Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Early 70s, Nyerere alihamisha wachaga na kuwapa makazi mapya: Lushoto, Kilombero, Turiani, na Mpanda (mwese); wengi wao walikataa offer hiyo, waliokubali leo wanajiona wafalme.

Nyerere aliona mbali, wakati huo, kahawa ilikuwa chanzo kikuu cha Taifa kupata Forex, alihofia wakiendelea kujazana mlimani watapunguza productivity ya kahawa
 
Kama waliwahi kuomba na kuhamishwa katavi, morogoro na Tanga,

Kwani Leo wakiomba kupewa maeneo kuna ubaya gani?!

Someni historia msikurupuke kupayuka payuka tu, acheni kupuyanga!
Dunia imebadilika sana
 
Early 70s, Nyerere alihamisha wachaga na kuwapa makazi mapya: Lushoto, Kilombero, Turiani, na Mpanda (mwese); wengi wao walikataa offer hiyo, waliokubali leo wanajiona wafalme.Nyerere aliona mbali, wakati huo, kahawa ilikuwa chanzo kikuu cha Taifa kupata Forex, alihofia wakiendelea kujazana mlimani watapunguza productivity ya kahawa

Well said,

Wengi hawajui historia wanapuyanga tu, kuna watu wanaroho mbaya sana zimejaa kutu ya chuki za kikabila, hivi mzungu au mwarabu au muhindi akija kuomba ardhi akapewa ni sawa, warundi zaidi ya laki moja waliopewa uraia na kikwete walipopewa ardhi ilikuwa sawa, lakini watanzania wenzako wa nchi hiyo hiyo wachagga wakiomba ardhi ni nongwa kubwa sana watu watapayuka mpaka mishipa ya shingo itawatoka!

Tuache chuki za kikabila na wivu usio na msingi, na we we omba ardhi kama unaitaka kwani ni dhambi?! Threads kama hizi za kipuuzi sijui kwani ni mods wanaziacha!
 
Moshi ardhi ni tatizo kubwa, kuna kipindi Nicodemus Banduka akiwa mkuu wa mkoa wa pwani alienda kugombea nafasi ya ubunge kwao moja ya kampeni yake ilikuwa ni kuwatafutia wachaga ardhi pwani.
Kimei kama angepewa uwaziri angefanya kama aalivyofanya CRDB kujaza wachaga, mapovu ruksa.
Angalia mwendo wa CRDB kwa sasa halafu linganisha,, huyu mtu ni genius tutabisha kwa mujibu wa hulka zetu watanzania lakini kiu kweli ANGESTAHILI KUWA HATA MSHAURI WA RAIS WA MASUALA YA KIUCHUMI PHAMACY NI FANI UALIMU NI FANI BASI PIA UCHUMI NI FANI ni kweli crdb ilijaa wachaga kama vile bima, bandari nk.

HAWA WATU WAMESHAZOEA VILIMA WAPATIWE TU ENEO MOROGORO VILIMANI ENEO LIITWE CENTRAL KILIMANJARO ILI WASIPOTEZE IDENTITY YAO 😂 😂 😂 😂 😂
 
Well said,

Wengi hawajui historia wanapuyanga tu, kuna watu wanaroho mbaya sana zimejaa kutu ya chuki za kikabila, hivi mzungu au mwarabu au muhindi akija kuomba ardhi akapewa ni sawa, warundi zaidi ya laki moja waliopewa uraia na kikwete walipopewa ardhi ilikuwa sawa, lakini watanzania wenzako wa nchi hiyo hiyo wachagga wakiomba ardhi ni nongwa kubwa sana watu watapayuka mpaka mishipa ya shingo itawatoka!...
Nilichogundua hapa tatizo ni uchagga, kuna wale watanzania wengine walihamishiwa eneo la mwabepande enzi za JK sikuona mapovu yakiwatoka watu
 
Nilichogundua hapa tatizo ni uchagga, kuna wale watanzania wengine walihamishiwa eneo la mwabepande enzi za JK sikuona mapovu yakiwatoka watu

Kabisa mkuu,

Watu wamejaa sumu ya ukabila, wamepofushwa macho na wivu na ukabila kiasi cha kushindwa kuona kuwa hao ni watanzania wenzao na wana haki ya kuomba kuishi popote na sio Mara ya kwanza kufanya hivi,

Wapo pia wasomali wa pale Tanga waliopewa uraia na ardhi, wapo warundi zaidi ya laki moja na nusu waliopewa uraia na ardhi, wanakuja wawekezaji wanapewa ardhi kubwa sana mamia ya hekari, lakini watanzania wenzao kuomba ardhi ni nongwa!

Kuna shida mahali.
 
Yaani Mbunge wa Vunjo mwenye PhD anamwomba waziri wa ardhi awapatie Wachagga wa Vunjo ardhi kwingineko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu ni ili walime kwani kwao wamegawana ardhi kwa mila zao na kujikuta na vipande vidogo sana ambavyo mtu hawezi kulima. Eti wamesongamana, si mpunguze kuzaana...
Miaka ya 70 mwalimu Nyerere alitaka Wachaga wahamie kwingineko ili wasiharibu Mlima Kilimanjaro Kwa kutafuta makazi. Hii ilipelekea wapewe ardhi Morogoro na kwingineko.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Nahitaji mchaga nifanye nae biashara hawa jamaa Ni wasomi wenye upeo safi.

Kutakuwepo na mkataba kisheria kabisa namini hato nisumbua mchaga asiye na elimu juuh ya business,utafutaji masoko nk.

Swala la biashara nafahamu Ni kipaji kwao.

Hili nakiri kwani wao wamefanikiwa kumsogeza muhindi mbuyuni , dar street, na kumiliki maneo asilimia 95 kibiashara
 
Kabisa mkuu,

Watu wamejaa sumu ya ukabila, wamepofushwa macho na wivu na ukabila kiasi cha kushindwa kuona kubwa hao ni watanzania wenzao na wanahaki ya kuomba kuishi popote na sio Mara ya kwanza kufanya hivi...
Umenena mkuu sioni shida ukizingatia ni ukweli hawa watu hawana ardhi ya kulima na kusema kila familia idiriki kununua kipande chake popote ni ngumu kwa sababu wengine hawana fedha hao mnaowaona mijini na tusenti twao ni 2 katika 100 wengi ni watu wa kawaida wa hali ya chini kabisa na pia ni wakulima wazuri sana hivyo suala hili lisilete nongwa wengi wameshindwa kumtafsiri KIMEI kutokana na poor IQ
 
Kama waliwahi kuomba na kuhamishwa katavi, morogoro na Tanga,

Kwani Leo wakiomba kupewa maeneo kuna ubaya gani?!

Someni historia msikurupuke kupayuka payuka tu, acheni kupuyanga!
Shida ni nini?
Nauli?
Kama ni maeneo yapo mengi kila sehemu wanaweza kwenda
 
Kwani kuna sehemu wamenyimwa?
Tatizo lako hakuna unachojua unakimbilia kupiga kelele tu

Mosi: huko vunjo ukienda sasa hivi ni sawa na hakuna mtu anaeishi kule , zaid ya 85% wa wakazi wa kule wametapaa maeneo mbali mbali nchi.

Pili: huwa wanakutana December tu kule , ardhi wamesha imaliza ile yote, lakini pia hata hiyo ndogo waliyo nayo haina rutuba tena

Wanachotaka wao ni kuhama kama jamii , waendeleze utamaduni wao na kuutunza , saiv vitukuu na wajukuu hawawez jenga tena kule ,

Punguza wivu.
 
Tatizo lako hakuna unachojua unakimbilia kupiga kelele tu

Mosi: huko vunjo ukienda sasa hivi ni sawa na hakuna mtu anaeishi kule , zaid ya 85% wa wakazi wa kule wametapaa maeneo mbali mbali nchi.

Pili: huwa wanakutana December tu kule , ardhi wamesha imaliza ile yote, lakini pia hata hiyo ndogo waliyo nayo haina rutuba tena

Wanachotaka wao ni kuhama kama jamii , waendeleze utamaduni wao na kuutunza , saiv vitukuu na wajukuu hawawez jenga tena kule ,

Punguza wivu.
Swali langu hujajibu.

Kwani kuna sehemu wamenyimwa?
 
Back
Top Bottom