Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

It's working. CCM hawakumtaka Lowassa kwa sababu wanajua rekodi ya uchapakazi wake! Yeye sio msanii akisema kitu anamaanisha.
Hongera sirikali

Hiyo ni sifa aliyoipata ndani ya ccm. So ccm kumbe ccm sio mbaya kama isemwavyo. Sivyo isingetoa mtu kama lowasa.
 
Naona Magamba yameanza kutafuta SYMPATHY kutoka kwa watu wa kaskazini.....Kwani siku zote hizo mlikuwa wapi?au uhitaji wa matairi kuelekea kampeni za uchaguzi 2015 ndiyo umeongezeka?

"Kaburu ni Kaburu tuu!" Mwl.J.K.Nyerere

itafutwe kwa fisadi ili iwejwe
sympath
 
Ccm naona wanataka kukata roho jc wanavyohangaika kila wanaloshika halishikiki
 
CCM wametaharuki ni kama mtu anayetokewa mapepo
 
Unataka kujuwa ilani ya ukawa? Ni kupambana na umasikini, tatizo la ajira, rushwa, kubwa zaidi ni katiba ya wananchi ambayo ndio msingi mkuu wa kuundwa ukawa. Serikali tatu.

Acha ubabaishaji, kila mgombea hilo analisema, vipi huyu wenu mara oooh ntaanza na mama Ntilie! Mara ntaaza na bodaboda! Yaani nchi hii matatizo ni ya makundi 2 tu!? Na kwanza huwa akienda mikutanoni anasoma upepo akiona bodaboda na mama lishe wamekuja anawasifia! Ngoja akikutana na wakulima, wanafunzi, wafanyakazi nako atawzingua hivyo hivyo! Kifupi HANA SERA!!!
 
tufaham kwamba Lowasa anafahamu siri kubwa ya serikali ya mapinduzi, ndio ameanza, alipoizungumzia serikali ikaona atatoa siri ya kufungwa kwa kiwanda hiki, sasa vilevile tujiulize kwanini serikali haikufungua miezi 8 kabla ya uchaguzi au ikifungue baada ya uchaguzi? Lowasa aligusia habari ya shirika la ndege na alikataa tanzania haiwezi kuzidiwa na mataifa jirani yanayo miliki ndege maana yake anajua nini cha kufanya jana usiku safari za Airtanzania zimetangazwa kuanza kwenda Mwanza, Lowasa alipojiunga na UKAWA alisema anachukia umaskini na atafanya kila iwezekanavyo kutatua tatizo la umaskini leo hii serikali kupitia chama tawala wametangaza kumaliza umaskini ndani ya mda mfupi sana hivi kunanini katika vitu hivi sasa tumeelewa kuna umuhimu wa kuwa na Lowasa katika upinzani. Maana anazifaham siri kubwa zote za chama tawala na mipango ya kuendelea kuwa kandamiza wananchi, sasa Gesi na yenyewe imeanza kazi kwa kasi kubwa sana wanaogopa nini? Wangebaki na motion yao tu ili tuone itakuwaje maana sasa hata wakifanya hivyo haitasaidia maana ni haki ya watanzania walitakiwa kuipata miaka iliyopita tuwaachie wananchi wenyewe kila mmoja aamue anavyotaka maisha yake yawe kwa kutoa kura yake na kumpa anayeona atamvusha na kumfikisha anakotaka.
 
Sasa kwanini watangaze kukifufua haraka haraka baada ya Lowasa kuongea?

We we ulitaka watangaze lini ? Ina maana mambo yote aliyosema Lowasa unataka serikali iyaache ili kuogopa kauli zake? Serikali haipo likizo inafanyakazi kila siku
 
Kiwanda kimekuwa kwenye mpango wakufufuliwa zaidi ya miaka miwili iliyopita na mwaka jana ukarabati ulianza huyu babu yenu(vibrator) anahusika vp hapa?
 
NI Lowassa yupi unaemzungumzia? Kama ni huyu mamvi basi umeumia huyu jamaa kwanza mwizi tena fisadi isitoshe ni mtu wa visasi kumbuka Kilichomtokea mwakyembe Lowassa afai hata kuongaza nyumba kumi ikulu atisikia kwenye radio tu

kama alikuibia mkeo kamshitaki.
mgese sana ww taahira.mnafuata mikumbo tu hamjui chochote.
 
Lazima wakopi kila asemacho kwani hawana jipya la kudanganya watanzania.umlishe mwanao sumu leo uje kutueleza unafanya kila njia kumtafutia dawa.miaka yote walikuwa wapi?kuna kiwanda cha radio-philips,machine tools-moshi,kiwanda cha kusindika nyama,nk kwa kutaja vichache tuu,napo ccm watakurupuka na kauli zipi?msiwachague ni malaghai.chagueni mh LOWASA.huu ni wakati wa kufanya mabadiliko ya kweli.LOWASAsasa.
 
Wachaga akili dongo sana! Subirini baada ya uchaguzi mtaona moto wake! Mnafikiri watanzania ni wapuuzi kihivyo kwa mikakati ya kipuuzi ya kikabila!

Hatuchagui Rais kutokana na ukabila wake,wala dini yake.
Karne ya Ishirini na moja bado mnapanda basi la ukabila!
Mwl J K Nyerere 1995
 
Kiwanda kimekuwa kwenye mpango wakufufuliwa zaidi ya miaka miwili iliyopita na mwaka jana ukarabati ulianza huyu babu yenu(vibrator) anahusika vp hapa?

pale kiwandani ukarabati uliopo ni ubabaishaji hapaeleweki..unakumbuka nssf walitoa dollar ten million ccm wazichukuwa 2010 nafikiri wanampango wa kuvuta pesa nyingine wanunue chumvi kwa wapiga kura
 
Acha uongo hili wazo lilikuwa siku nyingi kabla huyo El hajaanza kutafuta wadhamini na ndio maana uliona mkataba unasainiwa hiyo jana,,, sasa sijui inawezekanaje kwa huo mwezi que mmoja el aseme na mkataba usainiwe jana, tunaelekea kwenye kipato cha kati sasa...
 
Back
Top Bottom