Kongosho!!

Mimba inamsumbua! Fulltime inataka "Maziwa-mgando" akishajiopen utamuona tu!
dah basi nna kazi!
mpaka miezi tisa iishe na kama ndo kamtu kamechukia jf !
uuuuuwih! Kongosho i miss yu jamani!
NIMEKUMISS MPAKA MACHO YANAWASHA!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
It's good to be missed jamani.

Nilikuwa nachungulia kidogo kidogo sana, nilikuwa nje ya netwek ya laptop. Only kamchina kangu kalikuwa kananisaidia kuingia hapa once in a while. Hata mie niliwamiss sana isipokuwa Bishanga.

As for watu8, sikumbuki kukuchunia popote, ujue wewe ni daktari? Inawezekana siku hiyo ukawa zamu wakati wa kuji-open, nitakuchukiaje sasa? Jee ukinichoma fenegani badala ya kristapeni?
 
Last edited by a moderator:
As for watu8, sikumbuki kukuchunia popote, ujue wewe ni daktari? Inawezekana siku hiyo ukawa zamu wakati wa kuji-open, nitakuchukiaje sasa? Jee ukinichoma fenegani badala ya kristapeni?

Hujambo Konnie?

Hahahah unayakumbuka hayo maneno....maana nakumbuka liBishanga likanipiga mkwara siku hiyo
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom