Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Hahahahahah wameagiza waipige iran eeeeh
Wajaribu waone
Iran ni hatare kwa sasa wanajiandaa kuzindua ndege hatari ya kivita
unaleta ushabiki wa yanga na simba vitani, utalipukiwa na bomu
 
Chezea mpira na sio Israel

Hamas walipo sikia israel imefanikiwa kuwa na missile defense system (iron Dome) hasa kwa missile za short range kama zile zinazo toka gaza walidharau sana.

Wakakusanya missile za kutosha na kuhifadhi ili waichakaze israel kwa missile zao walizo pewa na Iran.

Mara ya kwanza walikua wanarusha moja moja na kila missile wanayo rusha ambayo ilikua inaelekea kwenye makazi ya wayahudi ilidakwa hewani na Iron Dome, na zile missile ambazo zilikua haziendi kwenye makazi ya watu ziliachwa kwani Iron Dome ina uwezo wa kujua missile itatua wapi kabla ya kufyatua missile ya kuipoteza missile inayo kuja.

Hamas waka kaa chini kujadili hujuma za israel kutungua missile zikiwa angani , wakapata mawazo kuwa inabidi warushe missile nyingi kwa pamoja ili kuioverload Iron Dome.

Kazi ikaanza upya , ktk jaribio la kwanza walirusha dozen of missile uelekeo mmoja ili kuichanganya iron dome, cha ajabu missile zote zitadakwa, wakati huo makazi ya wanajeshi wa hamas yakichakazwa na IAF.

Sasa hamas wamehamia kwenywe mahandaki baada ya vita vya anga kushindikana.

Wakati watu gaza wanakufa mkuu wa hamas anatembelea ndege utadhani airforce one ya obama, biashara haram ni nyingi duniani

1466827253873.jpg
 
Mr elungata huwezi ifananisha ndege yoyote ya kivita na f-22 raptor iwe ni katika ground attacks au dogfight,yaani hata hizo sukhoi na f-35 inasubir ikiwa na mwendo kasi mara mbili ya ule wa sauti na teknolojia ya kujificha huwezi ishinda
 
Sasa kaka
Chezea mpira na sio Israel

Hamas walipo sikia israel imefanikiwa kuwa na missile defense system (iron Dome) hasa kwa missile za short range kama zile zinazo toka gaza walidharau sana.

Wakakusanya missile za kutosha na kuhifadhi ili waichakaze israel kwa missile zao walizo pewa na Iran.

Mara ya kwanza walikua wanarusha moja moja na kila missile wanayo rusha ambayo ilikua inaelekea kwenye makazi ya wayahudi ilidakwa hewani na Iron Dome, na zile missile ambazo zilikua haziendi kwenye makazi ya watu ziliachwa kwani Iron Dome ina uwezo wa kujua missile itatua wapi kabla ya kufyatua missile ya kuipoteza missile inayo kuja.

Hamas waka kaa chini kujadili hujuma za israel kutungua missile zikiwa angani , wakapata mawazo kuwa inabidi warushe missile nyingi kwa pamoja ili kuioverload Iron Dome.

Kazi ikaanza upya , ktk jaribio la kwanza walirusha dozen of missile uelekeo mmoja ili kuichanganya iron dome, cha ajabu missile zote zitadakwa, wakati huo makazi ya wanajeshi wa hamas yakichakazwa na IAF.

Sasa hamas wamehamia kwenywe mahandaki baada ya vita vya anga kushindikana.

Wakati watu gaza wanakufa mkuu wa hamas anatembelea ndege utadhani airforce one ya obama, biashara haram ni nyingi duniani

View attachment 359876
Mayahudi pia wapo kwenye programu ya siri ya kutengeneza teknolojia ya kubaini mahandaki hadi yalio urefu wa km 1 chini ya ardhi,wakiikamilisha hamasi nahisi watahamia baharini sijui
 
Wewe hujui mambo ya kivita hata kidogo kumbe sasa nimegundua hoja zako zinaongozwa na siasa na sio science.
Israel ni nchi ndogo sana na kwa kua ni nchi ndogo hua inatumia ujanja kwa kufanya kolabo na mataifa makubwa inapotaka develop mfumo au silaha flani.hiyo iron dome ni full indegenous technology lakini marekani katia mamilioni ya dollar in some stages za devlpmnt alikua na staff wake
 
Wewe hujui mambo ya kivita hata kidogo kumbe sasa nimegundua hoja zako zinaongozwa na siasa na sio science.
Israel ni nchi ndogo sana na kwa kua ni nchi ndogo hua inatumia ujanja kwa kufanya kolabo na mataifa makubwa inapotaka develop mfumo au silaha flani.hiyo iron dome ni full indegenous technology lakini marekani katia mamilioni ya dollar in some stages za devlpmnt alikua na staff wake
Ukipeleleza pia kama unavyofanya kwenye google na online mil journals utaona israel ni kati ya nchi zenye tech ya juu ya kutengeneza drones,
Kuna watu wanaichukia nchii hii kwa sababu ya WIVU,wayahudi ambao miaka 60 iliyopita walikua ndani ya ghetos huko ulaya mashariki eti leo wanamiliki nyuklia weapons,wanatengeneza silaha bora na marketable defence systems na wanauchumi mzuri eti pia ndio nchi tatu nyuma ya usa na canada kwa kampuni zake zilizoorozeshwa katika soko la hisa la America.kwann wasiwe na wivu ulaya.
 
Hahahahahah wameagiza waipige iran eeeeh
Wajaribu waone
Iran ni hatare kwa sasa wanajiandaa kuzindua ndege hatari ya kivita

hujui kitu....Iran Hana uwezo huo juzi tu amesaini mkataba wa mabilions Na wamarekani anunue ndege za abiria kutoka Boeing...unajua nini kinafuata
 
Hakuna siri ya watu wawili. "Stealth fighters" zao za awali zipo wapi? (Waliamini ni "stealth" lakini zilionekana kwenye "radar" hapo baadae). Ni suala la muda, rasilimali, na nyezo!
Umesahau kuwa russia iliingia kwemye mgogoro na nchi za kiarabu zikidai kuwa mrusi anawauzia rada fake kwa sababu israel inaingia na ndege kwenye nchi zao bila kuonekana kwenye radar.
 
Wewe hujui mambo ya kivita hata kidogo kumbe sasa nimegundua hoja zako zinaongozwa na siasa na sio science.
Israel ni nchi ndogo sana na kwa kua ni nchi ndogo hua inatumia ujanja kwa kufanya kolabo na mataifa makubwa inapotaka develop mfumo au silaha flani.hiyo iron dome ni full indegenous technology lakini marekani katia mamilioni ya dollar in some stages za devlpmnt alikua na staff wake
Ukipeleleza pia kama unavyofanya kwenye google na online mil journals utaona israel ni kati ya nchi zenye tech ya juu ya kutengeneza drones,
Kuna watu wanaichukia nchii hii kwa sababu ya WIVU,wayahudi ambao miaka 60 iliyopita walikua ndani ya ghetos huko ulaya mashariki eti leo wanamiliki nyuklia weapons,wanatengeneza silaha bora na marketable defence systems na wanauchumi mzuri eti pia ndio nchi tatu nyuma ya usa na canada kwa kampuni zake zilizoorozeshwa katika soko la hisa la America.kwann wasiwe na wivu ulaya.
 
Inakubidi ukae chini na kufikiri sn ndo utajua mantic ya Comment hiyo,,

Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mungu humsaidia mwanadamu kutengeneza ama kuvumbua kitu kwa lengo fulani alilo kusudia yeye mwenyewe,,

Hivyo kusudio kubwa la Mungu kufanikisha Ugunduzi wa ndege yenye uwezo mkubwa wa namna hiyo kwa taifa la Israel,, kusudio lake kubwa ni kulilinda taifa hilo kipenzi chake,,
maana aliahidi kulilinda daima.
Upuuzi mtupu, hao mayahudi, Yesu tuu hawamjui sembuse Mungu. Halafu wabongo ndo mnakuwaga na hizi swaga hasa hawa sijui born again
 
Hiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,

Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,

Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,

Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.
Nenda kanye
 
ndo maana waziri wa ulinzi wa israel alijiuzuru baada ya kuona Netanyau ni mshari na atawaletea tabu,kaamua kumenyana nae uchaguzi ujao.
Lakini sijui kama ataliweza maana linetanyau ni mafia
Hahahah....et limafia
 
Ni suala la muda, rasilimali na nyenzo.

Hata Israel wao pengine wamepata hizo radar za Urusi na kuzisoma zinafanyaje kazi kisha kutengeneza ndege zao.
Kubali kuwa kuna watu wapo mbele ya wengine siku zote
 
That's true brother, Mimi nashangaa hawa watu wanaosema eti mungu anawapenda waisraeli kushnda binadamu wengne, huo ni ulimbukeni na kuwa elimu ndogo kuamini propaganda za mzungu
 
Nakumbuka wakati USA anaanza kuzitumia drone kwa battle field tulisikia mengi hakika.
Mara drone haiwezekani kuizuia iwapo vitani, haiwezekani kushambuliwa na adui sijui nini!
Ni majigambo mengi sana tu.

Ni Irani aliyejibu majigambo hayo kwa vitendo mwaka 2011
drone ikifanya upelelezi mpakani mwa Irani akaamua kuishusha.
Tena ilishushwa mpaka ardhini ikiwa nzima kabisa USA hawakuamini hii kitu.

Mayankee walifungwa midomo kwa vitendo!
 
Unachekesha mkuu.Iran inawindwa ile mbaya.achana kabisa na watu hao.kwani palestina kelele zote zinatoka wapi.kuna vita kuu inakuja kati ya israel na iran ambayo itagusa mashariki ya kati yoote .syria ,turuki .saudia nk.watahusika
Asante Maalim mnajimu Afrika Mashariki na Kati Sheikh Ustaadh Yahya Husein
 
WaIsrael lazima wajilinde Mkuu. Yaani wamezungukwa na maadui pande zote. Kuna Palestina, Jordan, Lebanoni, Syria hao wote ni maadui zake. Ndio maana wanajitahidi kuwekeza ktk kila technolojia. Ndo maana pamoja na kuzungukwa na adui kila kona lakini hawaguswi.
Hoja dhaifu kila nchi inajukumu la kujilinda.ndio maana hata Iran anajaribu kuunda nuclear weapon yote hiyo ni kujilinda na maadui kama Israel na Saudi Arabia.
 
Inakubidi ukae chini na kufikiri sn ndo utajua mantic ya Comment hiyo,,

Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mungu humsaidia mwanadamu kutengeneza ama kuvumbua kitu kwa lengo fulani alilo kusudia yeye mwenyewe,,

Hivyo kusudio kubwa la Mungu kufanikisha Ugunduzi wa ndege yenye uwezo mkubwa wa namna hiyo kwa taifa la Israel,, kusudio lake kubwa ni kulilinda taifa hilo kipenzi chake,,
maana aliahidi kulilinda daima.
Na Iran kutengeneza nuclear mungu ana malengo gani hapo mkuu.? Umasikini wa fikra ni Kitu mbaya sana.hivi umeenda shule kwanza manake naweza kuwa najadili na kilaza.
 
Back
Top Bottom