Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

sio kweli maana marekani ni mchanganyiko wa kila mtu kutoka kila taifa na kila mmoja amechangia.
nicola tesla,thomas edson,bill gate steve job fuatilia history of evolution of technology. hawa wa sasa wanaboresha vile vilivyofanyiwa kazi na kurahiswa. nyingi huwa ni story japo sikatai kuwa wako vzr
usikute huyo hana habari kuwa steve job alikua msyria
 
who care kama technology ni ya martin au ya zebedayo as long as hizo ndege zinaruka?,

kama hujui kuwa turkey iko advanced sana pole,turkey walianza kutengeza F-16 mwaka 1988
mambo hayo hayako simple kama unavyotaka iwe mkuu
 
Israel ndege yenye nguvu namna hiyo ya nini wakati wapalestina wanatumia mawe?
Unachekesha mkuu.Iran inawindwa ile mbaya.achana kabisa na watu hao.kwani palestina kelele zote zinatoka wapi.kuna vita kuu inakuja kati ya israel na iran ambayo itagusa mashariki ya kati yoote .syria ,turuki .saudia nk.watahusika
 
Unachekesha mkuu.Iran inawindwa ile mbaya.achana kabisa na watu hao.kwani palestina kelele zote zinatoka wapi.kuna vita kuu inakuja kati ya israel na iran ambayo itagusa mashariki ya kati yoote .syria ,turuki .saudia nk.watahusika
conspiracy ya hapo inaniambia hatafutwi iran anatafutwa mshia
 
Mshia yupi?.ukiangalia hayo mataifa yana mchanganyiko wa shia na suni
 
Unachekesha mkuu.Iran inawindwa ile mbaya.achana kabisa na watu hao.kwani palestina kelele zote zinatoka wapi.kuna vita kuu inakuja kati ya israel na iran ambayo itagusa mashariki ya kati yoote .syria ,turuki .saudia nk.watahusika
ndo maana waziri wa ulinzi wa israel alijiuzuru baada ya kuona Netanyau ni mshari na atawaletea tabu,kaamua kumenyana nae uchaguzi ujao.
Lakini sijui kama ataliweza maana linetanyau ni mafia
 
Ukweli ni kuwa israel haikupigwa na hezbulla kama wengi wanavyo dhani japo ni moja ya vita kali ambayo israel ilikutana nayo.

Kama israel ingekua imepigwa basi hao hezbulla badala ya kupiga kelele kila siku kuwa wataifuta israel kwenye uso wa dunia wangekua fanya kweli kwa kulwta vita nyingine.

Malengo ya israel ktk vita ile ilikua ni kuiridisha nyuma lebanon miaka zaidi ya 30 nyuma kiuchumi ili badala ya kuitumia muda mwingi kijiimarisha kivita basi watumie muda mwingi kuijenga nchi yao maana ilifika wakati lebanon ikawa tishio.

Ukweli kuwa ktk vita ile lebanon ilipata hasara kubwa sana, pamoja na hezbolla ndio maana hadi leo hezbolla hayupo tayari kufanya vita na israel.

mara ngapi israel imeua makamanda wa hezbolla lakini hezbolla hawaja wahi kuanzisha vita. Wanafanya hivyo wakijua kuwa wanahitaji maandalizi la sivyo watakufa.

Sasa vita inayokuja kati ya israel na hezbolla ni ya kukata na shoka. Dunia itachafuka kwa misululu ya missile toka lebanon zitakazo tunguliwa hata kabla hazija vuka mpaka.[emoji28]
Lini hio itakua.?!
 
mkuu pale misri hapakuwa na hacking yoyote. waziri mkuu alipoona ile video ya propaganda alpt mshtuko akaingia kwenye koma.
pale ilikuwa ni kazi nzito ya spy netwk na waarabu kusalitiana. soma story ya mossad mwarabu alieyeenda argentina akaingia syria kama business man na mtu wa krb na watawala. spying ndio iliwaweka mjini.
Naweza kuisoma wapi.??
 
Ukweli ni kuwa israel haikupigwa na hezbulla kama wengi wanavyo dhani japo ni moja ya vita kali ambayo israel ilikutana nayo.

Kama israel ingekua imepigwa basi hao hezbulla badala ya kupiga kelele kila siku kuwa wataifuta israel kwenye uso wa dunia wangekua fanya kweli kwa kulwta vita nyingine.

Malengo ya israel ktk vita ile ilikua ni kuiridisha nyuma lebanon miaka zaidi ya 30 nyuma kiuchumi ili badala ya kuitumia muda mwingi kijiimarisha kivita basi watumie muda mwingi kuijenga nchi yao maana ilifika wakati lebanon ikawa tishio.

Ukweli kuwa ktk vita ile lebanon ilipata hasara kubwa sana, pamoja na hezbolla ndio maana hadi leo hezbolla hayupo tayari kufanya vita na israel.

mara ngapi israel imeua makamanda wa hezbolla lakini hezbolla hawaja wahi kuanzisha vita. Wanafanya hivyo wakijua kuwa wanahitaji maandalizi la sivyo watakufa.

Sasa vita inayokuja kati ya israel na hezbolla ni ya kukata na shoka. Dunia itachafuka kwa misululu ya missile toka lebanon zitakazo tunguliwa hata kabla hazija vuka mpaka.[emoji28]

Dah...uko vzr kweli
 
Hahahahahah wameagiza waipige iran eeeeh
Wajaribu waone
Iran ni hatare kwa sasa wanajiandaa kuzindua ndege hatari ya kivita
 
India nao Wako smart sana katika kutafuta technology, hawana mchezo kwa hilo.
Hii joint work ipo katika research and development ya hiyo Sukhoi FGFA/PMF ni derivative ya T-50 ndio mana hata rahisi kuchanganya ukifikiri ni moja.
Walisign cooperation agreement kuanzia 2007 na wanaproject nyingi tu wanashirikiana sio fighter jet pekee.
 
Hiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,

Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,

Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,

Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.
Hata YESU walimkataa...je sisi??...ISRAEL HAWAPENDEKI
 
Back
Top Bottom