Ubongo wako umegandaHuyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?
...watawala wa ccm wanaweweseka sana...yani walikua wapi miaka yote hadi leo aongee Lowassa ndio wafanye???huu ndio ule unafiki na urongo tunaosemaga humu....waache waacheni waweweseke lakini point anachukua Lowassa na UKAWA yake....tutayaskia mengi hadi october...Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo. Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre. Sasa naona serikali ya ccm imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka. Bravoo Lowasa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi
Unataka kujuwa ilani ya ukawa? Ni kupambana na umasikini, tatizo la ajira, rushwa, kubwa zaidi ni katiba ya wananchi ambayo ndio msingi mkuu wa kuundwa ukawa. Serikali tatu.
Ninyi wenye ilani lini mlizitekeleza?Huyo Lowasa ana ilani yake ya uchaguzi mfukoni or? Maana anayoyasema hatujui huwa ni ilani ya chama gani ndani ya ukawa. Au kuna ilani ya ukawa nini?
Nawambia tena safari hii tukitumia vibaya hii fursa basi Tanzania itabaki maskini milele na milele.... Viongozi kama Lowassa wanatokea baada ya miaka 50 kama sio 100...
Tukimpoteza Lowassa this time walahi tumekwisha....
hahahha......haya boss safi sa.leo kwenye taarifa ya habari ya channel 10, katibu mkuu kiongozi balozi seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha general tyre cha arusha mapema iwezekanavyo. Tunajua kwamba mh lowasa alipoenda kutafuta wadhamini mkoani arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, arusha general tyre. Sasa naona serikali ya ccm imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa namwomba mh lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka. Bravoo lowasa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi
hahahahhaa.....hakuna namna nyingine mkuu.watafanya twende brela kuwa 2naweka hatimiliki ya mawazo ya mgombea wetu na vpao mbele vye2 kuepuka wiz wa idea zetu