Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Natarajia kuwa na ugeni toka serikalini "live"... kuzungumzia kinachoendelea nchini... DO NOT MISS IT! Nitataja jina na cheo cha mzungumzaji an hour before the show! Jumamosi kuanzia saa saba mchana kupitia http://www.bongoradio.com