Matema Beach
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 364
- 67
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
Ndugu unajitoa ufahamu kwani wewe hujui kesho tarehe 9 Dec nini?
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
Baraza la vijana wa chadema (BAVICHA)- TAIFA, na CHASO DAR ES SAAm Linakualika kuhudhuria Kongamano kubwa la vijana mkoa wa Dar-es-salaam siku ya j'tatu th 9'Dec'2013. "UHURU DAY" kuanzia saa 03:00asubuhi LAND MARK HOTEL- UBUNGO,mgeni rasmi anatarajiwa kua Mh. Freeman Mbowe (M/kiti CHADEMA -Taifa) wageni wengine ni Mh. Mabere Malando (Makamo m/kiti kanda ya Pwani) na Mh. John Mnyika (MB Ubungo)- WAJULISHE WENGINE.pia kutakuwa na uzinduzi wa albam ya LILIAN WASIRI kwaheri ccm
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
Kumbe hizi sherehe safari mnazitambua.Jumatatu ni uhuru day ni siku yamapumziko nchi nzima
Najua sana lakini Chadema siku zote huwa hawashiriki kwenye hizo sherehe.Ndugu unajitoa ufahamu kwani wewe hujui kesho tarehe 9 Dec nini?
Hivi Bavicha wengi ni wafanyakazi wa serikali.
Hivi Bavicha wengi ni wafanyakazi wa serikali.
Rekebisheni hapo kwenye uhuru wa Tanzania Bara pasomeke TANGANYIKA
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
Baraza la vijana wa chadema (BAVICHA)- TAIFA, na CHASO DAR ES SAAm Linakualika kuhudhuria Kongamano kubwa la vijana mkoa wa Dar-es-salaam siku ya j'tatu th 9'Dec'2013. "UHURU DAY" kuanzia saa 03:00asubuhi LAND MARK HOTEL- UBUNGO,mgeni rasmi anatarajiwa kua Mh. Freeman Mbowe (M/kiti CHADEMA -Taifa) wageni wengine ni Mh. Mabere Malando (Makamo m/kiti kanda ya Pwani) na Mh. John Mnyika (MB Ubungo)- WAJULISHE WENGINE.pia kutakuwa na uzinduzi wa albam ya LILIAN WASIRI kwaheri ccm
Hivi Bavicha wengi ni wafanyakazi wa serikali.
Sasa unaachaje
kumsikiliza huyu na ukamsikiliza zaidi mtu ambaye hana sifa za
kimageuzi katika ngazi ya kitaifa? Wanaozua tuhuma dhidi ya wenzao
hawana hata miaka mitano ndani ya chama?
Labda nikupe mfano mzuri. Hivi unategemea leo, CCM kwa mfano, eti
akina Richard Tambwe Hizza, waanzishe mkakati wa kumngoa kwenye chama
mtu kama Kingunge Ngombale Mwiru kwa madai ni msaliti? Haya mambo yako
CHADEMA tu, alisema mwanasiasa huyo