Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Mchagga hana nafasi kanda ya ziwa ni wachuuzi tu wachache na shoe shiners. Biashara za meli, mahotel, madini na uvuvi ambazo ni uti wa mgongo wa Jiji la Mwanza ni za wenyeji wa kanda hii akina Kitano, Kishimba na wengineo. Kwa mfano Tai five hotel pale kona ya Bwiru ambayo ilikuwa ya mchagga tayari imeisha nunuliwa na msukuma kupitia benki baada ya mchagga kufilisika. Kote huko Geita na Kahama hakuna mchagga mwenye biashara ya maana ni wazawa tu akina Bugomola, Mongo na wenzao wa Kanda ya Ziwa ndio wenye hela. Wadanganye wasioishi kanda hii.

We kweli punguani tena unajitoa akili mapema sana, nenda kule mabatini kaangalie ni wakina nani wanamiliki makampuni ya usafirishaji na magereji yote Yale, mabatini nzima imetekwa na wachagga usijifanye hujui dogo.

Nenda buhongwa, ukaone wachagga walivyokamata kule, kule kona ya bwiru maghorofani ndio usiseme, sijakutajia maeneo mengine , nimekaa sana mwanza tena sana unidanganyi kitu, wasukuma mmebaki kuwa makuli tu, nenda mpaka geita, kule katoro kaangalie biashara imetawaliwa na kina nani maana katoro ilistawishwa sana na madini kuliko hata geita au chato, wafanyabiashara wengi walioistawisha katoro walikuwa wachagga, nenda kaangalie waliokuwa maengineers pale GGM na Buzwagi walitoka wapi, wote walikuwa wachagga tena walitokea machame kisiki, usitake nikutajie hadi majina yao, wasukuma mmebaki kuokoteza yale makinikia yanayobaki baada ya madini kuchechuliwa, mnavamia makapi ya udongo mpaka mnafukuzwa kwa risasi na walinzi wa migodi sijui kama mmesahau hili.

Naona pia umeshasahau jinsi mlivyobaki masikini mpaka mkaanza kula mapanki ya samaki baada ya minofu yote kupelekwa ulaya, biashara iliyobaki kwenu ilikuwa kula mapanki na ukahaba tu huku madini yakipelekwa ulaya ahahaaaa. Nenda kaangalie film ya "nightmare!" iliyorekodiwa hapo mwanza na yule mfaransa!
 
Wewe kumbe ni mjinga fulani asiyejua kitu ! Nani kakudanganya kama kuna kabila la wachagga ? Wachagga ni muunganiko wa makabila madogo madogo mengi kama wamachame, wakibosho n.k. tena kwa taarifa yako wengine hawasikilizani. Mrombo akiongea mmchame haioni ndani. Unadai wachagga walitawala Arusha, kama wewe unaijua historia ya nchi hii nitajie ni Mangi gani wa kichagga aliyetawala Arusha na Manyara ya sasa ? Unaposema wachagga walitawala Arusha, unajua maana ya kutawala ? Umekumywa mbege na kuvuta mmea wa Arusha na unakuja na hoja mfu ? Nikuulize swali dogo tu, je, unamfahamu chifu Dodo alikuwa wa wapi ? Acheni kujikweza mbuzi nyie. Kabla ya Uhuru Moshi ilikuwa Wilaya tu katika Jimbo la Kaskazini ambalo makao yake makuu yalilkuwa Arusha na wala hapakuwa na mkoa wa Kilimanjaro kabla ya uhuru. Mkoa Kilimanjaro ulipatikana baada ya kuchukua wilaya ya Moshi toka Jimbo la Kaskazini na Wilya ya Pare toka Jimbo la Tanga na kuunda mkoa wa Kilimnjaro mwaka 1963. Leo unasema eti Arusha ilimegwa toka Kilimanjaro. Pole sana.




Ahahaaa. Ndio maana nikakuita wewe ni mpumbavu aisee!

Afadhali hata ungekuwa mjinga basi ujinga wako ungetoka hata kidogo lakini mpumbavu haelimishiki kamwe.

Lakini kusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu masikioni na Mimi sitaacha kukuzibua mpaka utokwe damu usikie!

Wachagga ni state! Ni zaidi ya kabila, kitaalamu kabila (tribe) linapovuka mpaka wa kikabila chiefdom, ugeuka kuwa kingdom, Tanzania ni makabila machache sana yaliyopevuka na kuunda hali hii ya kuwa tawala kubwa yaani muunganiko wa jamii kubwa ambazo ugeuka na kuwa falme (kingdoms) au nchi (states), mojawapo ya makabila kama haya ni wahaya na wanyakyusa! Nakupa elimu hapa maana elimu hii huna, we unadhani kuwa kabila kuunda jamii mbalimbali basi huo ni udhaifu, sasa kiwango cha kabila kuunda jamii mbalimbali huko ni kukomaa sana, kupevuka na ku-upgrade hatua kubwa zaidi, waingereza waliwatambua wachagga kama kabila ambalo limetengeneza mfumo wa nchi state!

Kuhusu wachagga kutawala arusha, hapa bado uko na ujinga mwingi wa kisukuma, wakati wa wakoloni hakukuwa na mipaka ya marginal boundaries kama hii ya kisasa, bali makabila yalitambulika kwa uasili wao wa mahali au kuteka sehemu husika. Wameru ambao ndio kiasili niwakazi wa maeneo hayo nimeshakuelimisha huko juu kuwa ni wachagga!! Naona hili limekuumiza sana, kwataarifa yako wameru walikuwa na bado ni sehemu ya wachagga mpaka sana kama walivyo wagweno wa upareni na facts nilikupa hata wao wanalitambua hili, arusha sio asili ya wamaasai, mji wa arusha ni asili ya wameru ambao ni wachagga (waliitwa wameru kutokana na mlima meru), japo kiasili hakuna kabila la wameru, ni kama kusema kabila la wamachame au wamarangu ambalo kimsingi halipo bali ni sehemu ya chagga'sdom.

So mwl nyerere alipoanza kugawa mikoa (regions) kutoka kwenye majimbo (provinces) ili kurahisisha utawala na maendeleo aliona maeneo ya umaasaini ni nyika na mapori hakukuwa na mji mkubwa unaoweza kuunda makao makuu ya utawala wa mkoa huo mpya kama mji wa arusha ya wameru ambao kimsingi ni wachagga, hivyo akaamua kuumega mji wa Arusha kutoka kwenye kabila la wachagga na kuunda mkoa wa arusha pamoja na wilaya za monduli, manyara, simanjiro, n.k

Lengo la kuuweka mji wa arusha pamoja na maeneo ya wamaasai na wambulu (wairaqwi) ilikuwa ndio mji wenye maendeleo sana kwa wakati huo na unafaa sana kuwa makao makuu ya mkoa kuliko mji wowote wa eneo la wamaasai au wambulu kwa wakati ule, na kwakuwa kilimanjaro bado ilikuwa na miji mingine mikubwa kama moshi na himo haikuleta shida yoyote kwa wakazi wa Kilimanjaro. Kugawa miji kwa mtindo huu sio ngeni hata Chato iliyokuwa sehemu ya mkoa wa Kagera ilimegwa na kuungwa na wilaya ya Geita iliyokuwa mkoa wa Mwanza na kuunda mkoa wa Geita. Acha kujito akili basi, maana nyie watu ni mambumbumbu mno hata kwenye kiwango cha elimu mko nyuma sana hivyo kuwaelimisha nyinyi ni lazima tufanye juhudu za makusudi, hivi wasukuma wanashika nafasi ya ngapi kwenye viwango vya elimu hapa Tanzania?! Maana mnatia aibu sana, mkoa wengi kama nyumbu alafu wajinga watupu!
 
wewe kweli wa jana. kwa taarifa wachaga waliwahi kuhamishiwa handeni, mpanda, kilosa nk. wakati wa awamu ya kwanza ili kuondoa msongamano. Haijaleta ubaguzi wowote na wamechanganyikana na wenyeji wao. Watu wa sasa ndio wabaguzi. NENDA HUKO UKACHUNGUZE
Hiyo program ya kuwahamisha wachagga iliitwaje?

Ilikuwa ni mwaka gani?

Kwanini walihamishwa?

Naomba unisaidie kujibu hayo Mkuu.
 
Ahahaaa. Ndio maana nikakuita wewe ni mpumbavu aisee!

Afadhali hata ungekuwa mjinga basi ujinga wako ungetoka hata kidogo lakini mpumbavu haelimishiki kamwe.

Lakini kusikia kwa kenge ni mpaka atoke damu masikioni na Mimi sitaacha kukuzibua mpaka utokwe damu usikie!

Wachagga ni state! Ni zaidi ya kabila, kitaalamu kabila (tribe) linapovuka mpaka wa kikabila chiefdom, ugeuka kuwa kingdom, Tanzania ni makabila machache sana yaliyopevuka na kuunda hali hii ya kuwa tawala kubwa yaani muunganiko wa jamii kubwa ambazo ugeuka na kuwa falme (kingdoms) au nchi (states), mojawapo ya makabila kama haya ni wahaya na wanyakyusa! Nakupa elimu hapa maana elimu hii huna, we unadhani kuwa kabila kuunda jamii mbalimbali basi huo ni udhaifu, sasa kiwango cha kabila kuunda jamii mbalimbali huko ni kukomaa sana, kupevuka na ku-upgrade hatua kubwa zaidi, waingereza waliwatambua wachagga kama kabila ambalo limetengeneza mfumo wa nchi state!

Kuhusu wachagga kutawala arusha, hapa bado uko na ujinga mwingi wa kisukuma, wakati wa wakoloni hakukuwa na mipaka ya marginal boundaries kama hii ya kisasa, bali makabila yalitambulika kwa uasili wao wa mahali au kuteka sehemu husika. Wameru ambao ndio kiasili niwakazi wa maeneo hayo nimeshakuelimisha huko juu kuwa ni wachagga!! Naona hili limekuumiza sana, kwataarifa yako wameru walikuwa na bado ni sehemu ya wachagga mpaka sana kama walivyo wagweno wa upareni na facts nilikupa hata wao wanalitambua hili, arusha sio asili ya wamaasai, mji wa arusha ni asili ya wameru ambao ni wachagga (waliitwa wameru kutokana na mlima meru), japo kiasili hakuna kabila la wameru, ni kama kusema kabila la wamachame au wamarangu ambalo kimsingi halipo bali ni sehemu ya chagga'sdom.

So mwl nyerere alipoanza kugawa mikoa (regions) kutoka kwenye majimbo (provinces) ili kurahisisha utawala na maendeleo aliona maeneo ya umaasaini ni nyika na mapori hakukuwa na mji mkubwa unaoweza kuunda makao makuu ya utawala wa mkoa huo mpya kama mji wa arusha ya wameru ambao kimsingi ni wachagga, hivyo akaamua kuumega mji wa Arusha kutoka kwenye kabila la wachagga na kuunda mkoa wa arusha pamoja na wilaya za monduli, manyara, simanjiro, n.k

Lengo la kuuweka mji wa arusha pamoja na maeneo ya wamaasai na wambulu (wairaqwi) ilikuwa ndio mji wenye maendeleo sana kwa wakati huo na unafaa sana kuwa makao makuu ya mkoa kuliko mji wowote wa eneo la wamaasai au wambulu kwa wakati ule, na kwakuwa kilimanjaro bado ilikuwa na miji mingine mikubwa kama moshi na himo haikuleta shida yoyote kwa wakazi wa Kilimanjaro. Kugawa miji kwa mtindo huu sio ngeni hata Chato iliyokuwa sehemu ya mkoa wa Kagera ilimegwa na kuungwa na wilaya ya Geita iliyokuwa mkoa wa Mwanza na kuunda mkoa wa Geita. Acha kujito akili basi, maana nyie watu ni mambumbumbu mno hata kwenye kiwango cha elimu mko nyuma sana hivyo kuwaelimisha nyinyi ni lazima tufanye juhudu za makusudi, hivi wasukuma wanashika nafasi ya ngapi kwenye viwango vya elimu hapa Tanzania?! Maana mnatia aibu sana, mkoa wengi kama nyumbu alafu wajinga watupu!
Umeeleza vizuri ila umesahau kuwa neno Arusha lilitokana na neno LARUSA, ambao ni ukoo uliopo Kibosho mpaka leo.

Ukoo huo ndio uliomiliki eneo kubwa katika mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini, kabla Wamasai hawaingia Arusha.

Mpaka leo Wamasai wanawaita watu wa Arusha ''LARUSA''

Researched...!

Umenifungua kwa mengine ahsante.
 
Kimei hajaongea jambo geni. Tukumbuke mwl.JK Neyrere aliwahi kuwahamisha wakara kutoka ukara akawaleta maeneo ya sengerema kwa sababu hizohizo alizozisema Dr.Kimei

Johnson Fundi kongole mkuu kwa kuelimsha zaidi,

Kuna watu wanaasili ya ubishi, wanadhani wakileta ubishi wenye akili ya wivu na chuki ndani yake watafaidika kitu.

Kumbe ni buree kabisa, sio kwamba hawajui hili, wanajua vizuri mno, lakini wamepofushwa na wivu na chuki za kikabila, wanashindwa kujiuliza kwani watu wakiomba ardhi ni kosa kisheria?! Kama sio kosa, kipi kinawaumiza ndugu zetu hawa?! Kama sio chuki binafsi na wivu wakijinga?! Na wao waombe waone kama watanyimwa?!
 
Sasa ni kwa nini kwa mara zote na miaka yote waendelee kupewa wao tu?
Tanzania kuna makabila na mikoa mingapi?Kila kabila iwe inspeaa maeneo na serikali itakuwaje?
Yaelekea mtoa mada ni mtoto sana au ukabila unakusumbua sana.

Ngoja nikuelimishe kidogo, miaka Fulani ya nyuma kwenye 70's baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere aliwahi kuwashauri wachagga wasigombee ardhi ndogo iliyoko Kilimanjaro Bali waende kutafuta ardhi kwingine maana Tanzania ni kubwa na ardhi ni nyjngi.

Kwenye mchakato huo alitoa ardhi Rukwa, sehemu ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi, kuna kijiji ambacho wakazi wake asilimia 90 ni wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro, eneo hilo liliwahi kuonyeshwa na Tanzania safari channel kuna mto unaitwa mto mapacha!

Pia kuna maeneo ya mkoa wa morogoro ambayo wachagga waliwahi kupewa ardhi sikumbuki ni eneo gani kwajina, kwahiyo utaratibu wa kuomba na kupewa eneo la ardhi sio mgeni wala sio shida,

Jifunze historia mkuu kabla ya kutoa lawama au kulaumu! Ni bora ungeuliza kuliko kujifanya much know kumbe ni tabula rasa!
 
Umeeleza vizuri ila umesahau kuwa neno Arusha lilitokana na neno LARUSA, ambao ni ukoo uliopo Kibosho mpaka leo.

Ukoo huo ndio uliomiliki eneo kubwa katika mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini, kabla Wamasai hawaingia Arusha.

Mpaka leo Wamasai wanawaita watu wa Arusha ''LARUSA''

Researched...!

Umenifungua kwa mengine ahsante.

Azarel well said mkuu,

Shukrani mkuu, umeniongezea elimu kaka, I appreciate! Nilikuwa sijui hili, kweli JF ni kisima cha elimu. Thanks a lot.
 
Sasa ni kwa nini kwa mara zote na miaka yote waendelee kupewa wao tu?
Tanzania kuna makabila na mikoa mingapi?Kila kabila iwe inspeaa maeneo na serikali itakuwaje?
Makabila mengine wamenyimwa kuomba?! Tumieni fursa basi muone kama mtanyimwa! Tuache roho mbaya kwamba kwasababu Mimi sina macho basi nataka na wenzangu wote wawe vipofu kama Mimi, hiyo ni roho mbaya ya umasikini,

Wenzako wameamka na kuona fursa, ulitaka wasiitumie?! Na wewe omba ardhi uone kama utanyimwa?! Amka utumie fursa sio kulilia?! Kuna mtu amewakataza msiombe?! Swali gani hili?!

Hata hivyo eneo la wachagga "lenye rutuba" huwezi kulinganisha na eneo la Wafipa, au wahehe, au wanyakyusa, hivyo hawaombi ardhi kutafuta ufahali bali wanataka eneo la kilimo, na kama kuna maeneo makubwa yapo tu ni mapori kwanini watu wasipewe na kuyaendeleza ndugu?! Nenda Lindi au katavi utaona maeneo makubwa ambayo ni mapori tu, watu wanashindwa kuyaendeleza kwa kilimo, ufugajinau shughuli zingine za manedeleo na kukuza uchumi na pato la taifa, kama kuna watu watanzania wenzako wanauwezo wa kuyaendeleza why not wasipewe?!
 
kwani mzungu huwa anapewa bure au ananunua kwa hela zake
Mzungu ni mtanzania?! Tuanzie hapo?! Ulitaka raia awe sawa na mgeni (foreigner)?! Na wachagga wangapi wanamiliki mashamba kwa kuyanunua?! Hawa tu wakiomba imekuwa nongwa?! Kwani wanayapeleka Kenya au Rwanda?!

Wale waburundi waliopewa ardhi bure na uraia kule katavi walistahili zaidi kuliko wachagga?! Wale wasomali waliopewa ardhi tanga walistahili zaidi?! Hebu tuache mawazo mgando na finyu, kama maneneo yapo, na watanzania wanashida na ardhi basi wapewe wayaendeleze.

Mara ngapi magufuli anawapa ardhi bure wawekezaji wakubwa?! Lile shamba la miwa ambalo Magu kampa Bakhera awekeze kulima miwa alinunua kwa shilling ngapi?! Tuache wivu na chuki, na wewe omba utapewa!
 
Umeeleza vizuri ila umesahau kuwa neno Arusha lilitokana na neno LARUSA, ambao ni ukoo uliopo Kibosho mpaka leo.

Ukoo huo ndio uliomiliki eneo kubwa katika mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini, kabla Wamasai hawaingia Arusha.

Mpaka leo Wamasai wanawaita watu wa Arusha ''LARUSA''

Researched...!

Umenifungua kwa mengine ahsante.


Nimeongeza elimu hapa.
 
Bakhresa kuna miradi maalum inayotambulika sasa unataka serikali uwape kikundi cha wachaga wajenge vibanda vyao ina uzito gani ndugu
Mzungu ni mtanzania?! Tuanzie hapo?! Ulitaka raia awe sawa na mgeni (foreigner)?! Na wachagga wangapi wanamiliki mashamba kwa kuyanunua?! Hawa tu wakiomba imekuwa nongwa?! Kwani wanayapeleka Kenya au Rwanda?!

Wale waburundi waliopewa ardhi bure na uraia kule katavi walistahili zaidi kuliko wachagga?! Wale wasomali waliopewa ardhi tanga walistahili zaidi?! Hebu tuache mawazo mgando na finyu, kama maneneo yapo, na watanzania wanashida na ardhi basi wapewe wayaendeleze.

Mara ngapi magufuli anawapa ardhi bure wawekezaji wakubwa?! Lile shamba la miwa ambalo Magu kampa Bakhera awekeze kulima miwa alinunua kwa shilling ngapi?! Tuache wivu na chuki, na wewe omba utapewa!
 
Bakhresa kuna miradi maalum inayotambulika sasa unataka serikali uwape kikundi cha wachaga wajenge vibanda vyao ina uzito gani ndugu


Ndio tatizo la kukurupuka bila kuelewa mada, pengine umedandia thread katikati usiwe mvivu wa kusoma mada na kupitia comments ili uelewe kipi hasa kinachojadiliwa, maana tunachoshana kurudia rudia kujibu comments ambazo zilishajibiwa tayari

Anyway, ngoja nikuelimishe kinachojadiliwa hapa ni ardhi ya kilimo pia, hakuna mtu anayeongelea kuhusu vibanda, alichosema Dr.Kimei ni serikali kuwapa ardhi ya kilimo, hakuna mtu anayejadili kuhusu vibanda, sasa kama bakheresa kapewa bure ardhi ya kulima kwanini watanzania wengine wasio na ardhi wasipewe ardhi ya kilimo kama ardhi ipo, tena haiendelezwi?!

Kama waburundi na wasomali walipewa ardhi na mashamba buree kwanini watanzania wenzako wasipewe ardhi ya kilimo kama ipo na haiendelezwi?! Na hii sio Mara ya kwanza walishapewa na baba wa taifa kwenye mikoa ya Rukwa(katavi), Morogoro na Tanga, Leo tatizo liko wapi?! Tuache ujinga na fikra mgando!
 
Ni kitu gani kinawazuia kununua mashamba kama wanavyonunua watanzania wengine?
Ndio tatizo la kukurupuka bila kuelewa mada, pengine umedandia thread katikati usiwe mvivu wa kusoma mada na kupitia comments ili ielewe maana tunachoshana kurudia rudia kujibu comments ambazo zilishajibiwa tayari

, ngoja nikuelimishe kinachojadiliwa hapa ni ardhi ya kilimo pia, hakuna mtu anayeongelea kuhusu vibanda, sasa kama bakheresa kapewa bure ardhi ya kulima kwanini watanzania wengine wasio na ardhi wasipewe kama ardhi ipo tena haiendelezwi?!

Kama waburundi na wasomali walipewa ardhi na mashamba buree kwanini watanzania wenzako wasipewe ardhi ya kilimo kama ipo na haiendelezwi?! Na hii sio Mara ya kwanza walishapewa na baba wa taifa kwenye mikoa ya Rukwa(katavi), Morogoro na Tanga, Leo tatizo liko wapi?! Tuache ujinga na fikra mgando!
 
Azarel well said mkuu,

Shukrani mkuu, umeniongezea elimu kaka, I appreciate! Nilikuwa sijui hili, kweli JF ni kisima cha elimu. Thanks a lot.
NGOJA NIKUSAIDIE KIDOGO KWASABABU KUNA MAMBO HUJAYAJUA NA KWA FAIDA YA WENGINE:-

• Kifupi ukiona Mtu yeyote anajiita Muarusha hata kama anazungumza kimasai still hana asili yoyote ya Umasai ila ubantu ambao ni wa kichagga au kimeru, kwasababu, kiasili na tangu enzi Wamasai hawafanyi vifuatavyo :-

* HAWALIMI, wakati Waarusha / Wameru tangu karne nyingi zilizopita wanalima migomba, mahindi, maharage,mbogamboga na nafaka zilezile kwa 100% zinazolimwa Kilimanjaro

*ASILI YA CHAKULA, Unaposikia LOSHORO au kitalolo ni vyakula vinavyotokana na mahindi, maziwa na ndizi. Kitalolo kina hadi mbogamboga, Vyakula hivyo havijawahi kuwepo Umasaini kwasababu Wamasai hawalimi mahindi wana ndizi, ila Wamasai chakula chao ni Nyama na Maziwa TU.

* AINA YA UFUGAJI : Wameru, Waarusha, Wachaga wana ufugaji wa ndani (Sedentary Livestock keeping) na wanafuga mpaka Kuku, wakati Wamasai kamwe hawafungii mifugo ndani isipokuwa wanatafuta malisho popote katika mkoa wowote hawana makazi ya kudumu.

* AINA YA MAKAZI : Kwa karne nyingi zilizopita Wameru/Waarusha/Wachaga wana makazi ya kudumu (Permanent settlement) ila Wamasai hawana makazi ya kudumu, hawana makaburi ya kudumu wala maboma yanayokaa mahala pamoja permanently.

WAKIBOSHO KUINGIA ARUSHA MIAKA YA 1800 :

ARUSHA ni neno linalotokana na ''LARUSA'' ambalo ni Ukoo uliopo Kibosho na uliohamia Arusha kabla hata Wamasai hawajafika Arusha ya leo.

Hawa wakibosho walifanya shughuli ya kuuza nyama mabuchani TU. Hakuna Mmasai aliyekuwa anauza nyama buchani isipokuwa wao wamasai walikuwa wanawauzia ng'ombe wakibosho na wakibosho wakiuza buchani kuwauzia wasomali walioishi kaloleni na waswahili wachache pamoja na wahindi waliokuwepo wakati ule Arusha mjini.

KIFUPI, Ukisikia Mtu anajiita Muarusha hata kama anakuambia ni Mollel, Laizer, Kivuyo, Siara au Sirikwa halafu amezaliwa Arusha mjini na Babu, baba yake kazaliwa Arusha mjini huyo ni Mkibosho ama Mmachame TU.

Baadhi ya Maboma ya kiarusha yenye asili ya kibosho ni kama Kirindo au Kirindoi ipo sanawari, Kishili ipo Sekei, Boma la Siara wapo Kijenge, Lesiando ipo Ilboru, Ndoivo - Ilboru, Kirusha ipo Ngaramtoni n.k, n.k ILA watakuambia wao ni Mollel au Laizer au Kivuyo.

NI KWELI, kuwa Wamasai waliwakuta Wakibosho wa ukoo wa ''LARUSA'' pale Arusha mjini hasa pale ATC na Levolosi, na wao wakawaita LARUSAI na mpaka leo hii na kesho Wamasai wa Simanjiro, Longido, Loliondo n.k wanawaita Waarusha ''LARUSAI''

WAMERU ni Wamachame kabisa wale lakini utasikia Mbise, Kitomari, Kaaya n.k lakini kiasili ni Wamachame na wana share like everything, wao walitengana kipindi cha uanzishwaji wa Dayosisi za Lutheran (hii ni historia nyingine tuiache)

Mengine uliyoyaandika ni Kweli.

Nakaribisha Maswali.

Loyalist
 
Back
Top Bottom