Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,053
Tatzo wewe umekariri vitabu,sometimes vitabu havizungumzii uhalisia mkuu.Ndio uelewa wako ulipoishia sikushangai
Habari za kuambiwa changanya na zakwako!
Tatzo wewe umekariri vitabu,sometimes vitabu havizungumzii uhalisia mkuu.Ndio uelewa wako ulipoishia sikushangai
tatizo lako ni moja pengine ulipata kimada ukambikiri basi ndo unajiona kama wewe ndo wa kwanza kufanya hivyo kwa akili yako inavyokutuma,,wengi wamepiga hizo bikira lakn mwsho wake wakaoa ambao hawakuwa mabikira..mi cjaona uhusiano kati ya mtu kuwa bikira na mtu na watu kupendana..wakati wewe unaoa bikira wenzio wanaoa pale wanapopendwa na kujaliwa sishangai sana lakini labda umezoea sana mitumba sasa ulivyokutana na bikira ukaona kama umepata almasi vile mpk ukaamua kuja kutangaza jamii forumHujajua unachokiongea mkuu SIWEZI ISIFIA BIKRA BILA NDOA NAJUA MAZURI YAKE sijawahi jutia kuoa nyinyi wote mliooa hao sio wake zenu ndio maana presha na kesi za kusalitiwa nyingi BIKRA ZIPO SEMA UMEZIKOSA WENZIO TUMELEA MKUU
hata ukishindwa itafute hata msingi anza kulea ili ushindane na kesi za vimichepuko vya kijnga
WANAUME MLIOOA WALIOBIKIRIWA WENGI WENU HAMJIAMINI NAO na ndio mnaoongoza kununua dawa za nguvu za kiume ukipinga una lako tu
tatizo lako ni moja pengine ulipata kimada ukambikiri basi ndo unajiona kama wewe ndo wa kwanza kufanya hivyo kwa akili yako inavyokutuma,,wengi wamepiga hizo bikira lakn mwsho wake wakaoa ambao hawakuwa mabikira..mi cjaona uhusiano kati ya mtu kuwa bikira na mtu na watu kupendana..wakati wewe unaoa bikira wenzio wanaoa pale wanapopendwa na kujaliwa sishangai sana lakini labda umezoea sana mitumba sasa ulivyokutana na bikira ukaona kama umepata almasi vile mpk ukaamua kuja kutangaza jamii forum
hahahaaa so we miaka yote ulioko humu umeishia kujua bikira tu!! sio lazima tuwe na mawazo yanayofanana mkuu so punguza jazbahukijui unachokiongea mkuu hapa hatushindani ongea point zako kama hujaoa tulia haikuhusu LAKINI SIKUSHANGAI MGENI HUMU JAMVINI
una miezi mitatu humu mkuu wewe endelea kubwabwaja
Ndugu nimalizie kusema kama awali UKIMUHESHIMU, UKIMUAMINI NA KUMJALI hata kama ungekuwa wa mia hawezi kukutenda. Ila ukianza uwalakini ukiambiwa na jirani tu "nimemkuta mke wako amesimama barabarani na kaka hata simjui" presha inakupanda unaanza kupumulia mashine na mbaya ajue humuamini anatimiza ule msemo "bora nifanye ili ukiongea uongee kitu cha ukweli"....muamini, mthamini na mjali mkeo hayo mengine ni tantalila tu Mkuu
hahahaaa so we miaka yote ulioko humu umeishia kujua bikira tu!! sio lazima tuwe na mawazo yanayofanana mkuu so punguza jazba
Sikusema nilikutana nao umri wa kuoa na wala sikuwa mwalimu na sikutembea na mwanafunzi...wote niliokuta Bikra sikutegemea kuzikuta na yalitokea mambo ya ajabu kipindi cha nyuma moja Wapo ikiwa nilikuwa sijatulia "Malaya" hivyo sikudumu nao na mtu pekee aliyebadili mtazamo wangu ni huyu mke wangu ndiye alinifanya nione kweli maisha ya mahusiano ni raha na ndipo napingana na mleta Uzi kwamba Bikra inaweza kuwa guarantee ya Ndoa kudumu
hahahaa we jamaaa bhana so kama umeoa bikira ndo ukaamua kuja kutangaza hapa jamii forum!! haya bhana umeshinda..hongera sana na wala si kwamba nmejenga hasira sorry km kuna comment yangu imekukwaza si lazima mawazo yetu yafanane mda mwngne tunapishana mitazamo kama hivi so hamna haja ya mtu kukasirikaHIVI PALE PANA NENO BIKRA TU kuoa kwa sifa ya sura au mimba mbona ulizungumzii mimi nimeoa aliye na bikra NIMEONA CHANZO KIKUU CHA KUVUNJIKA NDOA NYINGI IPO KWENYE UAMINIFU
kama umeoa asiye bikra huna raha na ndoa yako pole mkuu
ENDELEA KUKIMBILIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NAPO HATOTOSHEKA MENGINE MALORI MKUU
ila kama hujaoa itafute mengine utamjenga ACHA HASIRA HAPA
hujawahi sikia ukioa mwanamke asiye bikra umeoa mke wa mtu basi ndo utambue hilo ukibisha umeamua mkuu
khee hata simkumbuki aliyetoa
Wanne wachache mkuu .. Ika nikiacha naacha for goodkatika list zako mumeo uliye nae wa ngapi kama ni wa nne hao wa nyuma vipi na anakuamini kiasi gani?
hahahaa we jamaaa bhana so kama umeoa bikira ndo ukaamua kuja kutangaza hapa jamii forum!! haya bhana umeshinda..hongera sana na wala si kwamba nmejenga hasira sorry km kuna comment yangu imekukwaza si lazima mawazo yetu yafanane mda mwngne tunapishana mitazamo kama hivi so hamna haja ya mtu kukasirika
DUUUH WA NNE hapo hana chake kabisa hiyo papuchi wakirudi hao ma ex unawapa tu tena unawaacha kikawaidaWanne wachache mkuu .. Ika nikiacha naacha for good
Warudi wanakuwa wamesahahu nini labda?DUUUH WA NNE hapo hana chake kabisa hiyo papuchi wakirudi hao ma ex unawapa tu tena unawaacha kikawaida
pamoja sana mkuu,sipingan na haya ulioyasemasiwezi kisifia kitu nisicho nacho mkuu mbona wapo waliooa wake wasio bikra wanakiri hayo hata kama wewe pia umeoa asiye bikra unakiri ILA SIO HASIRA MAANA ALISHATOLEWA NA MTU HUKO
SOMA COMMENTS JUU UONE WANAOKIRI KUOA BIKRA WANAZIFURAHIA KIASI GANI NDOA ZAO sisemi hawana mapungufu ni kiasi kuliko huyu asiye bikra na hasa aliyelala na wanaume zaidi ya watatu kashindwa kuzuia hisia utampa nini umtulize ni ngumu utachapiwa tu
kama hujafanya analysis ndogo fuatilia watu waliooa magume gume na yule uliye na data zake alikuwa anajilinda waweke kapu moja hawa mkuu uone HAVIPINGIKI HIVI
NDOA MUANZE WOTE PAMOJA UKIONGEZA KUJITAMBUA NA KUMCHA MUNGU NDO ZAIDI
Mtoa mada utafute bikra newer he ni bikra. Ushawala v ya kutosha mfyuuNikijaribu kujifikiria kama mwanaume naona kidogo makosa mengine tunayatafuta ndio maana hatufurahii ndoa zetu.
Na haya yanapelekea hawa wanawake wajionee wapo juu kwetu
Tunaoa sana kwasababu ya;
1- Mimba
2- Sura
Na bikra tunaziacha hili ni tatizo kubwa unaoa mwanamke aliyezoea jalamba saa tatu wewe nusu saa chali lazima awe anatoka nje maana humfikishi na kibaya wale wanaoenda kwa pupa kuandaana mwiko sekunde mbili huyo.
Wanawake walioolewa na bikra zao leteni comments
Najua hawa walioolewa wakiwa na ndoa tayari na ex wake watakataa tu
Ila mwanaume ili uishi vizuri na ufurahie ndoa tafuta bikra tu ukimwacha huyo utairudia.
Siku hizi -kuanzia miaka ya 2005 wanawake wa chuo ni scraper, utafikiri Ana miaka 40 hivyo alivyozeeka kila kitu,hawa ni asilimia 70 ya wote wanaomaliza vyuonisio kila kitu mpaka upekue shelfu za vitabu,mleta uzi yupo sahihi bikra ina impact yake kwenye ndoa tuliioa wanawake bikra tunalifahamu hilo,wemtu ameanza kuujua ulimbi tangu yupo darasa la saba ukamue wewe amemaliza chuo kuna kitu tena hapo?baki na lundo la vitabu hilo