Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,666
Maeneo mbona watu wanauziana na kuhamia tu kwa utaratibu nchi nzima.Serekali iwapaie eneo kule chato wakachangamshe na kule pia naona chato kuna eneo kubwa sana na wakazi kiduchu sana
MTOA MADA AMEANDIKA VITU TOFAUTI KABISA KWA JINSI NILIVYOMSIKILIZA KIMEI
Unasubiri serikali ikupatie eneo kwani wewe mkimbizi wa Burundi?