Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
Jibu swali wewe !! Ni polisi gani kamwita mbowe??Hili swali sio zuri mkuu ni ujeur huu angalia gwajima
Jibu swali wewe !! Ni polisi gani kamwita mbowe??Hili swali sio zuri mkuu ni ujeur huu angalia gwajima
MKUU sio ya moyoni na unajuaje ya moyoni na fikra tuh?????? nimewaza tuh tuna pokua kijiweni tuna changamshana kwa kuchambua mambo ile naamna mtu anavyo ona yeye mwisho wa siku ugali wangu upo maana akamtwa asi kamatwa niko pale pale hata mshahara haongezeki.Mbona kama hujawaza, yametoka moyoni moja kwa moja JF. Ungeyapistisha kichwani labda yangekuwa tofauti.
Uhalali wa kuitwa kituoni ndio ungekuwa msingi wa wewe kuona makosa ya Mbowe.
Ndo hapo napomuonea huruma maana utawala hautabiliki asaiviWakifanikiwa kumuweka kwenye 18 watamsumbua sana bora angemalizana nao mapema
makonda hana authority ya kumuita mtu polisi, alafu sheria ni kitu kizuri sana kufuatwa kuondoa matatizo kipindi kingine.yeye alisema kama kamanda sirro anamuitaji anajua pa kumpata.kama jeshi la polisi linamuhitaji lifuate sheria ataenda tu lakini Mh Makonda authority ya kumuitaKwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.
Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.
Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.
Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.
Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.
Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.
Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
aku, asingiziwe anabwia unga kama manji, noMkuu hatuwezi kwenda sawa na serikali yafaa kuwaonesha wao hawapo sahihi tukifanya hayo ina maana hakuna wa kumkosoa mwenzie hapo hamna maana ya upinzani
iyo bilz iko wap?mimi sio ukawa wala ccm, na wazaaa hapa kwa uchambuzi wangu, i think amekosea mbowe kuto kwenda kituoni kama yeye ana jiamini na yeye ni mwenyekiti wa chama chake ange chukua jukumu ilo kwenda aengeitikia wito kwenda tuh kutoa support regardless nini baada ya kutoka ndo ange zi sema kasoro zote, mwisho kabisa yeye mmliki wa club kubwa tuh hapa town bilcanaz sio kama ana isimamia hatakua ana watu kawa ajiri kwajili ya kuismamia club yake so pengine wafanya kazi wake wanausika? maana kwenye club kuna mengi kuna wauza unga wanakuja kuwauzia watu pale etc, club nikama kijiwe inakua ndo maana mko wa mkoa alikua ana waita baadhi ya wamiliki sio kua wanatumia au wanauza pengine unapewa report kwamba club yako ina tumika vibaya tusaidie. na WAZA TU sitaki matusi na mtu
Wengine waliokwenda wito wao haukuwa batili?. Wengine wote waliotoa ushirikiano ni watanzania nusu na yeye ni mtanzania kamili?.Ndugu usiwe kama mchumia tumbo. Atawezaje kwenda kwa wito ambao Ni batili tena wenye Kila aina ya ujingà ndani yake?
Ukijua haki zako na ukawa unajua jinsi ya kuzitetea huwezi kukubaliana na ujingaWengine waliokwenda wito wao haukuwa batili?. Wengine wote waliotoa ushirikiano ni watanzania nusu na yeye ni mtanzania kamili?.
.Hawa ni wanaccm wanao support chama cha Mauaji financially siyo rahisi kuguswa.
Hawa hata wakiua wataulizwa Umeya Mpinzani au RAIA wa kawaida.Na watatoka kwamba alikuwa anajiprotect.Hiyo ndiyo CCM. Wauza madawa watoto wa watawala hawajaguswa wameguswa watumiaji.Ajabu na kweli.
Inasemakana 50% ya Blacks IQ yao iko kwenye mstari ambao whites wanakuwa categorized kama Wenye mtindio wa UbongoWengine waliokwenda wito wao haukuwa batili?. Wengine wote waliotoa ushirikiano ni watanzania nusu na yeye ni mtanzania kamili?.
Ukijua mipaka ya kazi kwa mujibu ya sheria, huwezi kununua muda kwenye ubishi dhidi ya mamlaka halali walizonazo baadhi ya watu.Ukijua haki zako na ukawa unajua jinsi ya kuzitetea huwezi kukubaliana na ujinga