Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Erickb52 kweli nimeamini kila biashara na mteja wake tehe tehe.
Last edited by a moderator:
Erickb52 kweli nimeamini kila biashara na mteja wake tehe tehe.
konnie yu min ni kidume cha mbegu?
mtoboasiri umeyasikia hayo,halafu nasikia konnie anatembea na kikopo cha keiwai kwenye gari,we subiri tu habari yako.
Ah wapi! Dawa ya keiwai naijua mie. Afterall Kongosho na Ini vimeshawahi kuzuliana lini?
kumbe wee ini?
Ngoja nikutafutie nyonga ili muwe nyonga mkalia ini.
Mtoboasiri yaani hata mwezi haujauona unataka kutongoza hadharani tehe tehe.
Nakujuza hizo ni mali za watu humu JF kama una ubavu wa kupambana na akina Asprin, Bishanga, erick52 shauri yako, ukitolewa manundu.
Mwambie kabisa nikimbadili jinsia asinilaumu.....
Nyonga na ini wapi na wapi! Ini wake Kongosho bhana!
Mwambie kabisa nikimbadili jinsia asinilaumu.....
Unibadili jinsia au jina? Haijaingia akilini mwako kuwa ukinibadili jinsia unaweza kuwa unaniweka karibu zaidi na Kongosho?
He he he he he, should I come? na cacico na BADILI TABIA je?Hahahahah! Khaa! No comment! Kongosho kam zis wei bebiii!!
Nirushie vocha nikwambie alipo muda huu na mtu alie nae!
hivi nyie watu, lini nimekuwa bibi yenu???
Ntamtafuna mmoja wenu hapa kama shark
be warned!