Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Ukiona hivyo hata wazazi/walezi wao si watu wanaoyapa kipaumbele maendeleo. Lakini niliwahi kusoma uchambuzi wa mtu mmoja kwenye gazeti, kuhusu wanawake wa Kitanzania. Yeye aligundua kwamba wale woote wanaopigania maendelea, kitandani ni wabovu na ni wababe. Alitoa mfano wa Wachagga na Wapare. Lakini wale woote wanaojua mapenzi kwenye maendeleo ni sifuuri akawataja, Wamakonde, wanawake woote wa Tanga, Wasukuma, wanyamwezi, wazaramo n.k.
Kama wewe ni sex addict, pata mtoto wa Tanga, ila ujue hautapata maendeleo ya kimaisha, wanasema 2 is better than 1, ktk ndoa wategemea wewe kiasi fulani unapiga job, na yeye mkeo angalau awe anaweka mikakati ya maendeleo. Ila bahati mbaya wengi wao hawana mawazo mengine zaidi ya kumridhisha mwanaume kitandani. Na wanaume wajua tulivyo malimbukeni, tukiona ndo hapo tumefika kwenye uroda basi tutatoa pesa zote kwake pasipo kujua zaenda wapi. Pia wanaamini sana mambo ya limbwata, na pia Wengi wa wanawake wa kitanga ni house wives tu. Wanasubiri urudi toka mzigoni, wakupe raha za kimwili, bhaaaas!! Ila kwa kutoa uroda, hawajamboo, maana yasemekana wanafundishwa!!
angalia 1tym isje ikawa 11times
Mkuu hata Mimi sijui tanga Kupoje,just imagination,twende huko ukishindwa kurudi huku sijui itakwaje
nataka nikajaribu huko tanga one time
Wanafundwa wakafundika.
Mziki wa msambaa na mbondei lazima utapenda
Halafu wewe,haya tu