Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Hebu mtu mwenye uelewa wa mambo ya sheria atuambie Mbowe kavunja kanuni au sheria ipi katika sheria au Katiba yetu? Mbona tunaongea kama vile nchi yetu bado tunatumia "law of the jungle" wakati tuna written laws? Sikumbuki kuona "Personal Supremacy" kwenye sheria zetu, kwamba mtu fulani akisema (Hata kama ni kinyume cha sheria) ni lazima amri yake itekelezwe.
 
alietajwa ni Philemon Mbowe,kwa tofauti ya jina la kwanza kuna haja gani ya Mh.Freeman Mbowe kughasiwa?labda kisheria ikoje hapa,kwenye pasi,visa au vitambulisho,lipi ni jina la mwenyekiti halali wa CHADEMA taifa?imenibidi nimkumbuke @bensaanane angetoa ufafanuzi,shame on you ccm
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
THE GUILTY ARE ALWAYS AFFRAID !
 
How come a suspect is given a summons to report!!?As far as I understand, a suspect is arrested either with or without a warrant......Sirro is only doing diplomacy lakini hawezi kumpa summons......Mbowe on his part is fearful of being exposed on use of.[emoji260][emoji260][emoji260][emoji260][emoji260][emoji260]...
 
Kwani wengine wameitwa kwa miguu? Yusufu kaitwa kwa njia ile ile yy ana nn? Vile vile wengine pia wameenda kwa njia hyo hyo kwan wajinga? Hatumwamin tena hyu
konda aende bungen kwanza ndipo mbowe aende central mku
 
konda aende bungen kwanza ndipo mbowe aende central mku
Mkuu nakubaliana na ww lkn mbow ajue anajukumu la kujenga chama kond hanancha kupoteza lkn siasa hupaswi kutulia,saiz wanawez kumwacha lkn kukitokea anajambo la kufanya la kichama jema la kujenga ndipo watamtafta wamkamate wampotezee mda, anapaswa kujua hilo aache ubabe,watu na pesa zao kama kina yusuf wameenda yy anataka haki? Ngoja ataipata tu haki anayoitafta itakayoambatanq na kufa kisiasa
 
alietajwa ni Philemon Mbowe,kwa tofauti ya jina la kwanza kuna haja gani ya Mh.Freeman Mbowe kughasiwa?labda kisheria ikoje hapa,kwenye pasi,visa au vitambulisho,lipi ni jina la mwenyekiti halali wa CHADEMA taifa?imenibidi nimkumbuke @bensaanane angetoa ufafanuzi,shame on you ccm

Ameenda lakin umesikia?
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
sidhan kama umetafakari na kukijuwa ulichokiandika., mbowe kukataa kwenda si hofu wala chochote wala kuutia kiwewe upinzani na CHADEMA amekuwa akirudia mara kadhaa sheria za yeye kuitwa hazikuzingatiwa., lakin juz kamanda mwenyewe alionekana kwenye taarifa akimtaka ende si zaid ya leo j3., kwaiyo kimsingi ni kwamba ameenda kwa sababu sasa wito ni wapoliso na sio MK tena
 
sidhan kama umetafakari na kukijuwa ulichokiandika., mbowe kukataa kwenda si hofu wala chochote wala kuutia kiwewe upinzani na CHADEMA amekuwa akirudia mara kadhaa sheria za yeye kuitwa hazikuzingatiwa., lakin juz kamanda mwenyewe alionekana kwenye taarifa akimtaka ende si zaid ya leo j3., kwaiyo kimsingi ni kwamba ameenda kwa sababu sasa wito ni wapoliso na sio MK tena

kwani waliokwenda kwa wito wa makonda kuna kitu walipungukiwa au mbowe akiitwa na siro kuna kitu kinaongezeka kimsingi waliyofanyiwa wote walioitwa ndiyo yatakayofanyika kwa mbowe kajichelewesha bure tu
 
Mimi nimwana ccm nimekata kadi yauwanachama mwaka2005 ilamwenendo waserkali nilio ichagua inanichanganya sana tulivyo mpigania rais siamini kua kunani anae msukuma raisi kuruhusu yanayo tokea hakunakitu kimeniu zi kama kumzogoma manji na gwajima pia lambowe sijalipenda inanikumbusha Congo katiya rais na wa congo na katumbi
 
wito wa mahakama wagwaya ila vinara wa kuamuru tena wakisigina katiba hao!!mwambie aache woga kesi ya kikatiba ni kwa ufafanuzi wa kisheria
 
Back
Top Bottom