Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 662
He he he ...mkuu tukienda sana tunaweza kuingia hadi kudanganya username na JF ID's tuachie hapa..Tulizo taratibu bana yaani kama umetusema kiaina hapa.
He he he ...mkuu tukienda sana tunaweza kuingia hadi kudanganya username na JF ID's tuachie hapa..Tulizo taratibu bana yaani kama umetusema kiaina hapa.
Tulizo ndo hapo sasa maana hata hapa tunadanganya maana najua wewe huitwi Tulizo ila unafake name hapa
He he he ...mkuu tukienda sana tunaweza kuingia hadi kudanganya username na JF ID's tuachie hapa..
Pole sana DC,tatizo ni kila mtu kutaka awe na fedha tena nyingi,dawa ni kutafuta mbadala wa fedha kwa mfano mtu ahesabike tajiri kwa kuwa na busara, upendo,n.k tena ikianzia Marekani itakuwa vizuri sana maana dunia nzima tutaiga fasta.
...Ukitenda dhambi nyepesi au with minimal damage ni sawa tu....tafsiri isiyo rasmi!!!
na ktk amri zote, ilio kuu ni upendo.
Upendo huvumilia, hauhesabu mabaya, pia upendo "husitiri wingi wa dhambi"
haya ni baadhi tuu ya mafundisho/nukuu ktk Bible, that means tangu zamani wakati Bible inaandikwa dhambi zilikuwa nyingi tuu! kwa akili zetu wenyewe hatuwezi kuzishinda, twaokolewa kwa neema tu.
Tulizo ukiangalia hapa hakuna hata herufi moja ya jina langu wala sijui nilitoa wapi hili jina.
Kama ni dhambi kufake I'd humu basi tuna dhambi nyingi sana
t
Haswaaa.....siku hiz dhambi imebaki hiyo tu!!
Sina hakika kama nyingine bado ziko kwenye vitabu na vichwa vya watu!
Nyingine sijui kama zipo tena zinazotambulika ni hiyo tuu na ndio watu wanaijua na kuiogopa sana
Duhhhhhh....kuna haja ya ku-appeal ili schedule yenye list ya dhambi irekebishwe. Kwa njia hiyo tutapunguzia watu msongo wa mawazo!
yeah tena ibadilishwe ijulikane dhambi kubwa na ndogo na ziwekwe adhabu kwa kila dhambi
Kwa nini baadhii ya dhambi zisifutwe kabisa ili watu wapate kujinafasi bila kujisikia vibaya?
Kwa kuacha mambo yaende hivi hivi tunaonekana wote tuko lege lege!
nani akayeaappeal kw aMungu sasa kubadilisha status ya dhambi hapa duniani
Sana sana hata viongozi wa dini hawana uhakika na maisha yao maana na wao kwenye list wamo na ndo maana wanasema ishi nitakavyokufundisha ila sio kama niishivyo