Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Nakumbuka elimu ya kujitegemea (Self Reliance). Hii ndio elimu niliyokuwa naipendaa sana kwa wakati ule. Tulifundishwa kilimo bora, kwamba kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu. Sijui kwa sasa kama hilo somo linaexist kwa wanafunzi wa sasa baada ya Mungai kubadili sylabus ya Elimu ya Tanzania na kuleta ya kwake kwa maslahi yake binafsi