Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
Siku zote tumesema humu na kurudia mara nyingi sana kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU , japo wapagani wametupuuza mara zote lakini ukweli huu hauwezi kupingwa .
Pamoja na RC wa Mara kumwaga majeshi yote barabarani na mitaani , ikiwa ni pamoja na kulinda ofisi ya Chadema Musoma Mjini kwa masaa yote, lakini Kongamano la Katiba Mpya limefana kupita maelezo huko Tarime , halafu hakuna amani yoyote iliyotoweka , ilikuwa mada juu ya mada , hawa wanaosema kongamano linavuruga amani ni WAONGO.
Ushahidi huu hapa
Pamoja na RC wa Mara kumwaga majeshi yote barabarani na mitaani , ikiwa ni pamoja na kulinda ofisi ya Chadema Musoma Mjini kwa masaa yote, lakini Kongamano la Katiba Mpya limefana kupita maelezo huko Tarime , halafu hakuna amani yoyote iliyotoweka , ilikuwa mada juu ya mada , hawa wanaosema kongamano linavuruga amani ni WAONGO.
Ushahidi huu hapa