Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Leo serikali ya chama tawala imeamua kutangaza kuwa Kampuni ya General Tyre ilyopo Arusha itaanza kufanya kazi ndani ya muda mfupi baada ya kumlipa muwekezaji hisa zake na Kampuni ya ndege ya ATC ikisema itaanza safari zake za kwenda Mwanza siku chache zijazo hii ni jambo la kawaida je ni bunge lipi lilijadili na kuyapitisha haya? Wakati wote serikali ilisema haina pesa hata ya kuendesha kampuni ya ndege pesa hizi zimepatikana wapi? Si ajabu mkasikia madeni yote ya waalimu na stahiki zao zimelipwa. Naomba tujiulize pesa zote hizi wamezipata wapi, wanasema wanataka kutuondolea umasikini sisi watanzania haraka iwezekanavyo Lol kuna umaskini wakuondoa haraka haraka namna hiyo? Au kuna siri kubwa, walikuwa wanafanya makusudi? Kumbe serikali ya tanzania ina uwezo wa kumfanyia mtanzania chochote kile, sasa nimeamini nchi ililiwa miaka na walitaka waendelee kuila hivyo hivyo kisa Lowasa alipokuwa arusha alisema atairudisha General tyre na kampuni ya ndege kwa vile wanamfaham ana siri zote za kuziua hizi kampuni ndio wameshtuka kabla hajasanua duh wana Jf it's too late kufanya yote haya mnasemaje ndio swali langu kwenu.
 
Serikali inachokifanya ni kutaifisha kimyakimya Mali za lowasa alizozipata kimagumashi. Pigo la mwisho lazima yamfike ya kigoma malima!Chezea professor JK wewe?
 
Mzeee wa arimsereeeeeeemaaaaaaaa
Upoooooooooooooooooo
Mzeee wa sitawadondoshaaaaaaa
Wachaga akili dongo sana! Subirini baada ya uchaguzi mtaona moto wake! Mnafikiri watanzania ni wapuuzi kihivyo kwa mikakati ya kipuuzi ya kikabila!
 
Lowasa na karamagi wana hisa katika kampuni ya presishen air.ndio wanaoizuia eatz kufanya kazi .ivo basi serikali imeanza kupambana na lowasa.ivoivo kwa jenerotaya pia mamvi alikua na maslai binafsi.habari ndo iyo
 
Lowasa na karamagi wana hisa katika kampuni ya presishen air.ndio wanaoizuia eatz kufanya kazi .ivo basi serikali imeanza kupambana na lowasa.ivoivo kwa jenerotaya pia mamvi alikua na maslai binafsi.habari ndo iyo
kuna kijiushahidi chochote mkuu , hata uchwara ?
 
Lowasa na karamagi wana hisa katika kampuni ya presishen air.ndio wanaoizuia eatz kufanya kazi .ivo basi serikali imeanza kupambana na lowasa.ivoivo kwa jenerotaya pia mamvi alikua na maslai binafsi.habari ndo iyo

Mlikuwa wapi siku zote wezi nyie? KURA ZETU WATANZANIA NI KWA LOWASSA WA CHADEMA,UKAWA.
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre.

Sasa naona serikali ya CCM imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo Lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi



Kweli aisee... CCM wanamuiga iga Lowassa kila kitu...

Ila Lowassa alishasema, wanaiga hawataweza...!!!

Hapo ndio ujue CCM wanacheza na maisha ya wananchi sana na hawajali chochote...
 
CCM katika harakati za kukimbiza kivuli cha Lowassa. Mambo kama haya ndiyo yanayokuhakikishia kuwa CCM sasa wamepanick - yani wanasubiri Lowassa akizungumzia kitu nao wanajifanya kukifanyia kazi haraka ili wananchi wapotee maboya, ingekuwa rahisi sana wao kufanikiwa na mbinu hii kama tungekuwa tumepata uhuru mwaka 2010.

Ni juzi tu kwenye hotuba ya Lowassa ya kujitambulisha Arusha aliwaambia wananchi kuwa anafahamu tatizo la General tyre - leo serikali ghafla kutoka kusiko julikana inatangaza kutaka kununua hisa zote za General Tyre - ila mtu mwerevu atauliza wapi vilipo Mwatex, UFI, Tanganyika packers n.k.?unagundua kumbe ni danganya toto nyingine ya ccm..

Mara ya mwisho wakati JK akiwa na hali mbaya sana kwenye siku za mwisho za kampeni za 2010 ndio alikuwa kwenye hali ya panic namna hii akiwa na sauti inayotetemeka kabisa akisema atajenga fly overs Dar es Salaam..

CCM HAWANA JIPYA,WATANZANIA TUMEWACHOKA WEZI...KURA ZETU NI KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA. Teh Teh Teh sitawadondoshaa...
 
Lowasa na karamagi wana hisa katika kampuni ya presishen air.ndio wanaoizuia eatz kufanya kazi .ivo basi serikali imeanza kupambana na lowasa.ivoivo kwa jenerotaya pia mamvi alikua na maslai binafsi.habari ndo iyo


Kweli mibichwa ya CCM ndio iko kama hii...!!! Matopeeeeee...!!! Wee hata la saba umemaliza...?
 
Hata mimi nimeshangaa sana kusikia hilo.
Bahati nzuri Lowassa alishalisema hilo.

Hakuna kiwanda kaskazini kilikuwa kinaiingizia Taifa pesa nyingi kama General Tyre kwasababu watu wa Kenya,Malawi,Uganda,Rwanda mpaka baadhi ya watu wa Afrika Kusini walikuwa wanaagiza matairi kutoka Arusha.CCM ilikiua kiwanda halafu miaka yoooote leo ndio wanatudanganya watakifufua...Teh Teh Teh
 
leo kwenye taarifa ya habari ya channel 10, katibu mkuu kiongozi balozi seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha general tyre cha arusha mapema iwezekanavyo.

Tunajua kwamba mh lowasa alipoenda kutafuta wadhamini mkoani arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, arusha general tyre.

Sasa naona serikali ya ccm imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa namwomba mh. Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka.

Bravoo lowassa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi


wazo la lowassa kwani yeye ndio aliyeanzisha kiwanda
 
Back
Top Bottom