Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Vipi ile tamaduni ya kuacha mke milimani na kwenda Dar au kwingineko kufanya kazi, je wakwe zao wa kiume waliwaacha salama?
 
Vipi ile tamaduni ya kuacha mke milimani na kwenda Dar au kwingineko kufanya kazi, je wakwe zao wa kiume waliwaacha salama?
Bahati nzuri afadhali hiyo tamaduni kwetu ilikuwa salama. Hakuna upuuzi kama kule kwenu.

Kule kanda ya ziwa huwa mnatumwa na waganga mtembee na mamazenu ili mpate utajiri, mnalaana nyie watu ndio maana hamuendelei asilani mnabaki kulialia na kuona wivu wa kijinga.

Achana na tabia zile za kuua wazazi wenu kwa imani za uchawi. Mapanga shaa yalianzia kanda ya ziwa(kuna watu maalumu mnawakodi ili wakawaue ndugu zenu), achana na mauaji ya maalbino , kufukua makaburi yao, kuwakata viungo vyao kwa imani zenu mbovu za kichawi alafu wanakuja huku moshi Kcmc kutengenezewa viungo vya bandia. Nyie watu mna laana sana aisee daaah! hata hiyo ardhi yenu imejaa laana ya damu ya wazazi wenu na maalbino achana na laana na mikosi ya kutoa kafara na kuchukua ndugu zenu misikule imitunga.
 
Haya mambo kule kanda ya ziwa ni utamaduni wao bwashee. Kama kucheza gobogobo Hawawezi kuacha. Ahahaaa.

Usifanye mchezo na nguvu ya Gamboshi. Only in lake zone regional!
 
Tatizo hilo mkuu
Tena tatizo kubwa sana,

Mauaji ya maalbino kwa imani zao za kichawi ili wapate utajiri , ilibidi dunia nzima iingilie kati kupiga kelele kuhusu hawa watu. Walituabisha sana kama nchi. Wanadhani utajiri unaletwa kwa kuua watu, kukata viungo vya malbino, kuua wazee wao na kuchukua watu misukule! Kumbe sisi wenzao tunafanyakazi mchana na usiku kwa bidii, juhudi na maarifa.
 
Wapumbavu sana, wakishindwa kupata utajiri wanaanza chuki dhidi ya waliofanikiwa wakidhani ndio watafanikiwa na wao. Wajinga mno.

Akili zao ndio zimeishia hapo mkuu, tuwasamehe bure.
 
Wachaga acheni upu..mbavu, mmekusanyanya na kuhamasishana huko kijijini hapa kushambulia Wasukuma! Narudia acheni Upu..mbavu,


Kama mmesoma sana Hongera kwenu, lakini hata makabila mengine nayo hayajalala nyuma katika elimu kwa nyakati hizi!! Kama ni madr au maprofesa kuwasasa wapo wengi tu kwa kila kabila, kwahiyo msiendelee kukariri mambo ya zamani!! Usomi uko kila sehemu


Narudia tena acheni upum.bavu nyie si bora sana kuliko makabila mengine 119 Tanzania!
 
Usicheze na kabila kuu
 
Wachagga tunao hapa wameipigika hawana kitu Kabisa. Mwingine Niko naye hapa no mlinzi hapa kwangu
 
Hakuna mantiki hapo zaidi ya kutaka vya bure.

Kwani kabila gani kwa sasa nchi hii halipo sehemu fulani ya nchi?

Wahindi kuwafananisha na wachaga ni uhayawani.

Wachaga wamezaa kwa kazi za kiboya tu,hao wenye miradi mikubwa 1/1M.
Unasumbuliwa na chuki mkuu,pita Tanzania nzima kila eneo Kama utamkosa MANGI Kama sio mtumishi wa umma Ni mfanyabiashara
Msingi mkuu wa wachaga Ni elimu na biashara (both)
 
mkuu umepiga za utosi
 
Dawa imekuingia? Mbna hao wengine wakiwashambulia wachaga wewe unakaa pembeni kukenyua meno hukemei? Sasa tulia unyolewe
 
Unasumbuliwa na chuki mkuu,pita Tanzania nzima kila eneo Kama utamkosa MANGI Kama sio mtumishi wa umma Ni mfanyabiashara
Msingi mkuu wa wachaga Ni elimu na biashara (both)
Chuki?

Bado unaishi zama za ujima na hadithi za kukaririshwa.

Kabila gani kubwa ulienda mahali ukalikosa nchi hii?

Kwa sasa makabila yote watu wamesoma na wanafanyabiashara vilevile.
 
Wachagga tunao hapa wameipigika hawana kitu Kabisa. Mwingine Niko naye hapa no mlinzi hapa kwangu


Endelea kujifariji umaskini wa wasukuma haufikii umasikini wa wachagga.

Kukonda kwa Tembo sio sawa na kukonda kwa Mbwa.

Hata ulaya na marekani masikini wapo tena wengi tu wanaitwa Homeless, hakuna sehemu duniani isiyo na masikini wala matatizo, lakini huwezi kulinganisha umaskini wa wasukuma na umasikini wa wachagga.
Umaskini wa Marekani huwezi kulinganisha na umaskini wa India.

Dar es salaam ndio mkoa unaoongoza kwa utajiri ukifuatiwa na Kilimanjaro.

Geita ni mkoa wa pili kutoka mwisho kwa umasikini.

Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…