Knock..knock..hodiii

Blaque

Senior Member
Feb 11, 2011
126
103
Waungwana wa JF salaama? Kwa heshma na taadhima naomba mnifungulie mlango ndani nipate kuingia ili nipate uhondo wa Jf ...please let me in
 
You are welcome Blaque. Feel free to express yourself, lakini zingatia kanuni.
 
Pole mbona umechelewa ulikuwa wapi kaa haraka usipitwe na uhondo umemuona asprin na lizzy?wa kupatie kinywaji
 
Ahsante saana,sheria muhimu nazingatia na ntazingatia
 
Kwa hekma na taathima karibu humu jamvini kuwa huru ila zingatia kanuni na sheria za uwanjaa huu!!
 
Back
Top Bottom