Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Lowassa ndiye alikiua hicho ni nani asiyejuwa hilo?

Akasikia kinafufuliwa akadandia hoja.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
Lowasa alijua mpango wote kwaiyo kasema tu ili kula credit za wajinga
 
Lowassa ndiye alikiua hicho ni nani asiyejuwa hilo?

Akasikia kinafufuliwa akadandia hoja.

Wajinga Ndiyo Waliwao.

Hebu tuambie alivyokiua.Alikuwa ndio mkurugenzi,mhasibu au?
Ninavyojua mimi kiwanda kilikufa kwa uwizi wa wafanyakazi.. Nakumbuka sana matairi yalivyokuwa yanaibiwa usiku na wafanyakazi wa hapo. Sasa Lowasa alikiuaje?
 
Umepata mhemko, kwanini usingeileta hii mada cku hizo?? Why today??? ... Ashki majinuun
 
Lowassa atangaze kufufua viwanda vyote alivyoacha Mwl. Nyerere.
Najua almost kila mkoa kulikuwa na kiwanda, vinatakiwa kufufuliwa.
 
CCM HAWANA JIPYA,WATANZANIA TUMEWACHOKA WEZI...KURA ZETU NI KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA. Teh Teh Teh sitawadondoshaa...

Mtoto ukimpa pipi, hata kama alikuchukia, atakupenda. Ni kweli wamechelewa. Wanajaribu kutupa pipi. Tuwamwage tu.
 
Lowassa ndiye alikiua hicho ni nani asiyejuwa hilo?

Akasikia kinafufuliwa akadandia hoja.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
utetezi dhaifu kwa hoja nzito mwaka huu mtasema hata Lowasa ndo.imeua ccm mlivyochanganyikiwa
 
Preta njoo huku tafadhali,

Asante mkuu kwa kuniita.........huu uzi nitausoma j3 kwa sasa uwezo wangu wa kufikiri ni mdogo kiasi........ndio naingia club......usijali nitafuatilia kwa karibu sana.........matairi ni muhimu kwa afya.........
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.

Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi

Acheni ufala huu mpango ulianza kutekelezwa tangu mwaka jana .....mnataka kumpa kick Lowassa kwa jambo la uongo sheeeeenzi....
 
Acheni usanii nyie #Teamdodoki .

lowassa alishutumiwa kuhusika na kufa kwa kiwanda hiki.lema aliitumia gia ya kukirudisha kiwanda hiki kwa serikali wakati anagombea mwaka 2010.

Juzi lowassa alisema ataliongekea suala hiki la General tyre kampeni zikianaza.niliweka thread kuhusu kauli hii lakini mods waliiemerge!

Mmiliki aliyekiua ni El according to Lema.

#hapakazitu

soma comments zangu kwenye thread hii hapa....


https://www.jamiiforums.com/uchaguz...is-kwa-tiketi-ya-chadema-67.html#post13646662
Moderator msiwe mnaunganisha threads bila taarifa!

Kumbe lowasa yuko juu ya serikali?
Yaani yeye ndiyo serikali akiamua anauwa kiwanda baadae akiamua anakifufua
 
Last edited by a moderator:
mamvi I mzee wa makengeza akiona fursa hata kibanda chako xch vype anapiga bei.
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.

Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi

mzee wa maamuzi yupi yaliyowahikufanywa nae zaman
 
Wachaga akili dongo sana! Subirini baada ya uchaguzi mtaona moto wake! Mnafikiri watanzania ni wapuuzi kihivyo kwa mikakati ya kipuuzi ya kikabila!

Wachaga wameingiaje hapa au ukisikia wachaga akili inaruka?
Wanakuumiza sana wachaga?
 
Wanajua Arusha ni ngome yetu. Hawapati kitu hata wafungue fibre board na Unga Limited,

Kazi wanayo Mwanza ngome nyingine kuna MWATEX sijui nacho watakifungua ? Ngoma iko Kigoma hakuna hata mtaro wa maji machafu wa kufungua.

Hahahaha!!
Una mbweembwe wewe
 
Serikali inachokifanya ni kutaifisha kimyakimya Mali za lowasa alizozipata kimagumashi. Pigo la mwisho lazima yamfike ya kigoma malima!Chezea professor JK wewe?

Mali zipi hebu fafanua.
Hivi mswahili ana uwezo UPI wa kumkabili mtanzania halisi?
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.

Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi

Naona Magamba yameanza kutafuta SYMPATHY kutoka kwa watu wa kaskazini.....Kwani siku zote hizo mlikuwa wapi?au uhitaji wa matairi kuelekea kampeni za uchaguzi 2015 ndiyo umeongezeka?

"Kaburu ni Kaburu tuu!" Mwl.J.K.Nyerere
 
Back
Top Bottom