BUMIJA MOSES
Member
- Aug 27, 2020
- 75
- 85
Mungu ni mwema, ataendelea kuwaumbua Watawala wenye nia ya kulivuruga Taifa letu.
Hii sasa iwe kwa nchi nzima
Hii sasa iwe kwa nchi nzima
Hako ni ka kikao ka ndani ka chadema, sasa wafurushwe kwa sababu gani?Safi Chadema ndio inatakiwa iwe hivyo,mtu mwenye akili ndogo ni wa kuzungushwa tu maana hana uwezo wa kushindana na akili kubwa
Sasa tuwaulize intelijensia ya Polisi ambayo huwa wanaisema leo illikuwa wapi?
Chadema imo mioyoni mwa Watanzania hiyo kuiua kama wanavyotaka maccm KAMWE HAITAWEZEKANA.
Picha ya Zaman sana hiyo Ushahidi rahisi kabisa hawajavaa BarakoaSafi Chadema ndio inatakiwa iwe hivyo,mtu mwenye akili ndogo ni wa kuzungushwa tu maana hana uwezo wa kushindana na akili kubwa
Sasa tuwaulize intelijensia ya Polisi ambayo huwa wanaisema leo illikuwa wapi?
Kwi Kwi KwiPicha ya Zaman sana hiyo Ushahidi rahisi kabisa hawajavaa Barakoa
Vikao Vyote vya Chadema Kwa Sasa huwa wanavaa Barakoa
Mleta mada huwa Muongo sana
Jibu zuri lililo na utulivu mkubwakongamano la katiba mpya
Safiii sanaaaa..Siku zote tumesema humu na kurudia mara nyingi sana kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , japo wapagani wametupuuza mara zote lakini ukweli huu hauwezi kupingwa .
Pamoja na RC wa Mara kumwaga majeshi yote barabarani na mitaani , ikiwa ni pamoja na kulinda ofisi ya Chadema Musoma Mjini kwa masaa yote, lakini Kongamano la Katiba Mpya limefana kupita maelezo huko Tarime , halafu hakuna amani yoyote iliyotoweka , ilikuwa mada juu ya mada , hawa wanaosema kongamano linavuruga amani ni WAONGO.
Ushahidi huu hapa
View attachment 1924002View attachment 1924001View attachment 1924000
Amina sana..Mungu ibariki Chadema
Popote poa tu hata likifanyika juu ya mti.Hilo kongamano lilifanyika kwenye kibanda umiza?
Wanafiki wameumbuka.Safi Chadema ndio inatakiwa iwe hivyo,mtu mwenye akili ndogo ni wa kuzungushwa tu maana hana uwezo wa kushindana na akili kubwa
Sasa tuwaulize intelijensia ya Polisi ambayo huwa wanaisema leo illikuwa wapi?
Picha ya Zaman sana
Nyie wananchi gani hao ambao eti katiba mpya sio ajenda yenu, je sisi tunaohitaji hiyo katiba mpya ni nani kama sio wananchi.Katiba mpya mliikataa nyie wenyewe Chadema mkiongozwa na Mbowe akajifanya kuunda Ukawa. Leo mnatafuta bahati mliyochezea!
Tambueni lila jambo na wakati wake. Katiba mpya siyo ajenda yetu sisi wananchi kwa wakati huu.
Siku zote kipimo cha ridhaa ya wananchi ni kura. Ajenda ya katiba mpya haikuwepo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020 na wananchi kwa mamilioni mengi wakaichagua ilani hiyo isiyo na ajenda ya katiba mpya.Nyie wananchi gani hao ambao eti katiba mpya sio ajenda yenu, je sisi tunaohitaji hiyo katiba mpya ni nani kama sio wananchi.
Acha unafiki, kama hutaki katiba mpya kwa maslahi yako basi ni wewe, usitusemee wengine.
Rais atakuwa Nani?
Kwani wewe Ni mungu ?Maombi yako yamepokelewa
Polisi hawapigi mabomu vikao vya ukoo, lingekuwa kongamano wangerusha mabomu.Kwa hivyo polisi huwa busy kutupa mabomu ya machozi kuvuruga vikao vya ukoo?
Namuomba Mungu niwe hai siku tutakapo yatoa maccm Madarakani ama kwa sanduku la kura,au risasi!Siku zote tumesema humu na kurudia mara nyingi sana kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , japo wapagani wametupuuza mara zote lakini ukweli huu hauwezi kupingwa .
Pamoja na RC wa Mara kumwaga majeshi yote barabarani na mitaani , ikiwa ni pamoja na kulinda ofisi ya Chadema Musoma Mjini kwa masaa yote, lakini Kongamano la Katiba Mpya limefana kupita maelezo huko Tarime , halafu hakuna amani yoyote iliyotoweka , ilikuwa mada juu ya mada , hawa wanaosema kongamano linavuruga amani ni WAONGO.
Ushahidi huu hapa
View attachment 1924002View attachment 1924001View attachment 1924000
Kwani hayo majadiliano yanaitishwa na vyama vya siasa?Hats UDSM katika kitivo cha Sheri's Kuna majadiliano Kila simu kuhusu Katiba,hakuna amani inayovurugika.
Baada ya muda mfupi wahubiri wengi watapanda kwenye majukwaa kutoa kbutba,ambayo pia ni Katiba.
Katiba mpya in sight. Mapambano yaendelee.Mungu ibariki Chadema