Kosa kubwa kwetu wanaume

Kosa kubwa kwetu wanaume

Huyo hana tofauti na mtu anayetoa instruction jinsi ya kuendesha gari wakati hana gari wala hajawah kuliendesha hilo gari
 
Ndio hawa kila siku wanajidai mume wangu haniridhishi oooh mara hanifikishi,we mtu kuanzia primary anasugua tu mpk imeota sugu kama mguu,leo hii unakuja na boriti utaweza??
 
Wasio na bikra wanalalamika hapa
Zitunzeni
 
Ndio mmeamua kurudi enzi za kusaka bikra sio?

Ili kupunguza machungu na kukimbila dawa za kuongeza nguvu za kiume bora bikra maana wengi waliopigwa sana WANAWAUMIZA WANAUME KWA KUTOKURIDHIKA
ndio maana vidumu haviishi BIKRA UNAANZA NAE HUSUMBUKI SANA KUMNYOOSHA KATIKA NDOA

sidhani kama mwanamke aliyekutana na wanaume zaidi ya wanne ataweza kutulia kwenye ndoa ni ngumu sana
 
Siku hizi -kuanzia miaka ya 2005 wanawake wa chuo ni scraper, utafikiri Ana miaka 40 hivyo alivyozeeka kila kitu,hawa ni asilimia 70 ya wote wanaomaliza vyuoni

hata hiyo 70 kubwa mkuu chipsi zimewamaliza na bodaboda KUMTULIZA MWANAMKE MAPEPE NGUMU SANA
 
Mtoa mada utafute bikra newer he ni bikra. Ushawala v ya kutosha mfyuu

NIMEIPATA NIMEONA RAHA YA NDOA ndio maana nawashauri wanaume wenzangu wazitafute wakizikosa waangalie walau aliyekutana mara moja mbili zaidi ya hapo UTAIJUTIA NDOA YAKO hapa hatujaangalia vigezo vingine BILA HIVO JIANDAE KUNYWA VIAGRA
 
Warudi wanakuwa wamesahahu nini labda?

OKAY hata wasipo rudi huoni kwako wewe ni rahisi kutoka nje kuitafuta furaha ya mwili labda kama hao watatu walikupitia mara moja tu na hata huyo ulienae anakupigisha mziki mkubwa BILA HIVO KWAKO KUTOKA NJE NI RAHISI SANA hebu lieleze hili bila kuficha usimuogope hakuoni
 
OKAY hata wasipo rudi huoni kwako wewe ni rahisi kutoka nje kuitafuta furaha ya mwili labda kama hao watatu walikupitia mara moja tu na hata huyo ulienae anakupigisha mziki mkubwa BILA HIVO KWAKO KUTOKA NJE NI RAHISI SANA hebu lieleze hili bila kuficha usimuogope hakuoni
hapana mkuu siyo rahisi kila kitu ni mind setting tu
 
Utatafuta wachawi weeee kumbe we ndio kubwa la wachawi, akili kumkichwa
 
pamoja sana mkuu,sipingan na haya ulioyasema

Nashukuru umekubali mkuu ni dunia yetu na haya hayakwepeki ILA ILI TUPUNGUZE VILIO KIDOGO MKIANZA PAMOJA FURAHA YA NDOA IPO
fuatilia humu wanaolalamikia ndoa zao nini chanzo wengi ni kwenye uaminifu
 
hapana mkuu siyo rahisi kila kitu ni mind setting tu
sipingani nawe ila hebu jiulize una wenzio walio kwenye ndoa pia je hawajawahi kukusimulia huduma walizopata nje au kabla ya ndoa ni bora kuliko hii kwa waume zao
na unahisi ni vizuri kuingia katika ndoa ukiwa na msululu wa wanaume waliokupitia
 
Ndio hawa kila siku wanajidai mume wangu haniridhishi oooh mara hanifikishi,we mtu kuanzia primary anasugua tu mpk imeota sugu kama mguu,leo hii unakuja na boriti utaweza??

HUJAONA MKUU UKIONA LUNDO LA WATU UJUE KUNA MUUZA DAWA ZA KIUME hapo wameokota wengi maana wake zao hawaridhiki home jamaa anatafuta afanyeje amlizishe wapi ko chochote mbele yake anakifanya mradi kuwatafutia furaha WALE WAMESHAZOEA TENA MBAYA UWE NA KIBAMIA ATAKUENDESHA HUYO
 
Nilichogundua kwenye mjadala hapa ni kwamba wanaume tuna wivu sana.....na tuko selfish sana pia.....tunazungumzia sana ubikira wa mwanamke lakini wachache sana miongoni mwetu tuna-appreaciate umuhimu wa mwanaume naye kuwa bikra!

Nijuavyo mimi binafsi, hata kama ukioa mwanamke bikra, but wewe mwenyewe kabla ya ndoa ulishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake kibao still utampa shida mke wako....maana yeye atatulia but wewe utarukaruka sana. Hata hivyo bado nafasi ya kuyakana na kuyaacha ya kale bado ipo kwa msaada wa Mungu mwenyezi!

Again, hata ukioa mwanamke bikra, lakini kama hatambui umuhimu na heshima ya ndoa, bado anaweza kuchepuka!!!....Kwa uzoefu wangu, mwanamke ambaye aliolewa bikra alafu baadae akachepuka na mwanaume ambae anajua sex kuliko mume wake, ni rahisi sana kumtoa kwenye reli ya ndoa....hata ndoa inaweza kuvunjika kabisa! Scenario za aina hii nimeziona nyingi tu!

What then? kwa wanaume wote, whether umeoa mwanamke bikira au la, hakikisha unamfikisha mkeo kileleni(unamkojolesha ikibidi hata mara mbili au zaidi kwa penzi moja). Hiyo ndio njia mojawapo ya kumfanya mkeo atulie ndoani kimapenzi. Njia nyingine ni upendo, kujali na ku-share kila kitu ili kuleta furaha timilifu na kuaminiana katika ndoa!

Wanawake wazoefu tafadhali changieni vitu vya kumfanya mwanaume atulie ndoani!
 
Huyo hana tofauti na mtu anayetoa instruction jinsi ya kuendesha gari wakati hana gari wala hajawah kuliendesha hilo gari

KAMEGUSA NINI MKUU usipingane na ukweli kama upo kwenye ndoa na mke wako ulimkuta tayari kapitiwa ULE UJASIRI WA KIUME UMEPUNGUZWA
labda awe na hizi sifa mbili za nyongeza kajimbua wapi aliteleza na ni mcha Mungu BILA HIVO SIO MKEO HUYO safiri kidogo wiki kubwa umebebewa
 
Bikra inampa confidence mwanaume na syo lazima huyo mwanaume awe bikra.
Syo vibaya kutafuta gar jipya hata kama ulishwai kutumia gar mpya before.
Mwanamke bikra inamaanisha hana mapepo ya ngono.
But bikra is not sufficient and reliable.
 
Nilichogundua kwenye mjadala hapa ni kwamba wanaume tuna wivu sana.....na tuko selfish sana pia.....tunazungumzia sana ubikira wa mwanamke lakini wachache sana miongoni mwetu tuna-appreaciate umuhimu wa mwanaume naye kuwa bikra!

Nijuavyo mimi binafsi, hata kama ukioa mwanamke bikra, but wewe mwenyewe kabla ya ndoa ulishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake kibao still utampa shida mke wako....maana yeye atatulia but wewe utarukaruka sana. Hata hivyo bado nafasi ya kuyakana na kuyaacha ya kale bado ipo kwa msaada wa Mungu mwenyezi!

Again, hata ukioa mwanamke bikra, lakini kama hatambui umuhimu na heshima ya ndoa, bado anaweza kuchepuka!!!....Kwa uzoefu wangu, mwanamke ambaye aliolewa bikra alafu baadae akachepuka na mwanaume ambae anajua sex kuliko mume wake, ni rahisi sana kumtoa kwenye reli ya ndoa....hata ndoa inaweza kuvunjika kabisa! Scenario za aina hii nimeziona nyingi tu!

What then? kwa wanaume wote, whether umeoa mwanamke bikira au la, hakikisha unamfikisha mkeo kileleni(unamkojolesha ikibidi hata mara mbili au zaidi kwa penzi moja). Hiyo ndio njia mojawapo ya kumfanya mkeo atulie ndoani kimapenzi. Njia nyingine ni upendo, kujali na ku-share kila kitu ili kuleta furaha timilifu na kuaminiana katika ndoa!

Wanawake wazoefu tafadhali changieni vitu vya kumfanya mwanaume atulie ndoani!

mkuu UMEOONGEA SAHIHI kitu hiki lazima ukijue wanaume tuna wivu kweli hilo sipingani nawe KUGONGEWA NI KITENDO KIBAYA CHA MAUMIVU KULIKO VYOTE
lakini hapa hoja kuu ipo kwenye mwanamke utakae mkuta na bikra katika ndoa na aliyetobolewa

MIMI NINACHOKIAMINI NA UKIISOMA VIZURI DHREAD YANGU ni vizuri zaidi mwanaume na mwanamke wote mkawa wageni mfundishane wenyewe
kuliko mmoja wapo kuvijua kabla ya ndoa NA NENO LINASEMA IVO

TURUDI KWENYE UTOFAUTI mwanamke aliyefanya na akakojoleshwa na hao wengine kabla ya ndoa NDIO WANAOONGOZA KUZILALAMIKIA NDOA ZAO
walioolewa mabikra huwa mara nyingi hawajui habari za kukojoa unaweza enda nae vyovyote NA HATA UKAMUELEZA ATAKUELEWA TOFAUTI NA HUYU ALIYEWAHI HOJA IPO HAPO

PILI kumfikisha kileleni bikra ni rahisi sana kuliko huyu aliyezoea maana bikra as wote mnajifunza itawachukua muda kujuana vizuri ila mkishajuana NI RAHISI KUFIKISHANA NA KURIDHIKA

hebu fikiria huyu aliyeanza mapema kabla ya ndoa akutane na mziki mdogo HUONI NDO CHANZO CHA WANAUME KUKIMBILIA VIAGRA
na si kila mwanamke utamkojolesha wengine hisia zao zipo mbali mkuu wengine wana matatizo hormone imbalance kumfikisha ni kazi
lakini wengine utamuandaa as nae kajikabidhi kwako anakojoa hata kabla hujamgegeda NA MIMI NIONAVYO NDOA NYINGI ZINAVUNJWA NA PENZI LILILOPITA KULIKO JIPYA


je hujashuhudia mwanamke yupo katika ndoa anatoa ushuhuda sijawahi fika kileleni na hajawahi kuchepuka?
WENGI WANAOCHEPUKA WALIANZA MAPENZI KABLA
 
Mleta Uzi Nina Shaka kidogo na elimu yako ama iwe ya darasani au ya mtaani...kuna mwanazuoni aliwahi kusema Binadamu wote wana hekima kabla hawajafumbua vinywa vyao...kama unaamini Bikra ndio inalinda ndoa pole sana tena pole...ningekusaidia baadhi ya vitabu ukavisome uongeze utashi
1) Falling in love again written by David & Carole Hocking
2) Life strategies written by Phillip C
3) Understanding the love of your life written by walk thru the Bible ministries
4) Mapenzi kuchipua na kunyauka written by Munga Tehanan
5) Ndoa yataka Moyo written by Faustin Mwikila Kamugisha
Ukishavisoma hivyo vitabu na vingine then utarudi hapa siku za usoni ama kuondoa Uzi wako huu au kujipinga na Uzi huu
nimependalist itabidi niitafute tu
 
Bikra inampa confidence mwanaume na syo lazima huyo mwanaume awe bikra.
Syo vibaya kutafuta gar jipya hata kama ulishwai kutumia gar mpya before.
Mwanamke bikra inamaanisha hana mapepo ya ngono.
But bikra is not sufficient and reliable.

Great na hapa hatuongelei bikra za utotoni ni katika ndoa KESI NI CHACHE KWANZA KITENDO CHA KUMKUTA MKEO BIKRA ZAIDI YA MIAKA 20 ni fahari lazima umuamini tu maana kaweza kujitunza kipindi cha adolescent ndicho kigumu MASUALA YA KUMFIKISHA KILELENI NI NYONGEZA TU
waache wanaopinga
ukweli haupingiki MWANAUME KWANZA MIMI NAONA KUTULIA NI RAHISI KULIKO MWANAMKE KO HATA UPITIE KIVIPI UNAO UWEZO WA KUTULIA NA MKEO

NA KUMPENDA MKE ANAYEJUA KILA KITU mpaka anakuuliza duuh unigegedi vizuri kama boyfriend wangu wa kwanza utajisikiaje
 
Back
Top Bottom