Blaque Senior Member Feb 11, 2011 126 103 Feb 12, 2011 #1 Waungwana wa JF salaama? Kwa heshma na taadhima naomba mnifungulie mlango ndani nipate kuingia ili nipate uhondo wa Jf ...please let me in
Waungwana wa JF salaama? Kwa heshma na taadhima naomba mnifungulie mlango ndani nipate kuingia ili nipate uhondo wa Jf ...please let me in
Mbaha JF-Expert Member Nov 26, 2010 697 73 Feb 12, 2011 #2 You are welcome Blaque. Feel free to express yourself, lakini zingatia kanuni.
B bakarikazinja Senior Member Nov 9, 2009 177 8 Feb 12, 2011 #3 Pole mbona umechelewa ulikuwa wapi kaa haraka usipitwe na uhondo umemuona asprin na lizzy?wa kupatie kinywaji
Pole mbona umechelewa ulikuwa wapi kaa haraka usipitwe na uhondo umemuona asprin na lizzy?wa kupatie kinywaji
Blaque Senior Member Feb 11, 2011 126 103 Feb 13, 2011 Thread starter #5 Ahsante saana,sheria muhimu nazingatia na ntazingatia
papason JF-Expert Member Sep 14, 2010 5,119 5,683 Feb 15, 2011 #11 Kwa hekma na taathima karibu humu jamvini kuwa huru ila zingatia kanuni na sheria za uwanjaa huu!!