AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Sawa tu dada,
Ila kama wanajamii wote ni wahalifu...kwa nini wengine waishi keko na kufungiwa kama kuku wa mayai wakati wengine wanatesa uraiani???
Wanakwambia lolote ufanyalo... wewe sio mhalifu mpka ukamatwe... bad statement but soo true!!
Na pia level za uhalifu zapishana DC....