obama sererea
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 101
- 37
Baraza la vijana wa chadema (BAVICHA)- TAIFA, na CHASO DAR ES SAAm Linakualika kuhudhuria Kongamano kubwa la vijana mkoa wa Dar-es-salaam siku ya j'tatu th 9'Dec'2013. "UHURU DAY" kuanzia saa 03:00asubuhi LAND MARK HOTEL- UBUNGO,mgeni rasmi anatarajiwa kua Mh. Freeman Mbowe (M/kiti CHADEMA -Taifa) wageni wengine ni Mh. Mabere Malando (Makamo m/kiti kanda ya Pwani) na Mh. John Mnyika (MB Ubungo)- WAJULISHE WENGINE.pia kutakuwa na uzinduzi wa albam ya LILIAN WASIRI kwaheri ccm