Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 298
- 542
Habari ndugu watanzania. Ni imani yangu kuwa mu buheri wa afya.
Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc.
Naomba kujua kiwango cha mshahara wanachopata hawa watu. Pia ningependa kufahamu upatikanaji wa hivi vyeo, ni mamlaka ipi inayohusika na uteuzi wa hawa watu?
Msaada tafadhali.
Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc.
Naomba kujua kiwango cha mshahara wanachopata hawa watu. Pia ningependa kufahamu upatikanaji wa hivi vyeo, ni mamlaka ipi inayohusika na uteuzi wa hawa watu?
Msaada tafadhali.