ya ubikra hapo inasimamaje? Na je ndoa hiyo haiwezi kudumu/kukosa heshima?
Ubikra ni dhana tu, kikubwa heshima na hofu ya Mungu. Basi
Done, mkuu
 
Ah wapi! Hujanikamata bana....

Hahaha huna pakutokea nakusubiri urudi na hoja MAANA NAJUA WEWE UNGEMPATA MWANAUME BIKRA STILL UNGETOKA
hapo unaona bora nani awe bikra maana bikra ya kiume utamuona mshamba ukikumbuka muziki wa ex huko unakimbilia kudanse nae au ikitokea jamaa kapiga mluzi tu unamkubalia
BIKRA YA MWANAMKE NDO INA IMPACT KUBWA KATIKA NDOA KULIKO YA MWANAUME ila nzuri wote muanzie kwenye ndoa hayo mambo MTATULIA
 
ni kweli bikra inaimpact katka ndoa, but pia ukioa mwanamke bikra omba mungu, wahuni wasije kukuonjea, koz mkeo anaweza kuchepuka na kukutana na jamaa anayepga papuchi utafikiri kahukumiwa kifungo cha maisha jela, hapo lazma mkeo atakusumbua tu. yaan jamani acheni kabsa kuna watu wanajua kucheza na papuchi si mchezo, kuna jamaa wangu wiki kama mbili zilizopta katoka kumzimsha demu kitandani, yaan alipga gemu mpaka demu akazma kwa UTAMU, sasa imaging awe ndo mkeo hata kama ulimtoa bikra si ataanza kukudharau na kumwaminia msela wa nje?
 
Nikijaribu kujifikiria kama mwanaume naona kidogo makosa mengine tunayatafuta ndio maana hatufurahii ndoa zetu.

Na haya yanapelekea hawa wanawake wajionee wapo juu kwetu

Tunaoa sana kwasababu ya;

1- Mimba

2- Sura

Na bikra tunaziacha hili ni tatizo kubwa unaoa mwanamke aliyezoea jalamba saa tatu wewe nusu saa chali lazima awe anatoka nje maana humfikishi na kibaya wale wanaoenda kwa pupa kuandaana mwiko sekunde mbili huyo.

Wanawake walioolewa na bikra zao leteni comments

Najua hawa walioolewa wakiwa na ndoa tayari na ex wake watakataa tu

Ila mwanaume ili uishi vizuri na ufurahie ndoa tafuta bikra tu ukimwacha huyo utairudia.
Mbona mnawasema tu wanawake VIP wanaume je hawanaga bikira?
 
Sasa mkioa bikra tu hao mliowaonja onja wataolewa na nani?hebu muwe fair...he!sikua na hio nmeolewa na ndoa yangu n muruuua..
 
"Even a soul mate can really taste you. Bikra ina umuhimu sana kwa mwanamke and I wish tungekuwa tunajitunza hadi kwenye ndoa . But bikra alone sio guarantee ya kuwa ndoa yenu itakuwa na furaha siku zote na kudumu kwa kuwa tu mkeo ulimkuta bikra

Usaliti katika ndoa sio kwa sababu tu mtu haridhishwi na mwenza wake. Watu wanasalitiana kwa ajili ya pesa, kampani tu, kutaste new variety, wengine wanajikuta tu a.k.a kurubunika, tamaa tu etc. Even kuoana wacha Mungu doesn't mean that your marriage will automatically work out .... work for it.

Kingine sio kila anayechepuka kwenye ndoa anachepuka na ex wake. Watu wanachakachuana maofisini, kanisani, safarini etc. Na kuna wanawake walikuwa wanajiuza before ila leo hii wameolewa na wametulia na ndoa zao ni za mfano. Above all sio kila ndoa inavunjika kaa sababu tu ya usaliti. Kuna matatizo madogo madogo ambayo mkiyaoverlook tu mtaachana pasipo kuamini. Work for your marriage + kumtanguliza Mungu daima, you are not safe at all
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu
brother uko vizur kufuatilia masuala y mapenz
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu
nakubaliana na wewe kwa 100%. ila sikubaliani na wewe kwa ushauri wa kusoma vitabu... mapenzi hayahitaji literature review!! kila mtu ni unique linapokuja suala la mapenzi..
 
Umenena kweli...anaekupinga ni yule ambae hajaionja raha ya kukutana na mwanamke bikra hivyo anabakia kujifariji.
 
, silazimishi furaha as usemavyo am happy from my heart, according kwa mahusiano yetu ya awali am the second one na hata ningekuwa wa mia it doesn't matter as long as tunaheshimiana
Nimesoma conversation yako na jamaa. Analazimisha kuwa huna furaha kisa hukuoa bikra. Yani kaForce kweli kwamba unajifanya una furaha.

Halafu yeye ndo ana furaha sana kwa sababu kaoa bikra.

Wataalam wa psychology watusaidie.

By the way THE RICHARDS jiamini mwanaume. Yani una confidence zero. Halafu nakuona mburulaz. There's more to life than hymens. Measuring happiness using virginity, really!!!!

Wenye wasiwasi kuwa watapigiwa mnaonekana shughuli hamjui. Mnaona bora mchukue bikra ili asijue kama haridhishwi.

Yale yaleee niliyosema.
 
Back
Top Bottom