Kitu gani special mabinti wa Tanga wanayo?

Kitu gani special mabinti wa Tanga wanayo?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,368
Inasemekana mapenzi yapo Tanga.

Kigogo mmoja marehemu (R.I.P) alinihadithia "Jamaa mmoja alienda Tanga kikazi kama mwalimu,akapanga chumba,akaelewana na mzee mwenye nyumba, jamaa kama ticha asubuhi anawahi darasani, ila kabla hajaamka ile anaswaki anashangaa kuletewa chai na binti wa mzee, kama kawaida jamaa akazoea kupewa chai ya kila siku asubuhi, Mara anafuliwa nguo, wakaendelea jamaa anachemshiwa maji ya kuoga, Mara dogo kazamia chumbani, jamaa akadata akamtia binti mimba, jamaa akashtuka mzee atamind, mzee akamfuata kijana,"nataka niwaachie hii eneo chukueni kodi we na binti yangu muwe mnanitumia kiasi,ila nataka niende kijijini kule nijengeee nyumba ya bati nina eneo huko,jamaa akamnunulia mzee bati, mzee yupo kijijini anaenjoy, jamaa kaoa bila kujua kamjengea mzee nyumba.

Hiyo story niliyopewa.


Rafiki yangu tukiwa chuo alikuwa na hamasa ya kusoma,karibia tunamaliza akakutana na mwanamke wa kitanga,akaniambia viol naacha chuo nimedata na mapenzi,nimekutana na Zai naacha chuo,kaacha chuo kaenda kwa mtanga.


Bwana Misosi kwenye wimbo wake anasema.
"Ndo maana Mwinjuma (mumini)katoka Dar kaja kuoa Tanga,........ukija tanga utajenga mapenzi si limbwata.

Wenye experince na watanga mtuambie mnadatishwaje?

Je umefeel kitu tofauti kutoka kwenye mapenzi ya kitanga kuliko mapenzi uliyowahi?

Yule aliyesema mapenzi yapo mbeya acha kuzingua.
 
nmeshawah kudate na msichana toka tanga pande za handen...kiukwel alikuwa ananipa vitu hataree mpaka nikaanza kuwa addicted..ila kibaya hawana mawazo ya kimaendeleo wengi wao unaweza ukawa nae ukapoteaa!!!ila upande wa sita kwa sita nawapa big up
 
nmeshawah kudate na msichana toka tanga pande za handen...kiukwel alikuwa ananipa vitu hataree mpaka nikaanza kuwa addicted..ila kibaya hawana mawazo ya kimaendeleo wengi wao unaweza ukawa nae ukapoteaa!!!ila upande wa sita kwa sita nawapa big up

Mkuu kwanini usiwe na upande wa maendeleo hiyo ya mapenzi umwachie
 
Jifunze japo kwa picha tu inatosha
 

Attachments

  • 1412362017094.jpg
    1412362017094.jpg
    59.3 KB · Views: 2,999
Mkuu wa Tanga waogope kama ukoma.
Vitu vinavyoonekana vikubwa na makabila mengine kwa ke wa kitanga ni vidogo sana.

Kuna frnd wangu kaajiriwa uticha kule Tanga, aliniambia mara nyingi katika kale kamchezo ketu kale me anaandaliwa kama anavyoandaliwa ke wakati wa kale ka mchezo katamu.
Jamaa yeye huekwa juu ya meza, kunaletwa asali kwa kisahani, zile korodizo za jamaa zinawekwa kwa kisahani, then mtoto ananyonya korodizo!

Wacheni Tanga iitwe Tanga. Mwee!
 
Mkuu wa Tanga waogope kama ukoma.
Vitu vinavyoonekana vikubwa na makabila mengine kwa ke wa kitanga ni vidogo sana.

Kuna frnd wangu kaajiriwa uticha kule Tanga, aliniambia mara nyingi katika kale kamchezo ketu kale me anaandaliwa kama anavyoandaliwa ke wakati wa kale ka mchezo katamu.
Jamaa yeye huekwa juu ya meza, kunaletwa asali kwa kisahani, zile korodizo za jamaa zinawekwa kwa kisahani, then mtoto ananyonya korodizo!

Wacheni Tanga iitwe Tanga. Mwee!

Hahahaha namsoma Khantwe anacopy mbinu hapa akamrubuni Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
wengi wao akili yao imelalia kwenye mapenzi tu kuna mzee mmoja nilikutana nae kama miaka mitano iliyopita alikuwa na mwanamke wa kitanga lakini alimuacha kisa hajui kupika yeye yupo vizuri kitandani tu sasa wa kazi gani?

Acha bhana masihara kama mwanamke wa kitanga hajui kupika nani anajua
 
nmeshawah kudate na msichana toka tanga pande za handen...kiukwel alikuwa ananipa vitu hataree mpaka nikaanza kuwa addicted..ila kibaya hawana mawazo ya kimaendeleo wengi wao unaweza ukawa nae ukapoteaa!!!ila upande wa sita kwa sita nawapa big up

Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Ukiona hivyo hata wazazi/walezi wao si watu wanaoyapa kipaumbele maendeleo. Lakini niliwahi kusoma uchambuzi wa mtu mmoja kwenye gazeti, kuhusu wanawake wa Kitanzania. Yeye aligundua kwamba wale woote wanaopigania maendelea, kitandani ni wabovu na ni wababe. Alitoa mfano wa Wachagga na Wapare. Lakini wale woote wanaojua mapenzi kwenye maendeleo ni sifuuri akawataja, Wamakonde, wanawake woote wa Tanga, Wasukuma, wanyamwezi, wazaramo n.k.
 
Back
Top Bottom