Sawa kondakta tumekuelewa cha muhimu level seat tu.kupanda kwa sh200 nikuwaonea daladala ilitakiwa ipande sh 500/ kama zamani nauli ilikuwa 400 ukiongeza 500 tulipe 900/ nauli ya kwenda tu
Hata hiyi 500 ni ndogo sana, ilitakiwa iwe 1000 kabisakupanda kwa sh200 nikuwaonea daladala ilitakiwa ipande sh 500/ kama zamani nauli ilikuwa 400 ukiongeza 500 tulipe 900/ nauli ya kwenda tu
Wadau nipo kwenye daladala kutoka Bunju kwenda Makumbusho, kondakta anatutangazia abiria kuwa kesho nauli zitapanda kwa shilingi 200 kwa hiyo tujiandae.
Sijui kama lina ukweli wowote, ila kondakta anazidi kusisitiza. Tujiandae kwa lolote.
Asanteni, naomba kuwasilisha
Duh!Sababu alishazitoa Rais wako mpendwa.Hukupata tangazo?Huko kwenu hakuna TBC Taifa?🐒🐒🐒View attachment 2182792
200/= Pesa ya mboga tu hiyo!
Mbona juzi kuna kiongozi nimemsikia akisema wese lipo tusiwe na wenge
Ili kuweka sawa bei na kuondoa usumbufu wa chenji bora iwe elfu moja tuukupanda kwa sh200 nikuwaonea daladala ilitakiwa ipande sh 500/ kama zamani nauli ilikuwa 400 ukiongeza 500 tulipe 900/ nauli ya kwenda tu
Hata hiyi 500 ni ndogo sana, ilitakiwa iwe 1000 kabisa
AmeokotezaKumbe sio taarifa rasmi ...aliyetoa ni konda
Iyo bunju to makumbusho hapo tu ilipo inapelea mia 250 sin elfu moja iyo tayari mh!!Hata hiyi 500 ni ndogo sana, ilitakiwa iwe 1000 kabisa