Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 740
- 1,420
Hahahaha ayaTayari nimefanya booking, check DM
Hahahaha ayaTayari nimefanya booking, check DM
We jirani sitak kuamini, nisisikie hata madufu yakilia?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hutaki?
Haha!! Lamomy BhanaNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Oyooooooo.!! Wizo ake nakupetraaaje sasa!! Utanouga na shela lako jeupeeeee..!! Huku pembeni ext na suit yake pambe kabisaaaa.!!
Nyie mie sitaki hiyo siku mbona mtaiteka Dar nzima itazizima.!! Harusi moja tyuu ya wizo bichwa na cazeee ext ๐๐๐๐๐
Wengi wenu PM mnafunga, sasa sijui mnategemea nini, unakuta mtu katoka kuombewa nawamposa ili apate mume, ukimuomba namna anakunyima, yaani sijui akili zenu zinawazaga Nini ambacho hakieleweki kabisa.ebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mbon umeandka kwa uchungu ivo jaman,,um n burudan tuWengi wenu PM mnafunga, sasa sijui mnategemea nini, unakuta mtu katoka kuombewa nawamposa ili apate mume, ukimuomba namna anakunyima, yaani sijui akili zenu zinawazaga Nini ambacho hakieleweki kabisa.
Mnazingua sana, unaishi wapi๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mbon umeandka kwa uchungu ivo jaman,,um n burudan tu
Hapo ninamzidi miaka minane.Ulikosea kuoa age mate.....hawa wenzetu wanatangulia sana
Mwanamke at least umuache hata miaka kumi nakuendelea........wanachakaa mapema......tena usiombe wawe wale wenye asili ya utipwa tipwaHapo ninamzidi miaka minane.
siyo zote ni mateso mkuu,kinachotakiwa ni kwamba ukioa au kuolewa kubali kubadirika.KUNA ULAZIMA WA KUWEPO SHERIA YA NDOA ZA MIKATABA TANZANIA,NDOA NI ZAIDI YA MATESO
View attachment 2969233
Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am keen enough to learn from you guysHivi viingereza ndo vinapelekea wakenya watucheke, bora uandike kiswahili tu.
Yaani wewe ulikuwa unawaza pesa tu na si intimacy between you guys. Kama ulichukulia hivyo naimani sasa upo kwenye makasiriko makubwa kama si kuvurugana na kuachana kabisa...Nilijua siku zote za maisha yetu atakuwa ananipa ATM card yake nikamtolee pesa bank.Maisha yanabadirika sana
Naanza na hapa ' in which part may be I was not correct grammatically from what I have said earlier?Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am keen enough to learn from you guys
Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?๐Naanza na hapa ' in which part may be I was not correct grammatically from what I have said earlier?
Acha ujanja Fidel, jina lako limenikumbusha jina LA mtoto wa raila marehemu Fidel Castro odinga.Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?๐
Usikimbilie mtumbwi wa vibwengo kama hujui unenalo..
Acha ujanja Fidel, jina lako limenikumbusha jina la mtoto wa raila marehemu Fidel Castro odinga.Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?๐
Usikimbilie mtumbwi wa vibwengo kama hujui unenalo..
Is this language similar to English or? Dogo kama hujui lugha tulia na jifunze toka kwa wakubwa wako. Sasa ndio umeandika nini hapo? We Lamomy njoo umsaidie rafikiyo huku๐คฃ๐คฃ๐คฃNaanza na hapa ' in which part may be I was not correct grammatically from what I have said earlier?