kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

Pole sana..
Kuna rafiki yangu mmoja nae alipata mkasa kama huu....siku ananiambia sikuamini..maana alikua mtu wa mzaa na furaha muda wote.. kumbe ndani kabeba mzigo mkubwa...alikua kaishazaa watoto wawili na huyo mke wake....then mwanamke kamwacha kwa kejeli kaenda kuolewa na jamaa wa darasa la saba mwenye pesa...huyu akieachwa alikua na Masters....mbaya zaidi...hakuolewa mbali na walipokua wanaishi mara ya kwanza.
Jamaa alitafuta mke mwingine kaoa....kapata mtoto...
Haikupita muda jamaa alikufa...inasemekana alitiliwa sumu...kwenye chakula..hii ilikua 2016..
 
Pole sana..
Kuna rafiki yangu mmoja nae alipata mkasa kama huu....siku ananiambia sikuamini..maana alikua mtu wa mzaa na furaha muda wote.. kumbe ndani kabeba mzigo mkubwa...alikua kaishazaa watoto wawili na huyo mke wake....then mwanamke kamwacha kwa kejeli kaenda kuolewa na jamaa wa darasa la saba mwenye pesa...huyu akieachwa alikua na Masters....mbaya zaidi...hakuolewa mbali na walipokua wanaishi mara ya kwanza.
Jamaa alitafuta mke mwingine kaoa....kapata mtoto...
Haikupita muda jamaa alikufa...inasemekana alitiliwa sumu...kwenye chakula..hii ilikua 2016..
Sasa hapo sumu atakuwa alitiliwa na mke mpya au wa zamani. Na mimi nilitiliwa sumu nikanywa mziwa nilitapika balaa. Sasa hivi hawawezi kunipa sumu nipo makini ni hatari. Ndoa ni kifo ndugu yangu.
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
Pole sana mkuu, Mungu wavushe salama
 
Pole sana..
Kuna rafiki yangu mmoja nae alipata mkasa kama huu....siku ananiambia sikuamini..maana alikua mtu wa mzaa na furaha muda wote.. kumbe ndani kabeba mzigo mkubwa...alikua kaishazaa watoto wawili na huyo mke wake....then mwanamke kamwacha kwa kejeli kaenda kuolewa na jamaa wa darasa la saba mwenye pesa...huyu akieachwa alikua na Masters....mbaya zaidi...hakuolewa mbali na walipokua wanaishi mara ya kwanza.
Jamaa alitafuta mke mwingine kaoa....kapata mtoto...
Haikupita muda jamaa alikufa...inasemekana alitiliwa sumu...kwenye chakula..hii ilikua 2016..
Asante sana hii imenifariji sana kwamba nipo makini mwenzangu alikufa mimi nilifanikiwa kumdhibiti kwa hali yoyote ile.
 
Unamsaidia mtu kwa kila hali ukitegemea kuwa ndio chaguo lako daah..mwisho wa siku anakwambia kirahisi tu sina mpango na wew nimempata smart one zaidi yako daah wakati ulimsaidia ktk kila hali magonjwa,makaz malazi..daah inauma sana
Huu mwaka ulikuwa mgumu sana kwangu
Pole mkuu huyo atarudi analia mm wangu hakumaliza mwezi akaanza kulia njaa pia mungu huepusha jambo kabla hujamfanya wife
 
Unamsaidia mtu kwa kila hali ukitegemea kuwa ndio chaguo lako daah..mwisho wa siku anakwambia kirahisi tu sina mpango na wew nimempata smart one zaidi yako daah wakati ulimsaidia ktk kila hali magonjwa,makaz malazi..daah inauma sana
Huu mwaka ulikuwa mgumu sana kwangu
Pole
 
Unamsaidia mtu kwa kila hali ukitegemea kuwa ndio chaguo lako daah..mwisho wa siku anakwambia kirahisi tu sina mpango na wew nimempata smart one zaidi yako daah wakati ulimsaidia ktk kila hali magonjwa,makaz malazi..daah inauma sana
Huu mwaka ulikuwa mgumu sana kwangu
Daah pole sana mkuu..but yatapita just relax kubaliana tu kwamba ishatokea
 
Kweli yatapita lakini mziki wake si wa sayari hii. Unatafakari mpaka kweli elimu kitu cha muhimu bila elimu huishi miaka mingi unakufa.
Ukikubaliana na hali halisi utaona ni simple tu ila kama bado unajiulza why imekua hivi why me hizo itakuchukua mda
 
Ukikubaliana na hali halisi utaona ni simple tu ila kama bado unajiulza why imekua hivi why me hizo itakichukua mda
Shida ni pale unapojua kuwa uhai wako upo mashakani kwa kuwa mgoni na aliyekuwa mkeo wanaitafuta roho yako. Mambo si rahisi kama unavyofikiri. Hawaamini kama umenyamaza yameisha wanatafuta kukuua.
 
Shida ni pale unapojua kuwa uhai wako upo mashakani kwa kuwa mgoni na aliyekuwa mkeo wanaitafuta roho yako. Mambo si rahisi kama unavyofikiri. Hawaamini kama umenyamaza yameisha wanatafuta kukuua.
aisee,hiyo sasa hatari!
 
Pole sana..
Kuna rafiki yangu mmoja nae alipata mkasa kama huu....siku ananiambia sikuamini..maana alikua mtu wa mzaa na furaha muda wote.. kumbe ndani kabeba mzigo mkubwa...alikua kaishazaa watoto wawili na huyo mke wake....then mwanamke kamwacha kwa kejeli kaenda kuolewa na jamaa wa darasa la saba mwenye pesa...huyu akieachwa alikua na Masters....mbaya zaidi...hakuolewa mbali na walipokua wanaishi mara ya kwanza.
Jamaa alitafuta mke mwingine kaoa....kapata mtoto...
Haikupita muda jamaa alikufa...inasemekana alitiliwa sumu...kwenye chakula..hii ilikua 2016..
Very sad
 
nilipigwa kibuti na mdada kiustarabu eti anaenda kuomba Mungu ili atoe jibu. toka hapo msg hajibu wala simu yangu hapokei. Mi nimekubali matokeo. naamini nitampata mwingine popote, hata hapa jf.
 
Back
Top Bottom