Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,665
- 218,154
- Thread starter
- #21
Hakuna mtu yeyote anaye mcha Mungu awezaye kuwa mwanaccmKwani CCM in "wapagani"?
Hakuna mtu yeyote anaye mcha Mungu awezaye kuwa mwanaccmKwani CCM in "wapagani"?
Lakini Mbeya na Iringa kumekuwa baridi mno. Imekuwaje! Sugu na Mchungaji wamechukuwa likizo ndefu baada ya ubunge?kongamano la katiba mpya
Mkuu hii ratiba ya kongamano la Katiba mpya ilishapangwa na KAMATI KUU , zamu ya mbeya au Iringa ikifika utajionea mwenyeweLakini Mbeya na Iringa kumekuwa baridi mno. Imekuwaje! Sugu na Mchungaji wamechukuwa likizo ndefu baada ya ubunge?
Maombi yako yamepokelewa
Jeshi la magaidi.
Kwa hivyo polisi huwa busy kutupa mabomu ya machozi kuvuruga vikao vya ukoo?Hivyi hili ni kongamano au kikao Cha ukoo?
Kila mtanzania anataka katiba mpya , ila wananchi hawajadili mitaani kukwepa kutekwaNaomba kuelimishwa tafadhali,
Kwenye ayo makongamano inatolewa elimu kuhusu umuhimu wa katiba mpya? Nakama ndio vipi kuhusu wasio wanachadema na wasio na vyama? Wao wanafikiwaje ili wapate elimu iyo?
Kuna mikakati ipi kuhakikisha wananchi wote kiujumla wanaelewa iki kinachoitwa hitaji lao? Maana hili swala la katiba mpya linajadiliwa sana mitandaoni ila ukitembelea sehemu ambazo watu hukusanyika kwa wingi hili jambo wananchi hawalichukulii kama kipaumbele na nijambo linaloonekana kutokuwa na uzito kabisaa.
Polisi inaweza kutumia picha hizi kuwatafuta kwa kusababisha vurugu na uharibifu wa mali siku ya usafi.Siku zote tumesema humu na kurudia mara nyingi sana kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , japo wapagani wametupuuza mara zote lakini ukweli huu hauwezi kupingwa .
Pamoja na RC wa Mara kumwaga majeshi yote barabarani na mitaani , ikiwa ni pamoja na kulinda ofisi ya Chadema Musoma Mjini kwa masaa yote , lakini Kongamano la Katiba Mpya limefana kupita maelezo huko Tarime , halafu hakuna amani yoyote iliyotoweka , ilikuwa mada juu ya mada , hawa wanaosema kongamano linavuruga amani ni WAONGO .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1924002View attachment 1924001View attachment 1924000
Ufipa ni matapeli wa kisiasa ambao Magufuli aliuexpose kwa jamii utapeli waoNgoja tupate uhakika maana nyie Ufipa hamuamimiki kabisa!
Kumbe wewe ndiye mungu!!!Maombi yako yamepokelewa
Hata kwenye gereji ya magari hakuna tatizo, bahati nzuri Chadema haina jengo lolote lililopatikana kwa njia za wizi.Hilo kongamano lilifanyika kwenye kibanda umiza?
Safi Chadema ndio inatakiwa iwe hivyo,mtu mwenye akili ndogo ni wa kuzungushwa tu maana hana uwezo wa kushindana na akili kubwa
Sasa tuwaulize intelijensia ya Polisi ambayo huwa wanaisema leo illikuwa wapi?
Kwa umati huu tunatosha sana kupata katiba mpya:
Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho
"Ni wazi kuwa hayupo mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuyapinga mahitajio ya katiba au hata kutokuwa sehemu ya jitihada hizo.
Wenye maslahi na mfumo uliopo hatuna haja ya kupoteza nao muda kujaribu kuwaelimisha. Hao ndiyo walio kizingiti pekee."