Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Wapumbavu sana, wanadhani kumchukia aliyefanikiwa watalingana nao, kumbe kufanikiwa ni juhudi za jamii Fulani huwezi kufanikiwa kwa kujenga chuki na visasi,

Chuki umuumiza aliyeiweka kifuani!
Comment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.

Huoni hio kauli yako ndo INA ukabila kihalisia. unahisi kila aliyecomment tofauti Na wewe anawaonea wivu Na ni mpumbavu.

U really need professional help.
 
Ahahaaa! Nimecheka kwa dharau sana, hivi we kilaza utanizidi nini aisee, we mtoto wa juzi hapa 23 October 2019 bado kabisa unanuka maziwa mdomoni?!

Hata kama unatumia new ID, Mimi Niko humu tangu mwaka 2006 as anonymous, nikajiunga 2012. Bado sana hujanikuta, utasubiri sana dogo!

Watu tulianza kutumia social media tangu enzi za Dar Hot Wire, tukaamia Jambo Forums, marafiki.com, Hi5, BBM, miaka ya 2002. vipi enzi hizo ulikuwepo wewe kindergartner?!

Madogo wasiku hizi mnadharau sana kaka zenu, kujua kutumia smartphone imekuwa nongwa sana! Usije nifanya nikapigwa ban bureee, Mara ya mwisho kupigwa ban na moderator ilikuwa mwaka 2016, hivyo tuliza mshono dogo unapo deal na kaka zako!
Hakika wewe ni kubwa jinga.
 
Mapori yote yalioko Tanzania yasiokaliwa wakimegewa wanaoweza kwenda kuishi. Ya nini kuweka Pori nyingi wakati kuna wenye Nchi hawana ardhi ya kutosha? Tanzani ni kubwa hatuaezi kuijaza Hadi Yesu kurudi. Wapewe wenye ujana wa ardhi walaitumie. Chili ziachwe. Bcoz hata hao wanaoona Wivu hawanyanganywi ya kwao.
Unahisi tunapoweka hifadhi hatuna akili.huwezi develop nchi nzima.

Hata USA the world superpower ana hifadhi Na mapori pia.

Mnazaliana hovyo hovyo sana.
 
Mkuu kumbe Makabila yaliyobaki ni inferior kwa Wachaga!! Na wanaonewa wivu!
Nani kasema ni inferior? Kwa nini unaingiza kitu ambacho sijasema. Nimesema kuwa wazungu walipokuja moja ya maeneo waliofanya makazi ni Kilimanjaro. Kwa hiyo walileta positive influence iliyosabaisha wengi wa wakazi wa maeneo hayo kuendelea. Ningekuwa naona wachaga ni superior ningesema maendeleo yao yalisababishwa na akili zao kitu ambacho sidhani. Kuhusu kuonewa wivu hili liko wazi. Kumekuwepo na chakuchaku za chini kwa chini hasa awamu hii ya kutaka kuonyesha kuwa wachaga siyo watu wazuri na kujaribu kuwadhibiti.
 
Hahaha nilitegemea utetezi kama huu

Badilikeni mazee, au mkishindwa kubadilika oneni aibu basi

Ardhi haiuzwi kwa chasaka hapa moshi ila mchaga akienda Mwanza au Moro anakaribishwa kama ndugu na anauziwa ardhi aitakayo(kwa akili yako hii utasema mnauziwa ardhi huko kwasababu watu wa huko ni wajinga na wapumbafu)

Kubadilika haina maana ya kufeli, kubadilika ni ustaarabu pia.
Tuhuma zako siyo mpya. Zimejijenga kwenye ile ile dhana ya ''mbaazi isipozaa husingizia jua''. Afrika tuko nyuma kimaendeleo na watawala wetu siku zote wamekuwa wanalaumu mabeberu badala ya kujiangalia sisi wenyewe. Watanzania weusi kila siku hatuishi kuwalaumu wahindi tunapokumbwa na masaibu. Na nyie hamuishi kuwalaumu wachaga mnapokumbwa na shida. Lbda nikuambie kisa cha watu wasio wachaga kuitwa ''vyasaka''. Vyasaka maana yake ni watu wa porini. Ukweli ni kuwa wachaga wamezoea boma wanaloishi linazungukwa na migomba na kahawa na lina kivuli. Hii ni tofauti na sehemu kama Dodoma ambazo boma la familia liko tu porini. Hivyo wakajikuta wao wanajiita ''watu wa migombani'' na sehemu ambazo hazina migomba wakaita ''watu wa porini''
 
We don't do that primitive shit anymore.
Eti uhamishe jamii. Tuna jamii moja tu ya MUHIMU sasa inaitwa Tanzania.
Wanazaliana hovyo hafu unataka maeneo mengine ya bure.

Acheni kuzaliana hovyo hovyo.
Wewe naona una ugililigili mkubwa sana. Umepigigika nini? Au uko kwenye hii awamu ambayo inajidanganya kuwa imedhibiti wachaga!
 
Tuhuma zako siyo mpya. Zimejijenga kwenye ile ile dhana ya ''mbaazi isipozaa husingizia jua''. Afrika tuko nyuma kimaendeleo na watawala wetu siku zote wamekuwa wanalaumu mabeberu badala ya kujiangalia sisi wenyewe. Watanzania weusi kila siku hatuishi kuwalaumu wahindi tunapokumbwa na masaibu. Na nyie hamuishi kuwalaumu wachaga mnapokumbwa na shida. Lbda nikuambie kisa cha watu wasio wachaga kuitwa ''vyasaka''. Vyasaka maana yake ni watu wa porini. Ukweli ni kuwa wachaga wamezoea boma wanaloishi linazungukwa na migomba na kahawa na lina kivuli. Hii ni tofauti na sehemu kama Dodoma ambazo boma la familia liko tu porini. Hivyo wakajikuta wao wanajiita ''watu wa migombani'' na sehemu ambazo hazina migomba wakaita ''watu wa porini''
Mkuu sina maana ya kuwaonea wivu jamaa yangu

Hoja yangu imejikita hapo kwenye ardhi, kwamba why ni rahisi mchaga kupata ardhi Morogoro au Mwanza ila ni vigumu Mluguru kupata ardhi Moshi,

Ila mkuu nimependa lugha unayotumia si ya matusi sana kama wenzako

Tuishie hapa sisi ni Watz, hili halitabadilika.
 
Yaelekea mtoa mada ni mtoto sana au ukabila unakusumbua sana.

Ngoja nikuelimishe kidogo, miaka Fulani ya nyuma kwenye 70's baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere aliwahi kuwashauri wachagga wasigombee ardhi ndogo iliyoko Kilimanjaro Bali waende kutafuta ardhi kwingine maana Tanzania ni kubwa na ardhi ni nyjngi.

Kwenye mchakato huo alitoa ardhi Rukwa, sehemu ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi, kuna kijiji ambacho wakazi wake asilimia 90 ni wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro, eneo hilo liliwahi kuonyeshwa na Tanzania safari channel kuna mto unaitwa mto mapacha!

Pia kuna maeneo ya mkoa wa morogoro ambayo wachagga waliwahi kupewa ardhi sikumbuki ni eneo gani kwajina, kwahiyo utaratibu wa kuomba na kupewa eneo la ardhi sio mgeni wala sio shida,

Jifunze historia mkuu kabla ya kutoa lawama au kulaumu! Ni bora ungeuliza kuliko kujifanya much know kumbe ni tabula rasa!

Kufanya kosa mara ya kwanza sio kosa, kurudia kosa ni kosa. Kwa maneno mengine, historia nyingine ni mbovu, na ni sehemu ya kujifunza zaidi.
 
We don't do that primitive shit anymore.
Eti uhamishe jamii. Tuna jamii moja tu ya MUHIMU sasa inaitwa Tanzania.
Wanazaliana hovyo hafu unataka maeneo mengine ya bure.

Acheni kuzaliana hovyo hovyo.
Who is "We" ??

Alafu kuna baadhi ya watu ni ziada tu hapa nchini , including wewe na jamii yako

Kama sio mchaga , mhaya, msukuma au mkinga , wewe ni ziada tu

Nyerere mwenyewe Alisha wahamia itakua kiaz kama wewe ?
 
Ardhi nyingi zipo kwa wanavijiji na sedikali za vijij.Zingine za kuvamia tu, wasukuma na wamasai wamang'ati wamevamia sana ardhi na wala serikali haijawahi kuwafukuza ispokuwa hifadhi pekee.Wahame kama masai.
Wamasai ni jamii zinazo hama hama kufuata malisho ya mifugo yao , same thing na baadhi ya wasukuma , wachaga hawana tabia hiyo
 

Msilete mambo ya 1970 kuhalalisha mambo ya ajabu ajabu.

That was a very primitive move.eti unahamisha kabila !!!! We are done with that.

MTU anaedai Kilimanjaro wana uhaba wa ardhi ni Mjinga sana ambaye hajitambui.

Tanzania ni nchi moja kuna free movement unaweza kuishi mkoa wowote ,kijijj chochote kama wanaona kuna changamoto huko wahamie kagera, rukwa iringa ,mbeya,tabora morogoro hakuna anae wakataza ni haki yao kama watanzania..


Ila hii ya kuomba eneo kikabila yani mkajazane wenyewe tu sehemu Fulani inaleta ukakasi.
Huu sasa sio ujinga Bali ni upumbavu,

Unapolazimisha usielewe huwa ni tatizo kichwani, wale wachagga waliopewa ardhi Rukwa walileta tatizo gani nchini?!

Wale waafrika kusini walipewa ardhi Dumila, morogoro na Dodoma walileta tatizo gani nchini?!

Wale watutsi na wahutu waburundi walipewa uraia na ardhi na kikwete eneo moja wameleta tatizo gani nchini?!

Wale wasomalia waliopewa uraia na ardhi kule tanga, eneo moja, wameleta tatizo gani nchini?!

Nyie watu wakanda ya ziwa mmejaa wivu na chuki sana kiasi cha kudhani kwamba mkimchukia aliyeendelea basis na nyie ndio mtaendelea that's absolutely nonsense!

Huwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliyefanikiwa never! Hebu jifunzeni kuficha wivu wenu na chuki zenu za kikabila hata kidogo!
 
Kila mtu Kabarikiwa kwenye fani yake ..huwezi kuwa sawa kote ,ni marachache .......kuna sehemu ukipewa ufanye kitu utaboronga tu hasa kama ulibobea zaidi sehemu fulani........Mcheza mpira ukimpeleka kwenye basket ball what will happen ?landa kama aligusagusa basket ?

Mzee ndio anaanza siasa tumpe muda azizoee
 
Kuna watu wakabila zaidi ya wachaga kwenye hii nchi.

Wakishika ofisi yoyote wanajaa wao.
We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!

Hebu anza kuhesabu mawazari uone ni kabila gani limeesheheni kwenye nyazifa hizo?! Nenda kwa wakurugenzi kuanzia TRC mpaka bandari, njoo jeshini, anza na mkuu wa majeshi,

Hata nyerere akujaza wazanaki namna hiyo! Alafu eti kwa ukabila kama huu mnataka kumfananisha na mwl nyerere thubutuuuu!

Nyerere alijaza wazanaki serikalini au jeshini?! Nyerere aliipendelea Butiama kama ilivyo sasa Chato?!

Alafu bila hata haya wala aibu unakuja hapa na kujitoa ufahamu unadai wachagga wakabila ofisi, mzee MEKO huoni anavyofanya sasa kuwajaza wakwenu?!


Alafu mnataka aongezewe muda??? Thubutuuuu mnataka kuigeuza Tanzania kama Rwanda?! Acheni upumbavu nyinyi!

Shame on you!
 
We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!

Hebu anza kuhesabu mawazari uone ni kabila gani limeesheheni kwenye nyazifa hizo?! Nenda kwa wakurugenzi kuanzia TRC mpaka bandari, njoo jeshini, anza na mkuu wa majeshi,

Hata nyerere akujaza wazanaki namna hiyo! Alafu eti kwa ukabila kama huu mnataka kumfananisha na mwl nyerere thubutuuuu!

Nyerere alijaza wazanaki serikalini au jeshini?! Nyerere aliipendelea Butiama kama ilivyo sasa Chato?!

Alafu bila hata haya wala aibu unakuja hapa na kujitoa ufahamu unadai wachagga wakabila ofisi, mzee MEKO huoni anavyofanya sasa kuwajaza wakwenu?!


Alafu mnataka aongezewe muda??? Thubutuuuu mnataka kuigeuza Tanzania kama Rwanda?! Acheni upumbavu nyinyi!

Shame on you!
Mmm. Umepiga ikulu mkuu.

Sasa hivi wamejazana kila sector. Mpaka kwenye miradi ya mwendokasi mbagala wanaletwa kutoka mwanza na shinyanga. Yaani sisi wakazi waeneo la mradi husika tunakosa kazi hata kama tuna professional husika . anapigiwa simu mwananzengo kutoka geita isulwa butindwe aje kibaruani.

Kweli awamu hii wametushika. lakini sio mbaya bado minne tu asepe tuone kama upendeleo huu wakuwajaza wananzengo kwenye kila miradi na wenyeji kutoswa makusudi kwa kutumia formula ya kamleta itaendelea baada ya mfalme wao kutokomea. It's just matter of time, time will tell.
 
Back
Top Bottom