kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,845
Reaction score
2,030
Hello
Ikiwa tumebakiza masaa kumaliza mwaka lets share ni kitu gan kilichokutokea 2017 ambacho hutokuja kukisahau kamwe..my side ni mengi yame happen but kubwa kubwa kuunguliwa na vitu vyangu kwa ajal ya moto source jiko la gas sitahau aisee coz imenibd nianze upyaaaa kunua vtu vya ndan and others...VP wenzangu kipi hutosahau kilichokutokea huu mwaka??
 
Mie sitasahau Uzi wako wa * Unamchukia nani katika hili jukwaa??*.

Huuu Uzi ulinifundisha mengi ,moja wapo nikwamba , Adui sio mpaka umtengeze , MTU anaweza akalala akaamka ,akaamua tu kua Adui yako.

Nakuombea mwaka 2018. .usiwe na roho ya kuchukia bila sababu , hiyo niroho yakujifungia mafanikio.
 
Mie sitasahau Uzi wako wa * Unamchukia nani katika hili jukwaa??*.

Huuu Uzi ulinifundisha mengi ,moja wapo nikwamba , Adui sio mpaka umtengeze , MTU anaweza akalala akaamka ,akaamua tu kua Adui yako.

Nakuombea mwaka 2018. .usiwe na roho ya kuchukia bila sababu , hiyo niroho yakujifungia mafanikio.
Amen
 
Hello
Ikiwa tumebakiza masaa kumaliza mwaka lets share ni kitu gan kilichokutokea 2017 ambacho hutokuja kukisahau kamwe..my side ni mengi yame happen but kubwa kubwa kuunguliwa na vitu vyangu kwa ajal ya moto source jiko la gas sitahau aisee coz imenibd nianze upyaaaa kunua vtu vya ndan and others...VP wenzangu kipi hutosahau kilichokutokea huu mwaka??
Pole mwaya
 
Hello
Ikiwa tumebakiza masaa kumaliza mwaka lets share ni kitu gan kilichokutokea 2017 ambacho hutokuja kukisahau kamwe..my side ni mengi yame happen but kubwa kubwa kuunguliwa na vitu vyangu kwa ajal ya moto source jiko la gas sitahau aisee coz imenibd nianze upyaaaa kunua vtu vya ndan and others...VP wenzangu kipi hutosahau kilichokutokea huu mwaka??
Pole sana



2017 nakumbuka kitu kibaya ni kupata ajali mbaya ingawa sikuumia sana.

Kwa upande mwingine namshukuru Mungu mipango yangu imeenda vzr sana.


Heri ya mwaka mpya.
 
Aisee kwa upande wang n pale housegal wetu aliponiambia kuw ana mimba yang halaf mwisho wa siku akaniambia kuw ilikuw n cku ya wajinga dunian so nkaendeleza kula mzigo...!
Ctosahau jins nlivyopanik asee[emoji39][emoji39][emoji39]
bado unakula ugali wa shikamoo kumbe?
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
 
Mwaka huu sitasahau tarehe 15/10/2017 usiku nilipozinguana na mchumba wangu kipenzi sana niliyewahi mpenda kuliko wote niliyo det nao km masihara mgogoro ukawa mkubwa hadi tukaachana[emoji22][emoji22][emoji22] na tulipanga mengi hadi marafiki zake waliona uhusiano wetu wakuigwa sana nilimuomba sana kakataa akaapa hatakuja nitafuta wala kuniomba chochotee lakini hata mwezi haukuisha akapata shida aliomba hela nikamzingua sana km siku nne huruma ikaja nikampa nusu. ..na December hii tulipanga likizo tukale bata zenji na pia ningemvalisha Pete.. lakini ndoto zote zimeyeyuka so nimeumaliza vibaya sana huu mwaka ...
 
Pole sana



2017 nakumbuka kitu kibaya ni kupata ajali mbaya ingawa sikuumia sana.

Kwa upande mwingine namshukuru Mungu mipango yangu imeenda vzr sana.


Heri ya mwaka mpya.
Ahsante mkuu then pole kwa ajali
Heri ya mwaka mpya na kwako pia.
 
Mwaka huu sitasahau tarehe 15/10/2017 usiku nilipozinguana na mchumba wangu kipenzi sana niliyewahi mpenda kuliko wote niliyo det nao km masihara mgogoro ukawa mkubwa hadi tukaachana[emoji22][emoji22][emoji22] na tulipanga mengi hadi marafiki zake waliona uhusiano wetu wakuigwa sana nilimuomba sana kakataa akaapa hatakuja nitafuta wala kuniomba chochotee lakini hata mwezi haukuisha akapata shida aliomba hela nikamzingua sana km siku nne huruma ikaja nikampa nusu. ..na December hii tulipanga likizo tukale bata zenji na pia ningemvalisha Pete.. lakini ndoto zote zimeyeyuka so nimeumaliza vibaya sana huu mwaka ...
Polee
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
Polee
 
Back
Top Bottom