BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Kwahiyo Mkuu unayakana maneno ya WAHENGA?Nimezaliwa peke yangu mkuu, uslete udugu wa kuibiana, halaf ole wako umPM sweetlady, niko na paswedi yake. usjaribu
Kwahiyo Mkuu unayakana maneno ya WAHENGA?Nimezaliwa peke yangu mkuu, uslete udugu wa kuibiana, halaf ole wako umPM sweetlady, niko na paswedi yake. usjaribu
Nipo ndugu yangu...ulipotelea wapi weye?Sweetlady upo?Mbona kimya?
Sweetlady unanitosa jamani..!"Darling ndio nini sasa? Yaani mie kutoka kidogo tu ushaamia kwa Zinduna?
Utaniua kwa presha switie...hicho kidumbaki si umesema utanifundisha? Yaezekana wa mikoani tunakijua kwa jina jingine bana!
Afu love huyo biskuti ya chuma asikutishe wala nini mie wala hanirushi roho so just relax my lolypop!
Sweetlady kaa kwangu,huyo c honey wako tena kahamia kwa ZINDUNA,soma alama za nyakati,AKUFUKUZAE HAKUAMBII TOKA.Darling ndio nini sasa? Yaani mie kutoka kidogo tu ushaamia kwa Zinduna?
Utaniua kwa presha switie...hicho kidumbaki si umesema utanifundisha? Yaezekana wa mikoani tunakijua kwa jina jingine bana!
Afu love huyo biskuti ya chuma asikutishe wala nini mie wala hanirushi roho so just relax my lolypop!