Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Acha ubabaishaji, kila mgombea hilo analisema, vipi huyu wenu mara oooh ntaanza na mama Ntilie! Mara ntaaza na bodaboda! Yaani nchi hii matatizo ni ya makundi 2 tu!? Na kwanza huwa akienda mikutanoni anasoma upepo akiona bodaboda na mama lishe wamekuja anawasifia! Ngoja akikutana na wakulima, wanafunzi, wafanyakazi nako atawzingua hivyo hivyo! Kifupi HANA SERA!!!
Kila mgombea analisema
Lipi, la Katiba ya Wananchi?
 
Daraja la kigamboni
mabasi ya kasi
na miradi kibao ipo iliyocheleweshwa makusudi
kusubiri muda wa kampeni ili kuhadaa watu
hii ni cheap politcs
Nasikia na gesi ya mtwara ishafika dsm usishangae siku za karibuni kuambiwa bei ya umeme imeshuka kisa tumeanza tumia umeme wa gesi
 
Huyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?

Kwani laptop bure kwa walimu zipo ktk ilani ya ccm??
 
Huyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?

Ilani! ilani! ilani! huoni kuwa ilani ni kitabu cha propaganda za chama muhimu ni dhamira ya viongozi katika mambo yanayowahusu jamii
 
Viwanda vyote vya mkoa wa kilimanjaro vilivyobinafsihwa vimefanywa magodauni
 
Huyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?

Kwani Magufuli alipowaahidi waalimu Laptop hiyo ni ilani ya CCM?
 
100% kuwa chini ya serikali ni matumaini yangu ile notion ya mali ya uma haipo vichwani mwa watanzania.
Maana hii ilichangia kuua viwanda vingi Tz.
Kwa upande mwengine serikali kama majority shareholder sijajua why walikuwa wanangojea kununua izo 26 share zilizobaki.
Ntafuatilia undani wake nijue shida nini

Nadhani hao wajerumani wangepewa hisa zote 100% ili wafanye vitu vya maana.
Hapa serikali inatudanganya tu.
 
Serikali hii imebakiza miezi miwili tu madarakani, itawezaje kukifufua hicho kiwanda cha matairi? Au wanauhakika wa kushinda uchaguzi mkuu?
 
Huyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?

Hizi siku chache zilizobakia..utajibeba tu.
Ilani yetu inakuhusu nini?
After more than 50 yrs ccm wanakuja na mipango ile ile, watu walewale..
 
Unataka kujuwa ilani ya ukawa? Ni kupambana na umasikini, tatizo la ajira, rushwa, kubwa zaidi ni katiba ya wananchi ambayo ndio msingi mkuu wa kuundwa ukawa. Serikali tatu.
mnataka kujua ila ni ya ukawa ili ikusaidie nini
 
Sasa kama wameteka wazo, bhas wamekaribia kumteka muhusika wampeleke mabwe pande
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.

Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi[/QUOTLowassa ni makini sana
 
Wachaneni na walopo hao kwani hodari wa kudandia hoja si utendaji. Meli mpya Nyasa, Tanganyika, Mwanza nk zi wapi?
 
Kuna mambo mengine madogo madogo hayaitaji ilani mkuu, hata JK kuna mambo makubwa alifanya hayukuwepo kwenye ilani ya ccm! Mfn Chuo Kikuu cha UDOM

Mfano mwingine...
Katiba mpya
 
Nadhani hao wajerumani wangepewa hisa zote 100% ili wafanye vitu vya maana.
Hapa serikali inatudanganya tu.
Ata nami niko na mashaka 100% chini ya serikali itakuwa ndo yale mambo ya mali ya umma.
Viongozi wakipita apo tairi za bure mara chama chataka bilioni moja ela za kampeni.Ndo mambo baadhi yaliyochangia kuua viwanda vyetu
 
Hizi siku chache zilizobakia..utajibeba tu.
Ilani yetu inakuhusu nini?
After more than 50 yrs ccm wanakuja na mipango ile ile, watu walewale..

Simply You May Call It INSANITY! Doing The Same Thing In The Same Way And Yet Expecting The Different Results.
 
Mleta mada hajaelewa. Sefue kasema serekali imenunua hisa 100% na wanatafuta mbia mwingine. Kitachukua muda kuanza Kazi
 
Back
Top Bottom