Kosa kubwa kwetu wanaume

Kosa kubwa kwetu wanaume

mkuu upo sahihi bikra sio guarantee lakini ina faida kubwa na una punguza mengi kuliko aliye tayari WEWE UNAMUAMINI HUYO HUPENDI KUJIPA MAUMIVU hebu nikuulize kama ulimuuliza aliyembikiri upo tayari aende peke yake mfano kama ni wa nyumbani kwao hujioni unakuwa na presha
HOFU YA MUNGU ITAMSAIDIA KAMA ANAMAANISHA KWELI ila ukweli kama umeoa mke asiye bikra inakufanya usijiamini MAANA KUIBIWA MUDA WOWOTE
labda huyo ex wake walifanyiana kosa kubwa still mwanamke akili yake nyepesi mkuu BIKRA INA NAFASI KUBWA SUBIRI WALIO NA WAKE MABIKRA ni ukweli hatuwezi pinga mkuu as ipo ivo
Kiongozi tena aliyemtoa Bikra ni jamaa yangu hapa mtaani na yeye ana mke wake na tunaheshimiana sana tu. Shit happens ila tatizo vijana wanaendekeza shits ndio sababu Ndoa zinawashinda. Kosa kubwa hapo ni uaminifu, katika Ndoa ukianza kujiuliza ndivyo sivyo unaanza kupoteza imani na mwenzako na mwisho hutomuamini kabisa na hapo Ndoa inaanza kuwa ndoano...all in all hofu ya Mungu, kuheshimiana na kujitambua ndio nguzo imara ya Ndoa...hizo zingine sijui Bikra ni blah blah tu kwani ingekuwa hivyo nami ningeanza kumuwaza mwanamke wa kwanza nalala nae nikiwa kidato cha tatu miaka ile...mawazo yako ndio silaha yako inategemea silaha zako umezielekezea wapi
 
Mkuu mpaka nikaoa sikukurupuka, nilishatoa visichana Bikra kama vitatu na sikuvioa...na uzuri zaidi mke niliyenaye tunaheshimiana na anajali future in short am happy to be with her ndio hapo ninapopinga kwamba Bikra haina positive impact kwenye Ndoa sababu Mimi ni mfano mkubwa tu

FUTURE YA MWANAMKE INAJENGWA NA NANI LABDA MKUU mimi naamini una happy as u sacrifice to be happy na hao ulienda nao just for fun HAPA TUNAMAANISHA umempenda na umemkuta nayo ndoa yako itakuwa na amani kuliko huyu aliyeoa asiye
hata wewe what u call happy its not in reality rather umeficha maumivu kwa kuikaribisha furaha KAMA UPO HAPPY vp mawasiliano yake unafuatilia? je hujawahi kutana na text ya ex wake kama hujawahi huyo alikuwa anaanza wewe wa pili katika list yake
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu
Lakin hivyo vitabu navto viliandikwa na mtu tu, kama yy alie leta uzi
 
FUTURE YA MWANAMKE INAJENGWA NA NANI LABDA MKUU mimi naamini una happy as u sacrifice to be happy na hao ulienda nao just for fun HAPA TUNAMAANISHA umempenda na umemkuta nayo ndoa yako itakuwa na amani kuliko huyu aliyeoa asiye
hata wewe what u call happy its not in reality rather umeficha maumivu kwa kuikaribisha furaha KAMA UPO HAPPY vp mawasiliano yake unafuatilia? je hujawahi kutana na text ya ex wake kama hujawahi huyo alikuwa anaanza wewe wa pili katika list yake
Mkuu simu yangu sometimes anakaa nayo na yake nipo na uhuru nayo kuitumia muda wowote na hakuna msg wala simu za ajabu zimewahi tokea mwaka wa nne, silazimishi furaha as usemavyo am happy from my heart, according kwa mahusiano yetu ya awali am the second one na hata ningekuwa wa mia it doesn't matter as long as tunaheshimiana
 
Siku hizi kuna bikra za kichina endelea kusubiria bikra ili uishi kwa raha kwanza siku hizi watoto wa primary hawana, pia bikra hata kwa mwanaume inatakiwa iwepo
 
Tatizo unakurupuka...Bikra haina impact yoyote katika kulinda Ndoa...nimeoa mke wangu 2012 na tumebahatika kupata Mtoto mmoja wa kike ana miaka mitatu now...
Sikumkuta na hiyo Bikra na huu mwaka wa nne tunaheshimiana kama tumekutana Jana. Ndoa ni vile vipaumbele mnavyovitanguliza plus Ndoa kukosa hofu ya Mungu...mambo ya Bikra ni dhana finyu
Wapo wengi wameoa Bikra na bado wanagongewa kama kawaida...
Angalia ni kip anakipenda kwako,bikra ina raha yake kaka, hata kama si ote lakin weng wao bikra huwez linganisha na mtu kasha jombikika lishakuwa jamvi ndo uoe lazima ile hali kuiacha ningum sana, mara nyng utakuwa unaona katulia kumbe ukitoka tu nae anasepa, chunguza .
 
Kiongozi tena aliyemtoa Bikra ni jamaa yangu hapa mtaani na yeye ana mke wake na tunaheshimiana sana tu. Shit happens ila tatizo vijana wanaendekeza shits ndio sababu Ndoa zinawashinda. Kosa kubwa hapo ni uaminifu, katika Ndoa ukianza kujiuliza ndivyo sivyo unaanza kupoteza imani na mwenzako na mwisho hutomuamini kabisa na hapo Ndoa inaanza kuwa ndoano...all in all hofu ya Mungu, kuheshimiana na kujitambua ndio nguzo imara ya Ndoa...hizo zingine sijui Bikra ni blah blah tu kwani ingekuwa hivyo nami ningeanza kumuwaza mwanamke wa kwanza nalala nae nikiwa kidato cha tatu miaka ile...mawazo yako ndio silaha yako inategemea silaha zako umezielekezea wapi

umeongea sahihi mkuu na chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa kipo kwenye uaminifu Wewe shukuru huyo katika list wewe wa pili
na hapa tunachokisemea huyu anaeanza kidogo katika uhusiano mengi anayavumilia HUYU ALIFANYA SANA NA WATU WENGI HUFANYA ULINGANIFU walau akutane nawe mwanaume mpenda ngono
NINA workmate ana mpenzi pale IFM huyu kila siku lazima aende akamchukue yule mwanamke wakalale gesti anaweza lala nae mwezi mzima MKE WAKE YUPO MBALI NAE ILA NI HAPA HAPA DAR hebu jiulize mwanamke kama huyu akimpata bwana wa mara moja kwa wiki si atamrudia huyu
na hilo ndilo tatizo kuu
ANAJITAMBUA NDIO JE NI MVUMILIVU bikra as unaanza nae tendo halipi kipaumbele sana maana ni mgeni NDIO MAANA WAO KUTOKA NJE YA NDOA NI VIGUMU KIDOGO
 
Kina msemakweli,kubari kataa,lakini ukweli utabaki pale pale.Hapa naona lipo swara la kuchapiwa. Sawa na bikra huenda kwa badae atakuja kujifunza vijitabia hivyo,lakini ebu jiulize.Mwanamke anapokwambia"Sijalidhika" si ina maana kuna badhi ya sehemu kashapita? Sasa anajaribu kulinganisha mziki wako na wa furani. Sasa bikra atakulinganisha na nani ambaye hajawahi kukutana nae? Sasa unaesema eti wangerudi kutafuta waliobikiri,walibakwa? Si wakikaa vibaya wanachunguliwa! Labda ungetoa maelezo ya nini kifanyike kulinda bikra zao. Na kwa dunia ya sasa,kweli zitatunzwa?! Huku anatamani smartphone,gari zuri,Ipad na mengineyo. Na wenye uwezo huo wanawapa zaidi ya 100.Kama tamaa ya vitu iliyopo kwa sasa isingekuwepo na bikra zingekuwa nyingi. Ila kiukweli kuchaluka kwa mwanamke bikra ni tofauti na aliyekwishazoea.Kila mwanaume hamlidishi

KABISA MKUU BIKRA INAKUFANYA UJIAMINI MAANA HUYU HATA UKIMWAMBIA NIMECHOKA ATAKUELEWA hebu rudi aliyezoea tena wapiga viroba atakuelewa ndo gume gume katika ndoa WATAPINGA WATAKUBALI HUO NI UKWELI NDOA YA BIKRA NA AMBAE HANA NI TOFAUTI KABISA kila mtu angeoa bikra hizi kesi zingepungua sana shida KUOA MKE ASIYE WAKO
kurudi kwa ex wake au kuanza penzi jipya ni rahisi sana labda umtimizie kweli kweli kitu ambacho hakiwezekani
 
Angalia ni kip anakipenda kwako,bikra ina raha yake kaka, hata kama si ote lakin weng wao bikra huwez linganisha na mtu kasha jombikika lishakuwa jamvi ndo uoe lazima ile hali kuiacha ningum sana, mara nyng utakuwa unaona katulia kumbe ukitoka tu nae anasepa, chunguza .
Siwezi kuchunguza kitu ambacho tayari nina majibu nacho. Rejea post zangu za juu...uchunguzi nilishafanya zamani sana na kujiridhisha, wengi wenu Ndoa zinawashinda sababu ya vimsemo vyenu vya "chunguza uone" kuna Uzi jamaa alileta namna alivyomwacha demu wake wa chuo kisa ushauri wa wanajamvi, kama umeolea Bikra hongera ila tuna tofauti ndugu Mimi sikuolea Bikra na ndio sababu we're happy mpaka dakika hii Mkuu
 
ukioa bikra utamweza? wakati umeshazoea sarakasi za wanawake weng kabla y kukutana nayo,
Nyiny ndo mnaishia kusema mke analala km gogo! sasa atoe uzoef wap? `ndege wanao fanana huruka pamoja' ukitaka bikra nawe uwe bikra,.

bora gogo kuliko kiruka njia mnafundishana pole pole cd zpo elimu ipo mitandaoni kuliko huyu popote unamuwazia akienda sokoni lazima ukague simu yake still hujiamini maana kuchepuka sekunde
na kibaya hata uwe na pesa kutoka atatoka tu hata kwa kuhonga bikra unaweza kumcontrol utakavyo
 
sasa hilo ni kosa mkuu hapa uelewe naizungumzia furaha ya ndoa na hasa nimeangalia kipi kinawaunganisha pamoja TENDO wote kama ndo mnaingia ni vizuri zaidi ila kama MMOJA KAANZA BORA SISI WANAUME kidogo tuna heshima kuwarudia ma ex wetu kama unajitambua ni vigumu NA HILI UTALIBISHA ILA JIJIBU UNAIFURAHIA NDOA YAKO je mkeo ulimkuta tayari?
wanawake hawasahau kama umebikiri zaid ya mmoja na upo nae lete ushahidi
Hapa tuangalie suala la kujitambua basi kama hoja yako ni hiyo,.kujitambua ni mtu mwenyewe binafsi na si suala la me/ke,Dhana ya kwamba mwanamke pekee ndio hawezi kumsahau aliembikiri c kweli,kama anamkumbuka basi anaweza kumkumbuka Hata kwa ubaya pia(kubakwa,kulazimishwa,bahati mbaya n.k)Sasa cdhani vitu kama hivyo vtamfanya amrudie alie mbikiri au ex wake huyo..

Kujiheshimu kupo palepale mtu akishajitambua haijalishi jinsia yake Mkuu..

Ndoa na iheshimiwe na watu WOTE.
 
Siwezi kuchunguza kitu ambacho tayari nina majibu nacho. Rejea post zangu za juu...uchunguzi nilishafanya zamani sana na kujiridhisha, wengi wenu Ndoa zinawashinda sababu ya vimsemo vyenu vya "chunguza uone" kuna Uzi jamaa alileta namna alivyomwacha demu wake wa chuo kisa ushauri wa wanajamvi, kama umeolea Bikra hongera ila tuna tofauti ndugu Mimi sikuolea Bikra na ndio sababu we're happy mpaka dakika hii Mkuu

your happy in wrong direction HATA MOYO WAKO UNAKUSHUDIA je unaweza ruhusu mkeo aongozane na ex wako? au ikitokea umewakuta wawili ndani ya gari utajisikiaje huoni utakosa kaamani kidogo TOFAUTI NA SURA NGENI hiyo ni kuonyesha moyo wetu wanaume tunapenda uwe first once fail unajiamliza zaid u can handle but still kaimani kwake kamepungua mkuu

mtu aliyeweza kujitunza miaka 20 kakwepa vishawishi vyote ufananishe na aliyeweza tekwa huko ni ngumu mkuu
 
Hizo bikra zikoje? toka nianze mapenzi sijawahi kutana na bikira kabisa,aisee nikibahatika naoa kabisa
 
your happy in wrong direction HATA MOYO WAKO UNAKUSHUDIA je unaweza ruhusu mkeo aongozane na ex wako? au ikitokea umewakuta wawili ndani ya gari utajisikiaje huoni utakosa kaamani kidogo TOFAUTI NA SURA NGENI hiyo ni kuonyesha moyo wetu wanaume tunapenda uwe first once fail unajiamliza zaid u can handle but still kaimani kwake kamepungua mkuu

mtu aliyeweza kujitunza miaka 20 kakwepa vishawishi vyote ufananishe na aliyeweza tekwa huko ni ngumu mkuu
Why not nisimruhusu??? Ndio narudi pale pale ukimuheshimu na kumuamini mwenzako na yeye akatambua kabisa anaaminiwa na kuheshimika hawezi kufanya mambo ya ajabu. Wake za watu wanamegwa sana ukiangalia utagundua waume zao walikuwa busy kuchunguza tabia za wake zao na kusahau mambo ya msingi, kwa hali hiyo unadhani kwanini papuchii ya mkeo isiliwe??? Muheshimu, muamini na mdhamini hayo mengine achana nayo utaona kama utasikia chokochoko yoyote
 
Hapa tuangalie suala la kujitambua basi kama hoja yako ni hiyo,.kujitambua ni mtu mwenyewe binafsi na si suala la me/ke,Dhana ya kwamba mwanamke pekee ndio hawezi kumsahau aliembikiri c kweli,kama anamkumbuka basi anaweza kumkumbuka Hata kwa ubaya pia(kubakwa,kulazimishwa,bahati mbaya n.k)Sasa cdhani vitu kama hivyo vtamfanya amrudie alie mbikiri au ex wake huyo..

Kujiheshimu kupo palepale mtu akishajitambua haijalishi jinsia yake Mkuu..

Ndoa na iheshimiwe na watu WOTE.

MKUU UNATOKA NJE YA MAADA hapa ulinganishe katika ndoa kuoa aliyebikiriwa na hasa aliyekuwa kwenye uhusiano uwe wa kwanza wa pili not aliyebakwa wala kufosiwa
na bikra
HUYU ALIYEDUMU KWENYE UHUSIANO LABDA UWE WA PILI lakini kalala na wanaume zaidi ya watatu utajiamini hapo umuamini mkuu hebu ongea ukweli wako
NDOA NYINGI WANAOSUMBUA NI MA EX KULIKO PENZI JIPYA
 
Hapa tuangalie suala la kujitambua basi kama hoja yako ni hiyo,.kujitambua ni mtu mwenyewe binafsi na si suala la me/ke,Dhana ya kwamba mwanamke pekee ndio hawezi kumsahau aliembikiri c kweli,kama anamkumbuka basi anaweza kumkumbuka Hata kwa ubaya pia(kubakwa,kulazimishwa,bahati mbaya n.k)Sasa cdhani vitu kama hivyo vtamfanya amrudie alie mbikiri au ex wake huyo..

Kujiheshimu kupo palepale mtu akishajitambua haijalishi jinsia yake Mkuu..

Ndoa na iheshimiwe na watu WOTE.

MKUU UNATOKA NJE YA MAADA hapa ulinganishe katika ndoa kuoa aliyebikiriwa na hasa aliyekuwa kwenye uhusiano uwe wa kwanza wa pili not aliyebakwa wala kufosiwa
na bikra
HUYU ALIYEDUMU KWENYE UHUSIANO LABDA UWE WA PILI lakini kalala na wanaume zaidi ya watatu utajiamini hapo umuamini mkuu hebu ongea ukweli wako
NDOA NYINGI WANAOSUMBUA NI MA EX KULIKO PENZI JIPYA
 
Yote kwa yote,iwe bado wasichana au katika ndoa..HOFU YA MUNGU ndio mwarobaini wa maadili ya mwanamke na hata mwanamme
 
Why not nisimruhusu??? Ndio narudi pale pale ukimuheshimu na kumuamini mwenzako na yeye akatambua kabisa anaaminiwa na kuheshimika hawezi kufanya mambo ya ajabu. Wake za watu wanamegwa sana ukiangalia utagundua waume zao walikuwa busy kuchunguza tabia za wake zao na kusahau mambo ya msingi, kwa hali hiyo unadhani kwanini papuchii ya mkeo isiliwe??? Muheshimu, muamini na mdhamini hayo mengine achana nayo utaona kama utasikia chokochoko yoyote

Mhhhhh katika hilo unakiri uongo mkuu NA INAONEKANA BADO hujaguswa na mengi labda hilo la kumcha MUNGU kama ana maanisha
lakini bado huwezi ruhusu aongozane nae kuna kitu utasikia hutaki kukubali ukweli tu MKE HALINDWI WALA KUCHUNGUZWA
LAKINI HAPA TUMELIONGELEA SWALA LA UAMINIFU au ngoja nikuulize wewe wa ngapi katika list kama wa pili nitaamini kidogo maana bado mgeni huyu kaanzia kwako
 
HAKUNA MWALIMU WA MAPENZI,HAKUNA FORMULA KATIKA MAPENZI
 
Back
Top Bottom