The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Atasarenda,covid sio ya mchezo mchezoNgoja awalambe shaba
Atasarenda,covid sio ya mchezo mchezoNgoja awalambe shaba
Aah brother hakuna nchi iwe vizuri kwenye viwanda vya uzalishaji halafu kwenye mambo ya security ilegelege unapokuwa na heavy industries za kuzalisha bidhaa unaanzaje kuacha kuwa na heavy/sophisticated machines kwa ajili ya kujijengea uwezo wa kivitaTeknolojia ya uzalishaji viwandani sio teknolojia ya silaha,wanauza silaha hao? Hofu yao ni ipi hasa?
Sasa wao wako kinyume nyume,wako busy na makombora wakiti kiuchumi wako hovyo kabisa..Aah brother hakuna nchi iwe vizuri kwenye viwanda vya uzalishaji halafu kwenye mambo ya security ilegelege unapokuwa na heavy industries za kuzalisha bidhaa unaanzaje kuacha kuwa na heavy/sophisticated machines kwa ajili ya kujijengea uwezo wa kivita
halafu hako kajamaa kana nyuklia hazizidi 50 lakini mbwembwe kibaoHaya sasa achukue ile mikombora yake ya Intercontinental ballistic missiles kupigana na virus.
Kajamaa kamesahau kwamba sio kila vita ni ya kibinadamu.
Hahaha ila unanafurahisha. Hivi unajua research tu ya hayo mambo inakula pesa kiasi gani? Kununua teknolojia kutoka nchi za wengine(iwe kwa halali au kihuni/kijasusi) unajua inagharimu kiasi gani? Katika nchi masikini 30 duniani korea ni ya ngapi? Unajua tusilishwe maneno na media kuwa korea wapo hovyo kiuchumi.. Hakuna nchi kwa sasa inaweza kumwamsha mmarekani aende kusainiana mikataba (tena kwa mkono wa raisi) huku nchi hiyo ni masikini. Kumbuka kwenye utawala wa TrumpSasa wao wako kinyume nyume,wako busy na makombora wakiti kiuchumi wako hovyo kabisa..
Umewahi nunua bidhaa yeyote ya N.Korea sokoni?
Kbs mkuu covid xio ya kuchezeaAtasarenda,covid sio ya mchezo mchezo