Sijambo, hofu na mashaka kwako jamani
Nimewamiss mjue?
Mie ni KeMe
chi walonipeleka wamenikataaNikajua umekutwa na operesheni Kimbunga....glad to see you around Konnie
Hahaha...kaka mkubwa utata unajipa mwenye...
Mie ni KeMe
Hapa ndio unaongeza utata wenyewe!
chi walonipeleka wamenikataa
Wameamua kunitangaza 'stateless'
Kongosho yupo Nairobi kwenye jengo la Westgate Shopping Mall. Ukitaka kumpata twanga kwa twitterHv jamani Kongosho huko aliko mzima kweli!
manake sidhani kama kuna usalama!
ALIYEMUONA konnie jamani aniiitie
CC watu8, Kaizer, BADILI TABIA, na Mkunde Original
walahi nahis konnie amemi.....................................
haki vile!