Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
Uwezo wako ni mdogo sana hakuna unachokijua
J,tatu ni siku ya kazi Bavicha wengi hawana kazi nadhani watakuwepo.
kazi hizi zinafanywa na sekretariet ya bavicha na sio m/kiti bavicha ni taasisi kubwayule mwkt wa bavicha hivi kweli anaitwa nani?
mbona simsikii hapa?
wadau si kwa ubaya naomba mnisaidie kujua kama yupo ama ni wale akina m
Wewe umekimbia mirembe km lissu ndio mana unachngia pumba hapa jukwaani