Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Hizi ndio akili chakavu za baadhi ya watanzania wenzetu. Yani uitwe na mtu asiye na mamlaka ya kukuita alafu uende, nani atakuwa hana akili hapo?

Chombo chenye mamlaka ya kumpata mtu na hatia au kutokua na hatia ni Mahakama peke yake. Hivyo, Mbowe hahitaji kutamkwa kama hana hatia na Chombo chochote na kama bado wana wasiwasi naye wamkamate wampeleke mahakamani. Period.
 
Mbona Mkuu wa mkoa amesema haendi bungeni mpaka apewe barua ya wito
 
Kumbuka malelezo yake media, apisema Makonda hana mamlaka ya kumuita polisi hata siku moja. Sheria haiko hivyo, that is why hakwenda.
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.

Kuna wakati mwingine unatakiwa usikubali kudhalilika hata kama unataka kuthibitisha kuwa huna hatia.
mkuu utaitwaje kichakani? mbona makonda alikuwa wazi unajua kuwa ile ilikuwa ni nafasi ya kuonesha madhaifu ya makonda endapo mbowe angetoka hana hatia? kwa sasa hadi mkituda huu haijulikani zilikuwa kiki sa makonda au mkubwa yumo kwenye hayo mambo

Ukiwa gulioni akitokea mtu akasema mbele ya hadhara kuwa umeiba fedha zake na umezichomeka kwenye sehemu zako za siri, utavua nguo hadharani kuthibitisha kuwa wewe siyo mwizi?
 
Kakimbia kaenda wapi, au hukusikia kasema kuwa taratibu zifuatwe za kuitwa
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
Kuitwa polisi maana yake sio ndo kauza madawa. Na waliomwita walimwita kwenda kuhojiwa na sio kufungwa. So zilikuwa ni tuhuma na sio ndo kosa. Jamaa kukataa kwenda central ni kukaidi sheria ya rc na jeshi la polisi kwa ujumla
 
Kakimbia kaenda wapi, au hukusikia kasema kuwa taratibu za kuitwa zifuatwe
 
Kuna wakati mwingine unatakiwa usikubali kudhalilika hata kama unataka kuthibitisha kuwa huna hatia.


Ukiwa gulioni akitokea mtu akasema mbele ya hadhara kuwa umeiba fedha zake na umezichomeka kwenye sehemu zako za siri, utavua nguo hadharani kuthibitisha kuwa wewe siyo mwizi?

kuna namna ya kusibitisha kuwa hauhusiki na upotevu au kashfa flani unajua hadi muda huu wanaweza kuongea kama jamaa anahusika na hayo mambo ndo mana hajafika kwani wakina azani na gwajima walivyokwenda kuna kitu wamepungukiwa? imebaki kuwa aibu ya makonda na kwa sasa watu wanatambua kuwa gwajima kazushiwa.
 
Makonda anamuuta mbowe police kama nani?
Kuna ulazma gani wa kumuita kwa dharau vile na wakati hana uhakika?
Unajaribuje kumfananisha mbowe na gwajima?
Kiongozi wa kitaifa unamfsnanisha na mwananchi wa kawaida? Hii mijitu mingine ni kama ina akili za kuazima.
Kweli nyani haoni kundule. Hivi unakumbuka Lissu alivyomuita Nyerere. Hivi Nyerere hakuwa kiongozi wa kitaifa?
 
Mkuu hebu iweke habari yako katika aya.Hili lilikuwa ni somo dogo katika Somo kubwa la Kiswahili darasa la tano.Maada iliitwa "UTUNGAJI",hapa unakutana na imla,kutunga sentensi n.k

Turudi kwenye hoja:Huwezi kuitikia mwito ambao umekiuka sheria au una utata kisheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dsm,ambapo katika anuani ya bunge hainyoshi kuwa Mbowe ni Mkazi wa mji huo,hana "nguvu" ya kumuita Mbunge wa Jimbo la Hai,mkazi wa Hai,Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,na Waziri Mkuu Kimvuli kama vile anamuita Wema Sepetu.

Huyu ni kiongozi,ni mbunge...na ukumbuke wakati anaitwa ilikuwa ni kipindi cha Bunge,hivyo mwito huo ulipaswa kuwa rasmi kupitia kiongozi wa bunge ambaye ni Spika.Huwezi kumuita "kienyeji" Mbunge na KUB ambaye ktk nchi za Jumuiya ya Madola huyu ni Waziri Mkuu Kimvuli,sauti ya upinzani na vyama mbadala ktk nchi.Jamani hamjui hata "Concept ya Political Pluralism" ktk nchi?

Huyu ni VIP...Ana diplomatic Pass...Huwezi kumuita kihuni huni kwa sbb ya "tuhuma tu".Yeye kuitikia mwito wako,ni kukubaliana na upuuzi wa uvunjaji wa taratibu ulioufanya.

Huyu Makonda madaraka yake mwisho daraja la mto Ruvu,ni uzuri wa teknolojia tu kwamba yale majina anayotangaza anatumia radio na Tv zilizofika mpaka Kalambo,Nkasi na Kibondo.Huyu ilitakiwa atangaze kupitia E-Fm na Praise Power Radio ambazo mawimbi yake yanaishia Mapinga Bagamoyo na Mlandizi-Kibaha.
[emoji3] [emoji2]
 
Ccm wanajimaliza wenyewe kwa kukumbatia watu kama huyo mtengeneza arv feki
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
Yaani kiongozi mkubwa kama Mbowe asumbuliwe na dagaa kama Makonda,no way!Kajitu kenye barua ya Rais ndio kasumbue watu kwa mihemko yake!Bora Mbowe hajaenda
 
radika: Alichokifanya macondor ni sawa tu na mtu wa kichakani kukuita. Kwa hiyo wewe kila wito utaitikia tu eti kuwaaminisha watu kuwa si mkosaji. Jiangalie na ujiamini ndugu yangu. Binadamu anaweza kukufanyia fitina usiyoitegemea.
 
Eti huna chama? Acha ujinga wewe umeandika upuuzi tu hakuna cha maana hapo kwenye huo mchango wako! Mjinga kama wewe tu ndo ataamini kuwa wewe cyo mwanachama wa kile chama ambacho mtaji wake ni ujinga na umasikini wa Watanzania kama ulivyo wewe!
HUNA MAANA KIBOKO WEWE MUUZA UNGA, KICHWA KAMA NDALAA ya magomeni. kwa tarifa yako mie chadema nazi mtumbwi wewe. mxiiiiuuuuw
 
Back
Top Bottom