Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

Juhudi za Mbunge wa Arusha Mh. Gobless Lema zimeonekana. Ikumbukwe Lema alishapiga sana kelele bungeni na kwingineko juu ya kufungwa kwa kiwanda hicho ambacho kina mchango mkubwa kwa uchumi wa Arusha. Hansard za bunge ni ushahidi juu ya juhudi za Mh. Lema katika hili. Selikali imeyasema hayo leo kupitia Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Wana Arusha mfikirieni tena kijana wenu.
 
kiwanda cha General Tyre kufunguliwa mda wowote kuanzia ivi sasa.Leo wajerumani wamekabizi shares 26% kwa serikali ivyo 100% GT iko kwa serikaliAmbapo barozi Ombeni Sefue alishuhudia ilo tukio leo.Katibu wa wizara ya viwanda na biashara anasema mda wowote wanaweza fanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme malighafi zipo za kutosha
Source:Channel Ten habari leo

Ahsante Wazungu kwa kuanzisha tena kwa shuruti mfumo wa vyama vingi. Nashauri Lowassa aseme mengine ili yatekelezwe na watawala kwa haraka. Itakumbukwa Lowassa aligusia kidogo tu pale Arusha na tayari leo Serikali inafanyia kazi. Bila ya upinzan kuwepo kwa kweli mambo yangedumaa maradufu.
 
Nakumbuka mwaka jana ulianza mpango wa kurekebisha mfumo wa umeme.
Let this dream come true
 
Am sure the comment came after having fully understood what i meant
Apo vip

Ni kweli kabisa, nimeelewa ulichoandika. Lakini kama kuandika ingekuwa ni vurugu mechi namna hii kungekuwa na haja gani basi ya kijifunza kuandika? Watanzania tusikubali uzembe na uvivu viwe sehemu ya utamaduni wetu!
 
Wapuuzeni hao wajinga wanataka kura zenu,miaka yote walikuwa wapi mpaka juzi alivyo fika Lowasa na kutoa ahadi ya kukifufua hicho kiwanda.
 
2015 HATUDANGANYIKI!

Mbinu zao, Siasa zao chafu na ahadi hewa tumesha zijua, tumewachoka!

Watimize ahadi zao za 2005-2015. Kwa nini serikali itoe ahadi diku moja kabla ya kuanza kampeni? Halafu, SEFUE amekuwa RAISI, MAKUMU WA RAIS, WAZIRI MKUU???

UKO WAPI PINDA, BILALI?

Waendelee kulala, wapumzike wamechoka, safari waliinza tangu miaka ya 50 wamechoka wanastahili kupumzika akili iwakae sawa!!!!!!
 
Nimefurahi Serikali kurudisha kiwanda cha matairi Arusha na kuahidi kuanza uzalishaji mapema.

Ni matumaini yangu na viwanda vingine vitarudishwa ikiwepo Tanzania Bag moshi kilichofanywa godown na Mohammed Enterprises.
 
Naskia shelukindo ndiye aliyeuwa general tairi alipewa mkopo dola million 10 ya kununua mitambo mipya yeye akanunua rangi ya kupaka mitambo ya zamani. Deni la taifa limefika trillion ngapi vile?
 
Ni kweli kabisa, nimeelewa ulichoandika. Lakini kama kuandika ingekuwa ni vurugu mechi namna hii kungekuwa na haja gani basi ya kijifunza kuandika? Watanzania tusikubali uzembe na uvivu viwe sehemu ya utamaduni wetu!
Can you substatiate uvivu na uzembe how?
I assume you are trying to deviate us from the focus
 
Can you substatiate uvivu na uzembe how?
I assume you are trying to deviate us from the focus

Uvivu na uzembe ni kutenda makosa kwa kukosa umakini kunakosababishwa na uvivu 🙂. Unaona kujifundisha kuandika maneno kwa usahihi sio muhimu ila bora liende na umeeleweka! (BTW unaonekana ni wale wanaofikiri kukosea kiingereza ni aibu lakini kokosea kiswahili ni ujuvi)
 
Hata kama kitafunguliwa hii itatokana na Lowassa kuongea nao MaCCMwakaona aibu, ndo maana wanasema watakifungua,. sasa haijulikani ni baada ya miaka mingapi ndo kitafunguliwa.
 
Wakifungue wakifunge watajua wenyewe mie kura yangu kwa lowassa.
 
Kumbe hawa watu wanatuchezea akili. Ngoma ni ileile VIVA UKAWA
 
Walikuwa wapi muda wote! Leo ndiyo wanakumbuka kufufua baada ya kuona Lowasa ameongelea na ccm kuwa na hali mbaya kisiasa Arusha wanajaribu kutulainisha
 
Baada ya kiwanda cha tairi cha arusha kufungwa leo ccm wameamua kukifungua tena. Hii naona km homa kwa sbb serikali hii imeua viwanda sasa kuelekea uchaguzi ndo wanaona kwamba kuna umuhimu wa kiwanda hicho kuwa wazi??. Vijana tuko mtaani hatuna ajira leo wanatuita wavuta bangi. Tutaonana tar25 Oct.
 
Back
Top Bottom