ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,598
- 5,718
Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali
Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote
Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na harufu ya kukarahisha
Wizara ya Afya jaribu kujali afya zetu wanaume tutakufa kwa HIV/ AIDS na UTI kali