kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

kitu gani kilichokutokea 2017 ambacho hutokisahau?

Hello
Ikiwa tumebakiza masaa kumaliza mwaka lets share ni kitu gan kilichokutokea 2017 ambacho hutokuja kukisahau kamwe..my side ni mengi yame happen but kubwa kubwa kuunguliwa na vitu vyangu kwa ajal ya moto source jiko la gas sitahau aisee coz imenibd nianze upyaaaa kunua vtu vya ndan and others...VP wenzangu kipi hutosahau kilichokutokea huu mwaka??
Sitasahau kirikuu, mabox na mifuko ya sandarusi ilivyotumika na mke wangu kubeba vyombo vyake baada ya kuachana akiwa anaekekea kwa mmewe tajiri anayejua kutunza mke. Sasa anafurahia maisha na mmewe mpya.
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
poleni sana
 
Nilitapeliwa 4500 na hamis mkomeshen akidai atanpa kaz ya bomba LA mafuta tanga
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
Pole sana yote mipango ya mungu
 
Sitasahau kirikuu, mabox na mifuko ya sandarusi ilivyotumika na mke wangu kubeba vyombo vyake baada ya kuachana akiwa anaekekea kwa mmewe tajiri anayejua kutunza mke. Sasa anafurahia maisha na mmewe mpya.
Duuuh
 
Mimi sitasahsu ucku wa tarehe 4/4 nikiwa nimelala na mke wangu aliyekua mjamzito wa miezi 6 aliniamsha huku akilia sana kwa maumivu ya tumbo, nilijaribu kumbembeleza ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya ikabidi nimpeleke hospital huku akilia njia nzima, kufika hosp madokta wakampokea kumpima wakaona mtt hachezi, wakampeleka theatre, wakampa msaada akajifungua mtt wa kike amekufa, tulikaa pale hadi asbh, tokea siku ile mke wangu amekua mtu wa huzuni sana sometime analia sio yule niliyemjua, imebidi nibadili life style nawahi kurudi nyumbani ilimradi awe anachangamka kidg!
Jambo hilo hilo lilinikuta namimi mwaka huu ndugu yangu....yaani hivyo hivyo.
 
Unamsaidia mtu kwa kila hali ukitegemea kuwa ndio chaguo lako daah..mwisho wa siku anakwambia kirahisi tu sina mpango na wew nimempata smart one zaidi yako daah wakati ulimsaidia ktk kila hali magonjwa,makaz malazi..daah inauma sana
Huu mwaka ulikuwa mgumu sana kwangu
 
Sitasahau kirikuu, mabox na mifuko ya sandarusi ilivyotumika na mke wangu kubeba vyombo vyake baada ya kuachana akiwa anaekekea kwa mmewe tajiri anayejua kutunza mke. Sasa anafurahia maisha na mmewe mpya.
Duuuuh
 
Back
Top Bottom