Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Kabisa, nitataja hivyo vyeo nisije kumezwa bure.. na lazima nikumbushie pia kuwa mgeni wangu alikuwa kiranja mkuu pia! Saa saba za EST na nitawawekea jina saa moja kabla as soon as final confirmation imefanyika...
Mkjj kumbuka this time kutaja vyeo vyote vya mgeni wako...
kwi kwi kw i kwi
Kwi kwi kwi!!!!! Mimi simo nisije nikaleta ugomvi
Kwi kwi kwi!!!!! Mimi simo nisije nikaleta ugomvi
Jamani Kada Yuko wapi.. Friday is not the same without him...
Yupo Kyela, ananyonyoa sungura tayari kumkaanga!
SteveD.
Kumbe kada yumo kwenye msafara wa wanaotukanwa?
Mshikaji jiondoe huko maana unaweza kuuawa kwa kupigwa mawe na wanao wakapata baba wa kambo bure!
Unayatetea mafisadi wakati yenyewe yanahamisha pesa nje ya nchi?
Jamani Kada Yuko wapi.. Friday is not the same without him...