radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
- Thread starter
- #101
Hahahahah sasa angeendaje kamanda wakati anahisi kuna dili fulanifulani zitaweza kuibua maswali ambayo hayatakuwa na majibu. Usicheze na wanasiasa bana. Ndio maana Zito alisemaga usimwamini mwanasiasa hata siku moja. Tunaamini kwa kukataa kwake kwenda tunahisi kuna samsing kule. Si bure. Ngoja waje wamdake
Wakifanikiwa kumuweka kwenye 18 watamsumbua sana bora angemalizana nao mapema